Wanazuga wana furaha sababu Arsenal asichukue ubingwa...Sijui akimfunga City game ijayo watasemajeNiliwaambia narudia tena hamuwezi kushinda lolote kwa kutegemea magarasa mawili Caicedo na Lavia yani mtapigwa sana kenge nyie
Wanazuga wana furaha sababu Arsenal asichukue ubingwa...Sijui akimfunga City game ijayo watasemajeNiliwaambia narudia tena hamuwezi kushinda lolote kwa kutegemea magarasa mawili Caicedo na Lavia yani mtapigwa sana kenge nyie
Anataka kulazimisha kuwa umechukia😂Utajua ww, mm nimefurahi
Yani nyie magoigoi mumfunge city?Wanazuga wana furaha sababu Arsenal asichukue ubingwa...Sijui akimfunga City game ijayo watasemaje
Anataka kunipangia furaha yangu 😂Anataka kulazimisha kuwa umechukia😂
Ngoja na wao wakandwe ili mzee wetu anywe maji vzr 😂Yani nyie magoigoi mumfunge city?View attachment 3571566
Potelea mbali.Haya mkacheze conference huko mwakani
Baada ya kuharibu team yetu ndio akili zimewakaa sawa Cucurella na Enzo sikuwapinga kabisa nilitaka hiki kifanyike na wale hawakuwa na dhamira ya kweli ila walitaka kuwalazimisha wamiliki wafanye hivyo maana kelele za mashabiki haikusaidiaHabari njema
Hato atakuja kuwa beki bora sana
Viongozi wamekaa na wamekubali kuendelea kukaa na wachezaji wazoefu kupanga msimu ujao (Enzo na Cucurella walitingisha kiberiti na imelipa)
Msimu ujao wamiliki wamekubali kusajili wachezaji watakao leta impact ya moja kwa moja
Caicedo alikukosea nini ndugu?Niliwaambia narudia tena hamuwezi kushinda lolote kwa kutegemea magarasa mawili Caicedo na Lavia yani mtapigwa sana kenge nyie
Kiungo majasho hana uwezo wowote. Tulimpa ofa akakubali kesho yake asubuhi akabadili mawazoCaicedo alikukosea nini ndugu?
Kwahiyo kosa lake kukubali halafu akaja kukutaa ndio unamponda ivyo?Kiungo majasho hana uwezo wowote. Tulimpa ofa akakubali kesho yake asubuhi akabadili mawazo
Lavia na Caicedo waliikataa LiverpoolCaicedo alikukosea nini ndugu?
Huyo jamaa ni aina ya wale wanaume vijana ambao mchumba akimkataa anaweka kinyongo na bifu hadi uzeeniKwahiyo kosa lake kukubali halafu akaja kukutaa ndio unamponda ivyo?
Unachekesha ndugu.... sio kwa hawa wamiliki wenu vichwa vimeoza , wawaletee proven players.... bado mtaendelea kujiokotea vitoto vya umitashumta !!!!!!Habari njema
Hato atakuja kuwa beki bora sana
Viongozi wamekaa na wamekubali kuendelea kukaa na wachezaji wazoefu kupanga msimu ujao (Enzo na Cucurella walitingisha kiberiti na imelipa)
Msimu ujao wamiliki wamekubali kusajili wachezaji watakao leta impact ya moja kwa moja