Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,318
- 8,231
ulishapumbazwa mkuuMwaka huu maroli yatafanya kazi sana kupeleka watu kwenye mikutano ya ccm kuliko wakati mwingine wowote ule
ulishapumbazwa mkuuMwaka huu maroli yatafanya kazi sana kupeleka watu kwenye mikutano ya ccm kuliko wakati mwingine wowote ule
Lisu hajaanza? Membe hajaanza?
We jidanganye tu, nani hapendi kumwona JPM? Kila sehem anazuiwa kuongea na wananchi. Miradi yake inamsemeaMwaka huu maroli yatafanya kazi sana kupeleka watu kwenye mikutano ya ccm kuliko wakati mwingine wowote ule
Just wait mkuu utaelewa ninachokisemaulishapumbazwa mkuu
Kwa sababu wameanza wote wacha wapambaneWote walioanza ikiwemo Magufuli wanastahili kuenguliwa. Kwa hiyo mimi na wewe tunakubaliana.
KWA LIPI JEMA HILI LA KUSOMESHWA NAMBA HAKUNA MTZ MWENYE AKILI TIMAMU ATAKUNYWA POMBE TENA MATESO YOOTE SASA TOSHAUtawala wa JPM hata wakenya wamepunguza chokochoko zao, wakibip tunapiga tu. Mitano mingine tukuze pato hadi 1,300usd
Mkuu mbona unateseka sana kwanini usije kumpuzika tu.Just wait mkuu utaelewa ninachokisema
HUU NI WAKATI WA KUVUNA NA SIO KUPANDAWe shida yako nini?
Sema, ulitaka magufuri akufanyie nini ambacho hajafanya?HUU NI WAKATI WA KUVUNA NA SIO KUPANDA
Kwa sababu wameanza wote wacha wapambane
We umesoma namba gani? Vyeti feki na kufanya kazi kwa majungu ukienguliwa magufuri mbaya? Heshima ya utumishi lzm irudi na imerudiKWA LIPI JEMA HILI LA KUSOMESHWA NAMBA HAKUNA MTZ MWENYE AKILI TIMAMU ATAKUNYWA POMBE TENA MATESO YOOTE SASA TOSHA
Sema, ulitaka magufuri akufanyie nini ambacho hajafanya?
Mabeberu need Tanzania and Africa more than Tanzania and Africa need them. You need to reset your mind my friend. We are a rich country but they set our minds to think that we are very poor and that we cannot survive in this planet without their support.Lazima ina matatizo ya akili. Siyo bure. Sisi bado sana, hatuna uwezo wa kushindana nao.
Wakitaka, hata hako kasimu kako kanageuka kuwa kopo. Hakawezi kupata hata signal. Wakitaka hutaweza kusafiri hata kwenda kokote maana hakuna gari hata moja linalotengenezwa na nchi zetu hizi. Hata hutu tundege twetu wakitaka hatuwezi kuruka kwenda popote, hata ndani ya nchi.
Tunatakiwa kusonga mbele tukiwa tumeshikamana na Duniani
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ni nini mbona unalalamika na husemi shida ni nn?Eti Magufuri! Ulisoma mpaka darasa la ngapi? Ama ulirushwa shule ya msingi ukaenda elimu ya juu moja kwa moja.
maendeleo ya watu na sio vituSema, ulitaka magufuri akufanyie nini ambacho hajafanya?
ameshindwa kuweka misingi ya maendeleo ya wtu 5 yrs back je ataweza anaother 5 yrs comeSema, ulitaka magufuri akufanyie nini ambacho hajafanya?
Kama yapi? Msikalili nyie watu na hao akina zitto wanaofanya mikutano bila barakoa wakati walitaka nchi ifungwe ili wao wapate neema. Mbona hawafi sasa na barakoa wala social distance hawafuati?maendeleo ya watu na sio vitu
vyeti feki kwa dabo standard,bashite ,majeshini mbona wamebaki,kinachofanya kazi ni cheti au brain ya mtuWe umesoma namba gani? Vyeti feki na kufanya kazi kwa majungu ukienguliwa magufuri mbaya? Heshima ya utumishi lzm irudi na imerudi