Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kama ni mkopo itakuwa fresh, ila sio permanent.

Ningependelea zaidi Depay kwa aina ya uchezaj wetu,

Or tuwait tuappoint DOF then winter or summer tutafute kwakutulia
Auba akichukuliwa ni mkataba mfupi kwa sababu ni kutatua shida ya striker ya short term. Auba kwa mech 17 kafunga 11, Depay kwa mechi 28 kafunga 12
 
Screenshot_2022-08-04-12-45-56.png
 
Cucurella kaondolewa kwenye team inayojiandaa kwa mechi za Jumapili na Manure

Source: theathletic.com

Brighton tell Chelsea transfer target Marc Cucurella to stay away from first-team training​

 
This is too much

Todd Boehly tacticts zake ndio ilikuwa avizie mwishoni mwa dirisha afunge mabao ya ushindi. Kila mchezaji mzuri sasa anahusishwa kuja Chelsea, Hadi tetesi zinaumiza kichwa maana ni nyingi mno. Mwisho wa dirisha tunaweza jikuta tumeleta vifaa 10 vya kuotea mbali
  1. Chelsea wanang'ang'ana na Cucurela
  2. Fofana wametoa paundi mil 66 na Leicester wamekataa na bado Chelsea wanaboresha
  3. Aub mazungumzo yameanza
  4. De Jong mazungumzo yanaendelea
  5. Depay yuko kwenye list naye
  6. Cristiano bado yuko kwenye tetesi za kusajiliwa dakika za lala salama
  7. Michael Edwards naye anawindwa
  8. Rabiot naye katajwa
 
Colwill, Ampadu, Kenedy, Gilmour, Barkley and Batshuayi wote hawa hawakupewa namba na nadhani hawako kwenye plans za Tuchel aidha mkopo au kuuzwa itawahusu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom