Hivi vifaa vya kujengea nyumba za viongozi huwa vinanunuliwa wapi? Nyumba moja kugharimu milioni 838

Unatetea mini?!
Kupanga ni kuchagua vipaumbele kwa wananchi!
Hivi bro ikiwa kwako nyumbani wanao wana njaa, ktk mishe umebahatika kupata buku!
Badala Ununue unga nusu na robo wanao wale unaenda wanunulia Maputo?!
Itakuwa umeitendea haqi familia yako??
Nimeamini aliye shiba hamkumbuki mwenye njaa

Wewe kula kwa utefu wa kamba yako, using’ang’anie vitu vya Maputo! Kila moja hucheza mkono unapofika, ndiyo maana kuna watu wana nyumba za miti zilizoezekwa nyasi na wanaishi na kushiba!
 
Acha uwongo jombaa nimetembelea Halmashauri kadhaa wanatumia mfumo wa force account... Baada ya kushinda tenda mkandarasi husika. Afisa/procurement officer anaenda kununua vifaa vya ujenzi kiwandani mfano mabati, simenti, misumari and gypsum, etc so bei inakuwa cheap kuliko mtaani kwenye hardware....

Sasa unafoka nini hapa! Nenda na wewe katumie force account!
 
Hili la nyumba za Wakuu wa Mikoa na Wilaya Kukarabatiwa kwa milioni 550 plus hapana, hivi wanabodi najiuliza inawezekanaje nchi masikini kama hii ambayo vyanzo vya mapato hamna wanataka kuanzisha hadi kodi ya kupumua leo hii nyumba ya mtu mmoja tu inagharimu mamilioni ya fedha, kwa umuhimu gani alionao kwanza.

Napata tabu sana kwamba hata hili linahitaji Phd kujua kwamba ni upuuzi? Tanzania tuna safari ndefu sana. Madawati hakuna nyumba za Walimu hakuna, Mishahara hakuna ni midogo how on earth haya mambo yanafanyika, halafu kuna mtu anasimama ana akili timamu anasema serikali ya wanyonge kweli!
Kumbuka 20,000 ya kila mchuuzi awe wa maandazi au yeboyebo inaingia hapo. Wachuuzi hawa mvua ikinyesha wanakimbiza biashara zisiharibike.
 
Wewe kula kwa utefu wa kamba yako, using’ang’anie vitu vya Maputo! Kila moja hucheza mkono unapofika, ndiyo maana kuna watu wana nyumba za miti zilizoezekwa nyasi na wanaishi na kushiba!
Tumekuwa wanyama kama fisi, kenge..?!
Kama ndivyo hakuna haja kitu kinaitwa uongozi
 
Vinanunuliwa chato Best plus 90% bakshishi it used to be 10% only.
Sisi ghorofa zetu tunajenga kwa miliono 120-200 na zinapendeza na kukalika kwa kuji nafasi. Hawa viongozi hizi ghorofa zao huwa wananunulia vifaa wapi au gharama zinatokana na nini?
===

Mamilioni kujenga nyumba za wakuu wa wilaya na mikoa. Milioni 838 kumalizia nyumba ya mkuu wa mkoa Kagera, Milioni 170 kujenga uzio na nyumba ya mlinzi kwa mkuu wa wilaya Temeke. Milioni 555 kukarabati nyumba ya mkuu wa mkoa Ruvuma.

PIA SOMA:
-
Kakonko: Makusanyo kwa mwaka ni Tsh Milioni 539, lakini Ujenzi wa nyumba ya Mkuu wa Wilaya umetengewa Tsh milioni 700
 

Sisi ghorofa zetu tunajenga kwa miliono 120-200 na zinapendeza na kukalika kwa kuji nafasi. Hawa viongozi hizi ghorofa zao huwa wananunulia vifaa wapi au gharama zinatokana na nini?

===

Mamilioni kujenga nyumba za wakuu wa wilaya na mikoa. Milioni 838 kumalizia nyumba ya mkuu wa mkoa Kagera, Milioni 170 kujenga uzio na nyumba ya mlinzi kwa mkuu wa wilaya Temeke. Milioni 555 kukarabati nyumba ya mkuu wa mkoa Ruvuma.

PIA SOMA:
-
Kakonko: Makusanyo kwa mwaka ni Tsh Milioni 539, lakini Ujenzi wa nyumba ya Mkuu wa Wilaya umetengewa Tsh milioni 700
 
Kila kitu kina Status yake, sasa ulitaka ujenzi wa nyumba ya mkuu wa mkoa iwe sawa na nyumba ya diwani?
Mzee hizo nyumba za RCs sio ngeni kwetu fanya kuzitembelea uangalie kwanza then fanya evaluation. Hivi ukisikia nyumba ya mkuu wa mkoa kimtazamo unawaza ni kama ikulu ama?
 
Back
Top Bottom