Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Raheem Sterling - £49million
Kalidou Koulibaly - £34million
Marc Cucurella - £55million
Carney Chukwuemeka - £20million
Gabriel Slonina - £10million

Summer transfer budget = £300million
Total amount spent = £168million
Amount remaining = £132million

A lot more to spend!
Wote hawa mmepigwa?
 
Sema ulikuwa umfuatilii ni kama sasa koulibaly ni top best defender watu hawamuweki kwenye hiyo level kwasababu hawafatilii ligi ya Italy na team aliyochezea Napoli lakini baada ya kuja team yetu ile level aliyoonesha Napoli akaipaste hapa Chelsea utaona atavyoanza kusifiwa
Koloboi beki mzee kashachoka
 
Mkuu Pain killer Cucurella amekuwa mchezaji Bora wa msimu wa club ya Brighton kwa kura za mashabiki lakini pia kwa kura za wachezaji wenzake wa timu isitoshe ameonesha ubora dhidi ya team kubwa zote za epl amekichafua utasemaje ni mchezaji wa kawaida?
FB_IMG_1668194345401.jpg
 
Nikiwa napita pita humu kuchora nini chelshit mnawaza nimegungua mna mawazo mgando sana na sio watu wakupekua habari.

Yani mmetuliza kende zenu hapo darajani mkiwa mna mawazo kabisa eti de jong anakuja darajaninimebaki kuwaonea huruma tu maana amjui lolote kuhusu swala la De jong.

Naona kuna takataka zinasema eti de jong apendi kwenda manyumbu sababu imepoteza mvuto aipo na uefa nimecheka sana

Sijui ni wasanue sijui nikae kimya tu kuhusu swala la de jong mbaki mnajazana mafi tu kwenye ubongo
 
Msisahau Kipindi Cha Mashindano Makubwa Ya Kimataifa Ndoo Kipindi Ambcho Timu Nying Zinafanya Sajili Za Kitapeli Kama ChelKenge
IMG_20221121_095616.jpg
 
Ake akija pale arsenyeto hawezi kuwekwa benchi na vikina gabriel na cjui Ben mweupe ...Tuchel naona kampenda kwasababu ya versatility yake anaweza akakichafua hata leftback... sterling na kosakosa zake za magoli kuna arsenal player gani WA sahv anaweza akamatch numbers zake?
Make Kwanza nicheke
 
Wapiga ramli

Sijui uchawi mtaacha lini
A honest opinion.

Mimi nitakuwa wa mwisho kuamini msimu huu Arsenal atachukua ubingwa though form yenu ya sasa ni nzuri ila swala la ubingwa bado hamjawa qualified
IMG-20221113-WA0015.jpg

Angalia huu msimamo katika wakati kama huu hiyo ilikua msimu uliopita kilichotokea unakijua omba usipate majeruhi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la Sterling ni moja tu ,anahitaji kumtengenezea nafasi nyingi kufunga goli moja ....

Na ni kawaida yake kupoteza big chance one vs one na goalkeeper,japo hili ni kawaida kwa wachezaji .....

So hakikisheni mnamtengenezea chance nyingi sana ....vinginevyo mtakuja kutukana humh matusi ya Kila aina ...

Ni mtu wa kudive sana ,anajua kukokota mpira ndani ya box na kujigongesha kwa miguu ya madefender ,kashatengeneza panalt za namna hio nyingi sana city ..

Sterling ni mzuri kwa team inayopossess mpira kwani counter attack nying haziwezi ,anapoza mashambulizi sana ,japo Mara moja moja akipata kiungo mbunifa wa kupiga penetration pass Kama kdb huwa anafanya maajabu Kwan , penetration pass nyingi huwa anajikuta yupo na one vs one na goalkeeper hivyo kumalizia tu ..

Kupoteza poteza mpira kwa kulazimisha chenga ambazo sio za msingi ni kawaida yake Sterling ....

Sterling ni LW ,anakiwa one Vs one na defender akiwa upande wa left Basi huwa anajua kumgeuza na kupiga cave ...

Mbaya zaidi unakuta anakosa chance muda ambao team imelemewa hatari ,....!

Sitasahau uefa dhid ya Lyon ,tulipofungwa 3-1 ...!!
walikutukana walikukebehi ,Sasa hivi maneno yako yanatimia
 
A honest opinion.

Mimi nitakuwa wa mwisho kuamini msimu huu Arsenal atachukua ubingwa though form yenu ya sasa ni nzuri ila swala la ubingwa bado hamjawa qualifiedView attachment 2422885
Angalia huu msimamo katika wakati kama huu hiyo ilikua msimu uliopita kilichotokea unakijua omba usipate majeruhi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ni msiba, hawatakuelewa sasa hivi, ila wakikumbwa na majeruhi watakumbuka maandishi haya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom