ameshindwa kuweka misingi ya maendeleo ya wtu 5 yrs back je ataweza anaother 5 yrs come
Misingi ya maendeleo ya watu ni miundombinu.

Umeme
Reli
Viwanja vya ndege
Barabara

Hivi ndivyo huwafanya watu wafanye kazi na kukuza uchumi wao. Leo hii watu wanauza parachichi nchi za ulaya na asia.
 
vyeti feki kwa dabo standard,bashite ,majeshini mbona wamebaki,kinachofanya kazi ni cheti au brain ya mtu
Brain kama haijaandaliwa haiwezi kufanya kazi. Siyo akina mbowe wanachagua warembo na kuwapa ubunge wakati kuna watu wamemwaga damu kwa ajili ya chama wanakosa
 
Kama yapi? Msikalili nyie watu na hao akina zitto wanaofanya mikutano bila barakoa wakati walitaka nchi ifungwe ili wao wapate neema. Mbona hawafi sasa na barakoa wala social distance hawafuati?

Unataka maendelea gani ya watu ambayo yamekosekana?
maendeleo ya vitu kam hayachochei kubadili kuboreshahali za maisha ya watu huwezi sema ni maendeleo,labda tu kama lengo ni kuacha legacy ya kukumbukwa kupitia majengo
 
maendeleo ya vitu kam hayachochei kubadili kuboreshahali za maisha ya watu huwezi sema ni maendeleo,labda tu kama lengo ni kuacha legacy ya kukumbukwa kupitia majengo
Yeye ukiacha majengo ya dodoma, yapi amejenga? Yeye anajenga miundombinu ili wenye akili waitumie kupata vipato.

Nenda njombe uone watu wanavyopiga pesa. Mti mmoja wa parachichi unanunua vyakula vya mwaka mzima vya familia. Si ndo uchumi huo?
 
Brain kama haijaandaliwa haiwezi kufanya kazi. Siyo akina mbowe wanachagua warembo na kuwapa ubunge wakati kuna watu wamemwaga damu kwa ajili ya chama wanakosa
mtu anawezaakawa na shida ya vyeti sababu ya mfumo mbovu wa elimu yetu, lakini utaalamu huwezi ufoji mfano ualimu,udereva,udktari,ufundi nk.Case study baada ya kuajiriwa madereva vyeti ulishuhudia mwenyewe ongezeko la ajali za magari ya umma
 
Yeye ukiacha majengo ya dodoma, yapi amejenga? Yeye anajenga miundombinu ili wenye akili waitumie kupata vipato.

Nenda njombe uone watu wanavyopiga pesa. Mti mmoja wa parachichi unanunua vyakula vya mwaka mzima vya familia. Si ndo uchumi huo?
Chato kuna tija gani kiuchumi kwa wa chato au kitaifa zaidi ya kupoteza kodi zetu zingetumika kwenye kutatua tatizola ajira kupitia kuboresha kilimo.
project za parachichi njombe zimekuwepo kabla hata ya awamu hii,
 
Lissu atakuwa zaidi yake. Kwanza anachenga za kisheria halafu aliwahi kusema tanzania inahitaji rais mkali. Magufuri ni mkali anatufaa akamilishe
1. Kuhamia dodoma
2. Sgr ifike rwanda na burundi
3. Umeme wa stigler
4. Corona-machadema yangekuwa yamefunga nchi tunaishi kama digidigi lkn mpaka yenyewe yamefanya mikutano bila barakoa
5. Daraja la busisi
6. Barabara ya kasulu burundi na kasulu kibondo
7. Aimarishe ndege
8. Uwanja wa dodoma
9. Atunyoshee watendaji wabovu
10. Atunyoshee akina Lijualikali, Silinde, Mwambe na wasaliti wengine

Ila safari hii tutamwomba aruhusu shughuli za kisiasa
Una akili fupi kama za polepole, hiyo miradi ametekeleza kwa pesa ya mfukoni kwake?
 
majeshini mbona ajagusa vyeti kwani wao sio watumishi
Hawajamaliza std 7? Kumbuka kule elimu ya chuo ni kwa mabos, lkn wote wanafundishwa medani za kivita tu. Wote wamefuzu.

Wacha kulalamika, ona wenzio
Screenshot_20200806-224630.jpg
 
Una akili fupi kama za polepole, hiyo miradi ametekeleza kwa pesa ya mfukoni kwake?
Kwani asingetekeleza nani angemhoji? Lkn kwa uzalendo wake katekeleza hajasikiliza makelele ohoo wahisani watagoma.

Machadema muda huu tungekuwa ndani kama watoto wa ndege kwenye viota lkn sasa tunatamba na yenyewe hayavai barakoa.

Akili fupi za wanaotaka tuwakabidhi nchi
 
Chato kuna tija gani kiuchumi kwa wa chato au kitaifa zaidi ya kupoteza kodi zetu zingetumika kwenye kutatua tatizola ajira kupitia kuboresha kilimo.
project za parachichi njombe zimekuwepo kabla hata ya awamu hii,
We una heka ngapi?
Screenshot_20200806-224630.jpg
 
Kama hauoni shida, basi akili yako ndogo sana. Bishana na watu wengine. Mimi nakuacha. Kubishana na mtu kama wewe ni kujishusha sana.
Huna hoja kazi kukariri tu ujinga wa kina zitto na Lissu. Ainisha hapa ujibiwe, huwezi kalale ukue uwezo wa tafakari
 
nipo kwenye process,
KILIMO NDIO msingi mkuu ajira market ya parachichi demand yake China na Ulaya hatuwezi ijaza hata tulime wote nchi nzima.

pesa zilizowekezwa kwenye miradi hii yote yenye mbadala wake tayri laiti kama zingewkezwa kwenye kilimo zimesharudi na kuzaa mara tatu ya pesa zote zilizowekwa kwenye hio miradi isiyolazima sana cozi tayari ina mbadala wake.Hii imemaliza tatizo la ajira nchini ikiwemo kuondo au kupunguza idadi ya machinga mijini ambao ni zao la sera mbovu ya awamu hii kuhusu uchumi.
 
Kwani asingetekeleza nani angemhoji? Lkn kwa uzalendo wake katekeleza hajasikiliza makelele ohoo wahisani watagoma.

Machadema muda huu tungekuwa ndani kama watoto wa ndege kwenye viota lkn sasa tunatamba na yenyewe hayavai barakoa.

Akili fupi za wanaotaka tuwakabidhi nchi
Majukumu ya rais ni yapi? Kijana wa lumumba usitumie masaburi kutetea ujinga wako.
 
Kwani asingetekeleza nani angemhoji? Lkn kwa uzalendo wake katekeleza hajasikiliza makelele ohoo wahisani watagoma.

Machadema muda huu tungekuwa ndani kama watoto wa ndege kwenye viota lkn sasa tunatamba na yenyewe hayavai barakoa.

Akili fupi za wanaotaka tuwakabidhi nchi
Au majukumu yake ni kufanya anasa na starehe tu na akina jocate, eti? Usiwe mpuuzi, hayo ni majukumu yake kwa kutumia kodi zetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom