Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Baada ya kumfukuza Tuchel aliekua na wastan wa ushindi wa 60% na kumleta kocha asie na mafanikio Graham Potter ni rasmi sasa baada ya vipigo

Graham Potter ndo kawa kocha wa kwanza wa Chelsea kufungwa na Brighton kwa miaka 89 iliyopita mara ya mwisho chelsea kufungwa na Brighton ni Jan 14 mwaka 1933 kwenye FA cup enzi hizo kocha ni David Calderhead.

Chelsea tulitumia £260M kwenye usajili dirisha lililopita pesa nyingi zaid kwenye usajili kuliko timu zote za ulaya, lakin hadi sasa ni mzunguko wa 12 wa Epl na mfungaji mwenye magoli mengi ni Kai Havertz mwenye Goli 3 tu Epl, huku akiwa na offside nyingi kuliko wachezaji wote Epl kafikisha offside 12 hakuna mchezaji yoyote wa Epl aliemfikia hadi sasa.

Kabla sijasahau naomba pia nikumbushe tangu Potter akabidhiwe timu kabadilisha formation Mara 9 na hii ni Mara ya kwanza kwa Brighton kuifungwa Chelsea tangu ligi ya Epl ianzishwe, na ni mara ya kwanza wachezaji wa Chelsea kujifunga goli mbili katika mechi 1 ya Epl.

...
Nasema uongo ndugu zangu? Basi mniombee.
 
Sasa kwani Gabriel Jesus kamzidi nn anuary jabir WA kagera sugar

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
IMG_20221102_192518.jpg
 
MOJA YA SAJIRI ZA KITAPELI TULIZOPIGWA ZA USO

Cucurella na Koulibaly wamenunuliwa kwa jumla ya €103million.

Kama unafikiri ile Redcard za koulibaly mwenye miaka 31 ni bahati mbaya naomba niwakumbushe ni rasmi sasa toka mwaka 2017 koulibaly ndo mchezaji aliepata redcard nyingi kuliko wachezaji wote wanaocheza ligi 5 bora za Ulaya ana redcard 6, 5 kapata Napol 1 Chelsea, toka mwaka 2017 hakuna mchezaji yeyoye wa Epl,Seria A,League 1,Laliga au Bundelsiga anaemkuta kwa redcard.

Na kama unafikiri chelsea imekamilika na inapoteza point kwa bahati mbaya naomba pia nikukumbushe Baada ya kipigo cha jana ni rasmi sasa toka mwaka 2022 uanze chelsea tumepata point chache Epl kuliko Newcastle united, Chelsea tuna point 36 na Newcastle wana point 44, na hata kule kwetu London sisi bado tuko chini Arsenal ana point 43 na Spurs 48.


Nasema uongo ndugu zangu? Basi mniombee.
 
Hivi watu wanaodai Arsenal haijapata majeruhi wanaangalia na kufatilia kweli mpira?

1. Tierney
2. Zinchenko
3. Tomiyasu
4. Partey
5. Ødegaard
6. ESR

Hao hawakua na injuries au injuries ni mpaka timu yote wachezaji wavunjike nyonga?
 
A honest opinion.

Mimi nitakuwa wa mwisho kuamini msimu huu Arsenal atachukua ubingwa though form yenu ya sasa ni nzuri ila swala la ubingwa bado hamjawa qualifiedView attachment 2422885
Angalia huu msimamo katika wakati kama huu hiyo ilikua msimu uliopita kilichotokea unakijua omba usipate majeruhi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Compare points mlizokua nazo na alizonazo arsenal kwa sasa
 
Nyie mashabiki wa Asenyeto mmelifanya hili jukwaa la kwenu kisa chelsea ipo vibaya
Jitahidini mchukue Uefa hata mara mbili ndio tutakuwa level sawa

Sasahivi nyie level yenu ni spurs huko kuongoza ligi sio kuchukua ubingwa
 
MOJA YA SAJIRI ZA KITAPELI TULIZOPIGWA ZA USO

Cucurella na Koulibaly wamenunuliwa kwa jumla ya €103million.

Kama unafikiri ile Redcard za koulibaly mwenye miaka 31 ni bahati mbaya naomba niwakumbushe ni rasmi sasa toka mwaka 2017 koulibaly ndo mchezaji aliepata redcard nyingi kuliko wachezaji wote wanaocheza ligi 5 bora za Ulaya ana redcard 6, 5 kapata Napol 1 Chelsea, toka mwaka 2017 hakuna mchezaji yeyoye wa Epl,Seria A,League 1,Laliga au Bundelsiga anaemkuta kwa redcard.

Na kama unafikiri chelsea imekamilika na inapoteza point kwa bahati mbaya naomba pia nikukumbushe Baada ya kipigo cha jana ni rasmi sasa toka mwaka 2022 uanze chelsea tumepata point chache Epl kuliko Newcastle united, Chelsea tuna point 36 na Newcastle wana point 44, na hata kule kwetu London sisi bado tuko chini Arsenal ana point 43 na Spurs 48.


Nasema uongo ndugu zangu? Basi mniombee.
Mchezaji akipata redcard ndo tafsiri kwamba timu iliyouziwa imepigwa?......uchawi mbaya Sana.... Nakukumbusha Tu pmj na redcard zake huyo ameshashinda tuzo ya beki Bora serie A, ameingia kwenye vikosi vya msimu serie A km mara 4 tiyari....huu wanaopitia yeye n Cucurella ni upepo mbaya Tu ...

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Unajitia kidole halafu unanusa

Tuliwaambia humu , ushindi wenu utakuwa 1-0,1-1,2-1,0-0, au kuchezea vipigo


Now hata Newcastle hamumuwezi,

Ila kutwa kupiga ramli Kuhusu Arsenal

Tutafukua makaburi yenu humu ya unafiki na ushirikina

Mara oho mtabeba ubingwa ,Sasa hivi mkikaa vibaya mnapekekwa nafasi za 12
Sawa mabingwa wa EPL 22/23

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi watu wanaodai Arsenal haijapata majeruhi wanaangalia na kufatilia kweli mpira?

1. Tierney
2. Zinchenko
3. Tomiyasu
4. Partey
5. Ødegaard
6. ESR

Hao hawakua na injuries au injuries ni mpaka timu yote wachezaji wavunjike nyonga?
Injury ya lini hadi lini? weka hapo
 
Nyie mashabiki wa Asenyeto mmelifanya hili jukwaa la kwenu kisa chelsea ipo vibaya
Jitahidini mchukue Uefa hata mara mbili ndio tutakuwa level sawa

Sasahivi nyie level yenu ni spurs huko kuongoza ligi sio kuchukua ubingwa
Huna timu ,kaa kwa kutulia

Darajani Ni uwanja wa mazoezi wa ARSENAL
 
Hivi watu wanaodai Arsenal haijapata majeruhi wanaangalia na kufatilia kweli mpira?

1. Tierney
2. Zinchenko
3. Tomiyasu
4. Partey
5. Ødegaard
6. ESR

Hao hawakua na injuries au injuries ni mpaka timu yote wachezaji wavunjike nyonga?
Ndio ujue Hawa mashabiki wengi humu hawajui na hawafatilii mpira

Arsenal imepata majeruhi hao kwa muda mrefu tu ,Elneny karudi Juzi, Smith bado, Zinny karudi Juzi ,

Au anataka injury za miezi 8 ?

Hawataki kukubali Wana timu bovu
 
Mchezaji akipata redcard ndo tafsiri kwamba timu iliyouziwa imepigwa?......uchawi mbaya Sana.... Nakukumbusha Tu pmj na redcard zake huyo ameshashinda tuzo ya beki Bora serie A, ameingia kwenye vikosi vya msimu serie A km mara 4 tiyari....huu wanaopitia yeye n Cucurella ni upepo mbaya Tu ...

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Koloboi na kukulera mmepigwa

Hakuna beki humo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom