ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Misingi ya maendeleo ya watu ni miundombinu.ameshindwa kuweka misingi ya maendeleo ya wtu 5 yrs back je ataweza anaother 5 yrs come
Umeme
Reli
Viwanja vya ndege
Barabara
Hivi ndivyo huwafanya watu wafanye kazi na kukuza uchumi wao. Leo hii watu wanauza parachichi nchi za ulaya na asia.