Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,539
- 3,860
Sasa unafananisha na hii timu ambayo magoli walikuwa wanafunga mabeki?A honest opinion.
Mimi nitakuwa wa mwisho kuamini msimu huu Arsenal atachukua ubingwa though form yenu ya sasa ni nzuri ila swala la ubingwa bado hamjawa qualifiedView attachment 2422885
Angalia huu msimamo katika wakati kama huu hiyo ilikua msimu uliopita kilichotokea unakijua omba usipate majeruhi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
,



Hili timu si ndio Lukaku alikuwa anagusa mpira mara 8?
Magoli wanafunga mabeki,
Kuna mechi hata on target ilikuwa haipati
HII TIMU ILIKUWA HAINA SIFA ZA UBINGWA ....

