Naona unajichekeshaRosemary Fc 😂
Maafisa ubashiri washindwe wenyeweImebaki mechi 1 ya ushindi dhidi ya tottenham zilizobaki ni American charity
Mme gawa utamu tenaKuanzia sasa nitakuwa naishabikia Man City kwa mkopo hadi mwisho wa msimu, ukichukia meza wembe na limao.
Hatuna LA kupoteza 😎Naona unajichekesha
Ah kumbe zee la essay ulideclare hiviKuanzia sasa nitakuwa naishabikia Man City kwa mkopo hadi mwisho wa msimu, ukichukia meza wembe na limao.