Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Majukumu ya ufungaji anakabidhiwa Broja au Kai? Kesho ligi inaanza, lawama kwa wachezaji, kocha, board na wamiliki wanaanza rasmi kupokea lawama.

Muda wa mashabiki kutoa ushahuri na dukuduku zao zimeisha hivyo wanasubiri Kama zimefanyiwa kazi au laah...
Uongozi wafanye jitihada kumpata kiungo fundi mmoja tu kwa ajili ya kusambaza mipira mbele...Kama De Jong hapatikani basi Conor apewe mbinu ili afanye hiyo kazi.
Leo saa nne uskiku ndio ligi inaanza Selhurst Stadium Arsenyeto wakishughulikiwa na wenzao wa London
 
Paragraph ya mwisho ndio sababu inayofanya nimkatae Huyo mchezaji
Kumbuka kila mchezaji ana madhaifu yake. huwa tunapima liabilities na Assets, asset ikiwa kubwa kuliko liabbilities huyo mchezaji anafaa. After all madhaifu yanaenda yakipotea. Kwa umri wake huo naamini ataifaa sana Chelsea kuliko tunavyofikiri. Mbaya tu tunamwaga pesa nyingi mno
 
Huyu Fofana ana nini cha ziada?
Soma maoni yangu huko nyuma nilishaelezea kama mara mbili, unaweza pia tembelea Youtube andika Fofana welcome to Chelsea angalia video na soma maoni ya watu kwa uangalifu utaona anavyosemwa negatively na positively. Mimi niliposoma wengi wanalaani pesa nyingi Chelsea anazotoa
 
Nikiwa napita pita humu kuchora nini chelshit mnawaza nimegungua mna mawazo mgando sana na sio watu wakupekua habari.

Yani mmetuliza kende zenu hapo darajani mkiwa mna mawazo kabisa eti de jong anakuja darajani[emoji16][emoji16]nimebaki kuwaonea huruma tu maana amjui lolote kuhusu swala la De jong.

Naona kuna takataka zinasema eti de jong apendi kwenda manyumbu sababu imepoteza mvuto aipo na uefa nimecheka sana[emoji16][emoji16]

Sijui ni wasanue sijui nikae kimya tu kuhusu swala la de jong mbaki mnajazana mafi tu kwenye ubongo[emoji16][emoji16][emoji16]
De Jong hawezi kuja Old Transford na akija ni kwa sababu sisi hatukumtaka kumsajili, period
Na ameshweka wazi akilazimishwa kutoka Camp Nou angependa kwenda kuchezea timu inayocheza UCL na alipoint Chelsea na Bayern Munich

Hilo litimu la Dunia limejifia huko wachezaji wazuri hawataki kuja hapo

 
Hayo makombe man shit hawajawahi yagusa which make them kuwa klabu ndogo ya uchochoroni. Yaani Hawa a tofauti na makolo
Weww mbwa Kama team lako halina consistency hata mchukue kombe la dunian na mbinguni mtabaki mafala tu ...

Man city itaendelea kuwatesa hata Kama haina CL ,sijui super cup CWC ,hata sijui Europa.....


Football is all about consistency sawa kenge maji wewe ....

Kwanza msimu umeisha Huna hata kombe ,harafu unabishana na champion of England,kalale mbweha njano wewe .....
 
Nikiwa napita pita humu kuchora nini chelshit mnawaza nimegungua mna mawazo mgando sana na sio watu wakupekua habari.

Yani mmetuliza kende zenu hapo darajani mkiwa mna mawazo kabisa eti de jong anakuja darajani[emoji16][emoji16]nimebaki kuwaonea huruma tu maana amjui lolote kuhusu swala la De jong.

Naona kuna takataka zinasema eti de jong apendi kwenda manyumbu sababu imepoteza mvuto aipo na uefa nimecheka sana[emoji16][emoji16]

Sijui ni wasanue sijui nikae kimya tu kuhusu swala la de jong mbaki mnajazana mafi tu kwenye ubongo[emoji16][emoji16][emoji16]
We jamaa huwa unanichekesha sana japo tim lako bovu huwa unamatumaini makubwa sana[emoji23][emoji23][emoji23] na wala huchoki

Hongera bro
 
Huyu Enrick tukimsajili tutatisha kwa zaidi ya miaka 10 ijayo

Boehly wants Endrick​

The Brazilian has captured the attention of people all around football for his outstanding talent at Palmeiras.
 
De Jong hawezi kuja Old Transford na akija ni kwa sababu sisi hatukumtaka kumsajili, period
Na ameshweka wazi akilazimishwa kutoka Camp Nou angependa kwenda kuchezea timu inayocheza UCL na alipoint Chelsea na Bayern Munich

Hilo litimu la Dunia limejifia huko wachezaji wazuri hawataki kuja hapo

Wewe unajitiaga mchambuzi kumbe amna kitu fatilia sakata la de jong kwanza hafu ndo ujue kwanini anaongea ivyo sio kusema mafi mafi tu hapa.
 
Wewe unajitiaga mchambuzi kumbe amna kitu fatilia sakata la de jong kwanza hafu ndo ujue kwanini anaongea ivyo sio kusema mafi mafi tu hapa.
De Jong hataki united Kwa Nini usikii wewe.
 
Weww mbwa Kama team lako halina consistency hata mchukue kombe la dunian na mbinguni mtabaki mafala tu ...

Man city itaendelea kuwatesa hata Kama haina CL ,sijui super cup CWC ,hata sijui Europa.....


Football is all about consistency sawa kenge maji wewe ....

Kwanza msimu umeisha Huna hata kombe ,harafu unabishana na champion of England,kalale mbweha njano wewe .....
Wewe inakuuma sana ndio upo humu kwenye klabu ya wanaume.

Kule li Uzi lenu uko mwenyewe [emoji1787][emoji1787].

Man shit [emoji90] man kinyesi hadi mbebe UCL ndio tutaongea lugha moja tuelewanae.

Tunawaza ongea na astoni villa ila sio man kinyesi.

Acha kung'ang'ani wanaume
 
De Jong hataki united Kwa Nini usikii wewe.
Acha tuone mwisho inakuaje maana lazima de jong aondoke tu pale Barcelona maana sheria za la liga zinawataka watoe wachezaji maana wamesajili sana.
 
Acha tuone mwisho inakuaje maana lazima de jong aondoke tu pale Barcelona maana sheria za la liga zinawataka watoe wachezaji maana wamesajili sana.
De jong kasema ataondoka tu pale atapopokea offer ya Chelsea
 
Chelsea wamesha submit ofa ya pili ya Fofana ya Paundi 70m Leicester wanataka 80m
Kuna uwezekano pia Ampadu akajumuishwa kwenye swap deal
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom