Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea kwenye suala la kuuza na kununua wachezaji sijui huwa tunakwama wapi. Tunauza wachezaji wazuri sana kwa sababu za kipumbavu kabisa, kisha tunanunua wachezaji matakataka tu.

Huyu Fofana anakuja kufanya nini Chelsea!? Tena tunatoa hela nyingi kiasi hicho, aisee acha tupigwe tu maana bodi imejaa upumbavu sana.

Milan Skriniar huyu beki tumeshindwa nini kumsajili? James Tarkowski huyu beki ni msimu wa tatu namuongelea hapa, ni moja ya beki mzuri sana ni vile tu alikuwa Burnley akashindwa kuongelewa. Tarkowski anauzoefu mkubwa kwenye ligi kuu Uingereza toka msimu wa 2016/17 mpaka sasa. Burnley imeshuka daraja tulishdwa nn kumchukua huyo mwamba tena alikuwa anapatka bure kabisa, tumekalia kuchukua matakataka tu.
Mi mwenyewe nashangaa huyu Fofana ni wakawaida sana, hat Ake, huwa anarukaruka tu uwanjani na zile nywele, tena yeye ndio sababu juzi city wametobolewa kwenye ngao ya hisani.
 
------------------------- AUBA ---------------------

STERLING ----- MOUNT ----- BENARDO

----------- KANTE ---- DE JONG-------------

CHIL -- CUCU -- KOULIBALY ---JAMES

[emoji117] Toddy Boehly atuongezee:-

1. De jong
2. Auba
3. Bernado Silva

[emoji117] Hapa TT asipochukua ubingwa EPL, kibarua kiote nyasi
Aisee timu ikiwa hivi, kuna timu zitaogopa kuleta timu uwanjani.
 
Fofana! Fofana! Fofana! Fofana! Fofana!
Mimi simjui vizuri Fofana ila baada ya kusoma taarifa zinazomhusu namuona kuwa ni mchezaji mzuri
Tumuamini Kocha kwa alichokipenda, Yeye anajua mengi juu ya mchezaji kuliko sisi
 
------------------------- AUBA ---------------------

STERLING ----- MOUNT ----- BENARDO

----------- KANTE ---- DE JONG-------------

CHIL -- CUCU -- KOULIBALY ---JAMES

[emoji117] Toddy Boehly atuongezee:-

1. De jong
2. Auba
3. Bernado Silva

[emoji117] Hapa TT asipochukua ubingwa EPL, kibarua kiote nyasi
Hapo muondoe Silva
 
Ndio ujue tuna kibri, sio lazima usajiri vzr had uwe UCL

Na usajiri hatujamaliza, we need two palyers tuonyeshane makali

Nyiee mnatumia pesa nyingi kusajiri mabeki

Ngoja Ligi ianze Tuone panapovuja
Winning start with defense.

Kokote kule utakokwenda na chochote kile utachofanya Anza better defense then proceed mbele.

Hata kwenye biashara kabla hujaweka mtaji Anza na risk analysis and management then proceed.

Timu zinazoshinda zote huwa na solid defense kwanza.
 
Auba kashasema anabaki Barca , Dejong Ndiye mtamchukua

Fofana mnauziwa 85?
[emoji599] || Chelsea are reportedly willing to meet Leicester’s £85m valuation of Wesley Fofana [Via - @JackRosser_].

HIZZI DAKIKA ZA MWISHO MTAPIGWA SANA
Una wasiwasi Fofana atakuja kuwa kama Maguire? [emoji851]
 
Mkuu Pain killer Cucurella amekuwa mchezaji Bora wa msimu wa club ya Brighton kwa kura za mashabiki lakini pia kwa kura za wachezaji wenzake wa timu isitoshe ameonesha ubora dhidi ya team kubwa zote za epl amekichafua utasemaje ni mchezaji wa kawaida?
Performance ya one season ndio inawapa confidence na kuamini anahitajikan kwa bei hio ? , Cucurella ni mchezaji mzuri ila kwa hio bei hapana .....!!
 
Winning start with defense.

Kokote kule utakokwenda na chochote kile utachofanya Anza better defense then proceed mbele.

Hata kwenye biashara kabla hujaweka mtaji Anza na risk analysis and management then proceed.

Timu zinazoshinda zote huwa na solid defense kwanza.
Yaani system ingeruhusu likes 7 ningekupa
 
IMG-20220805-WA0006.jpg
 
Fofana sio beki wa standard yetu ubora wake ni upi unaojua wewe
Kabla ya kubisha umfuatilie kwanza ili baadaye usije yarudia matapishi yako. Hata mimi nilikuwa na wasiwasi naye ila kiukweli sijawahi mfuatilia. Ana miaka 21 tu na ameshajipatia namba ya kudumu kwenye first team. Leicester city ilianza kuboronga alipoenda majeruhi. Fofana anaweza asiendane na fee kubwa Chelsea inataka kulipa ila kuna vionjo ambavyo TT kaona kwake tusibishe tu, haitatujenga kama timu
Kama hujamfuatlia ebu soma maoni ya waliomfuatilia unaweza pata big picture au la subiri ligi ianze utaona kama tumepigwa au tumepiga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom