Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Halafu mnakuja kushinda uzi wa Arsenal. Ila kuna watu wana kipaji cha kukosa utambuzi.
 
kuna haja ya maandamano timu hii iuzwe tu kwammiliki anaejua mpira chelsea sio day care ya kukuza watoto wapumbavu
 
Kenge maji.... wahuni jana wamemaliza pakti nzima....

Kwa mwendo huu hata conference league hamtashiriki next season....

Brentford akishinda anazidi kuwashusha
 
Rosemary katapeli tapeli, usikute hata ile miwani anayovaa hakaoni utumbo wa kina delap na garnacho huko uwanjani.....

Pia kanasema bodi ina imani nae....safi sana ili msimu ujao kawashushe daraja....
 
Nasikia Kocha wenu anasema mechi ijayo atapanga wachezaji wanaoipambania timu, Jamaa kama mwanamke wa kidigo Kwa maneno...Wazee Mimi naona mpumzike Kwanza kuangalia hizi mechi wakuu.
 
Kocha anasema eti Jumapili ndiyo atachagua kikosi kitakachoiwakilisha Chelsea vizuri.

Huyu jamaa amebarikiwa kuongea kubababake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom