Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wachezaji walioko Injuries na Return Dates kwa leo 18/11/2022

Total injuries = 9
  1. Kepa Arrizabalaga, majeruhi anarudi 26/12/2022
  2. Reece James, majeruhi - No return date
  3. Wesley Fofana, majeruhi- No return date
  4. Ben Chilwell majeruhi- 27/12/2022
  5. N'Golo Kante, majeruhi anarudi 18/02/2023
  6. Ruben Loftus-Cheek, majeruhi- No return date
  7. Carney Chukwuemeka majeruhi- No return date
  8. Raheem Sterling - Ilness - no return date
  9. Armando Broja - majeruhi - no return date
Du jamani mbona kikosi kizima kinaumwa? Mkosi gani huu?
 
Gary Cahill atundika madaluga akiwa na umri wa miaka 36, Alipokuwa Chelsea alikuwa one of best CB na Captain wa Chelsea. Tunakutegemea siku moja utarudi Darajani, nyumbani kwako.

Congratulations on an amazing career,
@GaryJCahill
!

View attachment 2418672
One of the best defenders kuwahi kucheza pale Chelsea , ukuta wa John Terry ,Gary cahil na Ivanovic ulikuwa ni ngome ,hakatizi pimbi yeyote
 
Kwani nyie mmecha kuteseka? ukishakua shabiki wa Arse888 ww ni wakuteseka mpk kufa.
Wewe Safari hii litimu lenu lisipomaliza nafasi ya 15 ,sijui

Maana litimu limejaa mavivu na mazee kina koloboi

Hapo hapo Lina majeruhi Kama MOI
 
Arsenal wanakuwaga wakali kabla ligi haijaanza, ikianza tu wa kwenda kulima wataenda, wa kwenda kuvuna wataenda na wakwenda field wataenda. Hiyo timu Wenga aliishndwa sijui Arteta ataiwezaje
Wapiga ramli

Sijui uchawi mtaacha lini
 
This is too much

Todd Boehly tacticts zake ndio ilikuwa avizie mwishoni mwa dirisha afunge mabao ya ushindi. Kila mchezaji mzuri sasa anahusishwa kuja Chelsea, Hadi tetesi zinaumiza kichwa maana ni nyingi mno. Mwisho wa dirisha tunaweza jikuta tumeleta vifaa 10 vya kuotea mbali
  1. Chelsea wanang'ang'ana na Cucurela
  2. Fofana wametoa paundi mil 66 na Leicester wamekataa na bado Chelsea wanaboresha
  3. Aub mazungumzo yameanza
  4. De Jong mazungumzo yanaendelea
  5. Depay yuko kwenye list naye
  6. Cristiano bado yuko kwenye tetesi za kusajiliwa dakika za lala salama
  7. Michael Edwards naye anawindwa
  8. Rabiot naye katajwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom