hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,478
- 6,360
Sijui naye sauti zitakatwa? Sijui wananchi wanyonge watasombwa kwenye malori?
Sijui leo vijembe vitasalimika?
Sijui leo mama zetu watadhalillishwa tena?
Sijui leo....!!??
Hapana yy Ana haki ya kusema lolote kwa mtu yeyote so hawawez kukata