Hivi vifaa vya kujengea nyumba za viongozi huwa vinanunuliwa wapi? Nyumba moja kugharimu milioni 838

Kwani Mkuu wa mkoa yeye ni Mungu? ana tofauti gani na hao wananchi ambao watoto wao wanakaa chini shuleni hawana madawati, walimu wamechoka hawana matumaini ,hivi Nyerere angekua mbinafsi na mpuuzi wa kiasi hiki hii nchi si ingekua ya ajabu sana , hili halihitaji elimu it is simply crap
Maisha lazima yaendelea
Ww ungekuwa ni mkuu wa mkoa ungekaa kwenye nyumba ambayo inavuja?
 
Iwapo kwenye serikali ya awamu ya tano ulikubali kuitwa mnyonge nyamaza watu waendelee kupiga hela na wewe endelea kuitwa mnyonge
 
Point yake ni expenses za renovation mkuu, hili jambo liangaliwe kwa mapana, more than 500m ni kasri au.

Nyingi coz ww hauna, hata mwenye simu ya kitochi anakuona ww mwenye Tekno una matumizi mabaya, unanunuaje tekno wakati kijijini kwenu maisha magumu
 
Tatizo kubwa kwa regime iliyopita ni kuiba kupitia ujenzi na wote katika serikali ile iliamini hivyo ambao wapo katika uongozi hadi sasa. Ndio maana unaona proposal kama hizi za kiajabu. Mungu linda watanzania kwa kutuondolea hawa watu kwenye serikali yetu. Please Rias Mama Samia tupia jicho lako huko kwenye ujenzi kuna madudu ya hatari.
 
Kwani Mkuu wa mkoa yeye ni Mungu? ana tofauti gani na hao wananchi ambao watoto wao wanakaa chini shuleni hawana madawati, walimu wamechoka hawana matumaini ,hivi Nyerere angekua mbinafsi na mpuuzi wa kiasi hiki hii nchi si ingekua ya ajabu sana , hili halihitaji elimu it is simply crap

Ww mbona una maisha mazuri kuliko ndugu zako? Kwani ww ni Mungu? Unatofauti gani na ndugu zako ambao wanatumia kitochi?

Point ni kuwa maisha hayawezi kuwa sawa
 
Nyingi coz ww hauna, hata mwenye simu ya kitochi anakuona ww mwenye Tekno una matumizi mabaya, unanunuaje tekno wakati kijijini kwenu maisha magumu
Hujajib point yangu, mara kitoch mara Tecno cjakuelewa. Issue hapo amezungumzia hizo gharama kulingana na lengo ndo maan nikasema labda hilo jumba ni kasri
 
Sisi ghorofa zetu tunajenga kwa miliono 120-200 na zinapendeza na kukalika kwa kuji nafasi. Hawa viongozi hizi ghorofa zao huwa wananunulia vifaa wapi au gharama zinatokana na nini?
===

Mamilioni kujenga nyumba za wakuu wa wilaya na mikoa. Milioni 838 kumalizia nyumba ya mkuu wa mkoa Kagera, Milioni 170 kujenga uzio na nyumba ya mlinzi kwa mkuu wa wilaya Temeke. Milioni 555 kukarabati nyumba ya mkuu wa mkoa Ruvuma.

Mkuu unaweza kutupa chanzo cha taarifa yako? Kama hutojari.
 
Si mlitaka hela zirudi mtaani, sasa mnalalama nini?
Mwendazake kaenda
 
Hujajib point yangu, mara kitoch mara Tecno cjakuelewa. Issue hapo amezungumzia hizo gharama kulingana na lengo ndo maan nikasema labda hilo jumba ni kasri

Kila kitu kina Status yake, sasa ulitaka ujenzi wa nyumba ya mkuu wa mkoa iwe sawa na nyumba ya diwani?
 
Kila mkoa una Ikulu ndogo labda mikoa mipya iliyoanziashwa hivi karibuni.
Kabisa mkuu,
Na ikishaitwa ikulu NDOGO maana Unapaswa kua na uwezo wa kuhudumia msafara mzima wa RAISI.

Swali la kujiuliza,
je kawaida mh. RAISI anatembea na watu wangapi kwa wakat mmoja bega kwa bega?

Na wote hao wanapaswa kuhudumiwa kwa viwango vya ikulu (executive suite).

Kwaiyo,
hapo utaona Ni jins gani inahitajika majengo ya maana, accessories za maana na nafas ya kutosha kuhudumia umati ule.
 
Gharama zake zinatokana na manunuzi ya vifaa kwa kupitia channel ya manunuzi ya serikali! Pia consultants wana asilimia yao.

Hazijengwi kwa gharama kama ya nyumba zetu hizi tunazojenga kwa wajenzi wa kienyeji! Hivyo hata wewe ungejenga hilo ghorofa lako la mil.120-200 kwa taratibu za ujenzi wa nyumba za serikali ungechunwa kati ya mil. 300-500
Unatetea mini?!
Kupanga ni kuchagua vipaumbele kwa wananchi!
Hivi bro ikiwa kwako nyumbani wanao wana njaa, ktk mishe umebahatika kupata buku!
Badala Ununue unga nusu na robo wanao wale unaenda wanunulia Maputo?!
Itakuwa umeitendea haqi familia yako??
Nimeamini aliye shiba hamkumbuki mwenye njaa
 
Ww mbona una maisha mazuri kuliko ndugu zako? Kwani ww ni Mungu? Unatofauti gani na ndugu zako ambao wanatumia kitochi?

Point ni kuwa maisha hayawezi kuwa sawa
hujielewi wewe hapa nazungunmzia resources zinazotumiwa hovyo
 
Hiyo budget imeanza andaliwa miezi sita iliyopita Ummy Mwalimu kakuta mambo tayari haijaandaliwa ndani ya mwezi mmoja.
Sijasema lolote kuhusu muda mkuu, najaribu kuulizia uhalisia wa hiyo bajeti! Hivi hawana muda wa kuipitia kabla ya kuisoma, kisha wakalinganisha na uhalisia?

Haipendezi kuwa kama kasuku tu. Wewe kwa uelewa wako wa mambo, unasadiki ukarabati wa nyumba kwa 555m tzs? Kumalizia ujenzi kwa 838m tzs?

Kwangu mimi, tzs 555m, najenga nyumba za hadhi yake 2 kutokea chini mpaka finishing, tena ukizubaa, nakuwekea na furnitures.

Si nimeona watu wanajenga ghorofa moja kati ya 90m mpaka 120m.
 
Sijasema lolote kuhusu muda mkuu, najaribu kuulizia uhalisia wa hiyo bajeti! Hivi hawana muda wa kuipitia kabla ya kuisoma, kisha wakalinganisha na uhalisia?

Haipendezi kuwa kama kasuku tu. Wewe kwa uelewa wako wa mambo, unasadiki ukarabati wa nyumba kwa 555m tzs? Kumalizia ujenzi kwa 838m tzs?

Kwangu mimi, tzs 555m, najenga nyumba za hadhi yake 2 kutokea chini mpaka finishing, tena ukizubaa, nakuwekea na furnitures.

Si nimeona watu wanajenga ghorofa moja kati ya 90m mpaka 120m.
Ni wizi wanafuja pesa ya serikali halafu eti ela ya vifaa tiba wanapeleka mls 300. Siyo kwamba sisi ni maskini, ila viongozi vipaumbele vyao vya ajabu. Budget ya tanzania adilimia 90 ni matumizi. Juzi ulisikia budget ya ofs ya waziri mkuu? Yani bilion 123 nadhani, bilion 96 matumizi zilizobaki ndiyo maendeleo.
Sisi tutaendelea kuwa maskini milele amina
 
Back
Top Bottom