Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Habari za de jong kwenda Chelsea ni rumours tayari huyo Mchezaji kashakubali kuungana na bosi wake wa zamani Ten hag kinachofanya hadi sahiv kicheleweshe deal ni kuwa de jong anaidai Barca anahitaji alipwe kabla hajaama mana akiondoka anahesabika siyo tena Mchezaji wa Barca hivyo hatolipwa inakisiwa ni kiasi cha 20 euro anachowadai barca hayo ni makato ya kipindi kile cha coronavirus au covid 19
 
Too funny how Chelsea agreed a fee for Raphinha since last month and the guy just ignored them and has been waiting for Barcelona
Alafu barca wamepeleka ofa ambayo ni chini ya euro 60 ambayo Chelsea wametoa, Kiufupi wachezaji wa america hasa Brazil huwaambii kitu kuhusu Barca na Madrid
 
Pep anamuuza Ake aliyekaa bench misimu miwili kwa £45m , anaongeza 10 anaenda kumvuta Pau Tores


Ake wa kuuzwa £45m ? Anabebwa na performance ya timu?

De ligt mkaa bench Eti anauzwa €80m , beki toka atoke Ajax alisahaulika ktk raman ya soka


Shukurun Sana Baryen kaingilia kati ,ilikuwa mpigwe na Kwa De ligt


Boss wa Chelsea atapigwa za uso mpaka dirisha lifungwe

Barcelona wanataka kukomba beki zote za Chelsea Alonso, Cesar, Christsten,

Wanawaachia Mallang sarr na chalobah na babu Silva


Halafu mnamuongeza na AKe
Huyu Ake ni spana mkononi hachezi mechi 10 mfululizo bila kuumia na kurudi kitandani
 
Habari za de jong kwenda Chelsea ni rumours tayari huyo Mchezaji kashakubali kuungana na bosi wake wa zamani Ten hag kinachofanya hadi sahiv kicheleweshe deal ni kuwa de jong anaidai Barca anahitaji alipwe kabla hajaama mana akiondoka anahesabika siyo tena Mchezaji wa Barca hivyo hatolipwa inakisiwa ni kiasi cha 20 euro anachowadai barca hayo ni makato ya kipindi kile cha coronavirus au covid 19
@lembu
 
Subiri combination ya malang sarr na AKe

Na kosakosa za magoli za Rahim Sterling

Make kwanza nicheke
Ake akija pale arsenyeto hawezi kuwekwa benchi na vikina gabriel na cjui Ben mweupe ...Tuchel naona kampenda kwasababu ya versatility yake anaweza akakichafua hata leftback... sterling na kosakosa zake za magoli kuna arsenal player gani WA sahv anaweza akamatch numbers zake?
 
Mi naona sasa hivi miaka ya karibuni ulaya Hamna real football talents , yapo magalasa Tu yanayokuwahyped na maagent ili kuuzwa Kwa bei kubwa lakini Hamna kitu , huyo Sterling ,Ake na wajinga wengine ndio WA kuuzwa Kwa hiyo BEI ? Au Yule beki kilaza WA juve ? ,Huu ujinga Huu ndio unaziangamiza timu nyingi ,ndio Yale Yale ya Lukaku , mi napenda philosophy ya Liverpool ,wako makini ,na wananunua real talents at a genuine price angalia sajili zao zote ,Ila Chelsea sasa ,duh ! ,Wananunua matakataka mpaka aibu tunaona Sisi mashabiki.
Hivi hawa wajinga wameshindwa hata kufanya scouting Kule America kusini ?
Hivyo vitu ndo tuanze kutegemea madirisha ya msimu ujao tukiwa tiyari na sporting director maana ndo priority ya bwana boehly...Kwa awamu hii kidogo mambo yanaenda Kwa kulegalega
 
Tuchel kwa Ake yupo against mashabiki sasa huyo average player wake sijui ana nini special compare to Torres. Alafu tunafikiria kuclose gap na city kwa kuchukua scraper zake.
 
Tuchel kwa Ake yupo against mashabiki sasa huyo average player wake sijui ana nini special compare to Torres. Alafu tunafikiria kuclose gap na city kwa kuchukua scraper zake.
Versatility labda
 
Yani hiki kikosi kweli tutatoboa msimu ujao
20220709_151646.jpg
 
Hata huuo TT NI AVERAGE MWALIMU HUWEZ MTAKA MCHEZAJI WA HOVYO KABISA YULE
Huenda kuna kitu tuchel amekiona kwake, hata Rudiger,Christeansen wamekuwa bora chini ya Tuchel.

Hao wachezaj average ndio huwa wanafanya kazi kubwa na zinazoonekana, shida huenda ikawa bei tu,

Naima hata kwa miaka ile wakina Cahil,Ivanovic etc wanasajiliwa ingekuwa wakat huu tungewapinga n kuwakataa.
 
Deco has told Barcelona that if no deal is agreed with Leeds in 48 hours, they are going to re open talks with Chelsea for Raphinha.

Barcelona’s latest offer is again in instalments, rather than most of the fee in one go like Chelsea is offering.

➪ GOAL Brazil
 
Habari za de jong kwenda Chelsea ni rumours tayari huyo Mchezaji kashakubali kuungana na bosi wake wa zamani Ten hag kinachofanya hadi sahiv kicheleweshe deal ni kuwa de jong anaidai Barca anahitaji alipwe kabla hajaama mana akiondoka anahesabika siyo tena Mchezaji wa Barca hivyo hatolipwa inakisiwa ni kiasi cha 20 euro anachowadai barca hayo ni makato ya kipindi kile cha coronavirus au covid 19
Taarifda nyingi zinasema De Jong hayuko tayari kucheaza Europa na hataki kuhusishwa na Manure
 
Manure imekuwa timu ya kukimbiwa na wachezaji, kweli mna kazi ya kuifufua timu na msipoangalia mtateremka daraja msimu ujao

nenda kapekue, Taarifda nyingi zinasema De Jong hayuko tayari kucheaza Europa na hataki kuhusishwa na Manure.

...De Jong rules out Man Utd, Lewandowski considers Chelsea
 
Barcelona kweli wamefilisika, installment ya kwanza ya Raphinha wanaomba walipe mwaka kesho, Deco kampa 48 hrs kama hawawezi atarudi kwa Chelsea
 
Lewandowski amesema ataifikiria Chelsea baada ya kuwasubiri Barca hadi kichwa kikawaka

Robert Lewandowski 'ready to join Chelsea' if preferred Barcelona transfer collapses​

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom