Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

kuna haja ya maandamano timu hii iuzwe tu kwammiliki anaejua mpira chelsea sio day care ya kukuza watoto wapumbavu
 
Kenge maji.... wahuni jana wamemaliza pakti nzima....

Kwa mwendo huu hata conference league hamtashiriki next season....

Brentford akishinda anazidi kuwashusha
 
Rosemary katapeli tapeli, usikute hata ile miwani anayovaa hakaoni utumbo wa kina delap na garnacho huko uwanjani.....

Pia kanasema bodi ina imani nae....safi sana ili msimu ujao kawashushe daraja....
 
Nasikia Kocha wenu anasema mechi ijayo atapanga wachezaji wanaoipambania timu, Jamaa kama mwanamke wa kidigo Kwa maneno...Wazee Mimi naona mpumzike Kwanza kuangalia hizi mechi wakuu.
 
Kocha anasema eti Jumapili ndiyo atachagua kikosi kitakachoiwakilisha Chelsea vizuri.

Huyu jamaa amebarikiwa kuongea kubababake.
 
Mnahitaji kocha mzuri awaokoe.
Mlikosea kumfukuza Maresca
Pia timu inabidi muwe mnasajili Kwa pendekezo la kocha sio wamiliki Wala kibiashara.

Man united anguko lake lilichangiwa na sajili za wamiliki kusajili kibiashara na pia walishindwa kuwa active na kuwa na project.
MUWE MAKINI
 
Hii haina comeback 🤣🤣🤣
Screenshot_20260422-102026.jpg
 
Kajamaa Rosemary katapeli, sasa hivi kanaona maji yamezidi unga, game 5 mfululizo hamjafunga goli.... kanakuja na kauli wachezaji hawajitumi... tena mbele ya camera .... safi sana majirani tunafurahia anguko lenu
 
Kajamaa Rosemary katapeli, sasa hivi kanaona maji yamezidi unga, game 5 mfululizo hamjafunga goli.... kanakuja na kauli wachezaji hawajitumi... tena mbele ya camera .... safi sana majirani tunafurahia anguko lenu
Wazee wa Netflix mnachekesha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom