Conor anavyoonekana atahitaji muda zaidi, kule Palace alifanya vizuri kwa sababu hakuwa na presure. Huku kila mtu anakupa presure, mashabiki, kocha, management etcMajukumu ya ufungaji anakabidhiwa Broja au Kai? Kesho ligi inaanza, lawama kwa wachezaji, kocha, board na wamiliki wanaanza rasmi kupokea lawama.
Muda wa mashabiki kutoa ushahuri na dukuduku zao zimeisha hivyo wanasubiri Kama zimefanyiwa kazi au laah...
Uongozi wafanye jitihada kumpata kiungo fundi mmoja tu kwa ajili ya kusambaza mipira mbele...Kama De Jong hapatikani basi Conor apewe mbinu ili afanye hiyo kazi.
Atavaa 32,ninahisi Cucurella anaweza kuvaa jezi ya no 3 kama Alonso atasepa au namba 25.
Vip kuhusu Jack Grealish anaendana na thamani ya paunds 100m mliomnunua?Performance ya one season ndio inawapa confidence na kuamini anahitajikan kwa bei hio ? , Cucurella ni mchezaji mzuri ila kwa hio bei hapana .....!!
Paragraph ya mwisho ndio sababu inayofanya nimkatae Huyo mchezajiBaada ya kumfuatlia Fofana Youtube, najua sio gauge nzuri ila inakupa big picture ya mchezaji ambaye hujawahi kumfuatilia
Udhaifu wake niliouona ni kwamba kwenye presure kubwa anajipigia tu bila kuangalia inakwenda kwa nani na hivyo anaweza expose timu kwa counter attack
- Kwanza ni mwepesi wa kuwahi na kusuia mashambulizi
- Ana anticipate vizuri mwenendo wa opponent wakiwa na mpira na hivyo kuwepo kwenye tukio on time kama Kante anavyofanya
- Ana controll nzuri ya mpira yaani king'ang'anizi hapkonywi mpira kirahisi
- Anaruka vizuri na hivyo kuweza kuokoa mipira ya juu
- Kwa umri wake wa 21yrs atakuwa asset nzuri kwa Chelsea
Na yeye atakuwa moto wa kuotea mbali. Naona kama Chilwell atapata presha mbaya sana. Lakini pia TT anaweza kuwachezesha wote kwa wakati mmoja. Cucu kama left center back kwa back-three na Chilwell kama left midfielder kwenye 4 midfield.Hatimae tumempata mchezeji mwenye msitu wa nywele baada ya Luiz na Willan kuondoka![]()
TT anataka kubet na kuanza msimu hana strikers,false nine haiwezi ,pep na klopp wenyewe wameshaona bana eeeh tutafute striker![]()
Nahisi Usajili wa Fofana, De Jong na Auba ukitick ndio itakuwa wa mwisho msimu huu na unaweza kuigharimu timu paundi mil 150 hadi 160 hivi
Auba kashasema anabaki Barca , Dejong Ndiye mtamchukua
Fofana mnauziwa 85?
|| Chelsea are reportedly willing to meet Leicester’s £85m valuation of Wesley Fofana [Via - @JackRosser_].
HIZZI DAKIKA ZA MWISHO MTAPIGWA SANA
Ila kiukweli wakati mwingine makasiriko ndio yanaleta mchecheto sana. Imagine kuna mtu kutoka jukwaa lingine anakuja kutunanga humu hapohapo unakuta mtu wa humuhumu nae anakandia hasa labda baada ya kupata matokeo mabovu siku mambo yakibadilika inakua zamu yao vikejeli, misemo yan inakua inaleta raha sana
Swali zuriHuyu Fofana ana nini cha ziada?
Kocha ndiye anayejua anachokihitaji kwa Fofana. Sisi watoto hatuwezi kujichagulia mama mdogo. Baba ndiye mwenye vigezo na ndiye anayeujua utamu wakeHuyu Fofana ana nini cha ziada?

Hayo si makombe ya mwaka juzi auBila Striker:- UCL, UCL SUPER CUP na WCC.




Koulibally alikuwa kwenye top level wa defenders duniani tangu akiwa Napoli na every body knew it labda wachacheSema ulikuwa umfuatilii ni kama sasa koulibaly ni top best defender watu hawamuweki kwenye hiyo level kwasababu hawafatilii ligi ya Italy na team aliyochezea Napoli lakini baada ya kuja team yetu ile level aliyoonesha Napoli akaipaste hapa Chelsea utaona atavyoanza kusifiwa
Fofana hajulikani sana kwa sababu hakucheza kwenye timu kubwa ila sio wa kumuunderate
Fofana ni mzuri sana kwenye kuwin mipira ya juu akiwa na urefu mzuri wa futi 6 na inchi 3 sio kama Kounde mfupi. Fofana ni mwepesi kurecovcer na kuzuia counter, Fofana ana uwezo mkubwa wa kublock na kizuri kwake zaidi anajua kufanya timing, awe wapi kwa muda gani, anataka kufanana na anavyofanya Kante ila yeye kwenye defensive area. Fofana anaweza kubreak lines kama na nadhani ni moja ya factor TT kampendea. Sidhani kama TT atakubali pesa nyingi zipotee kwa mchezaji asiyemjua. Tumuamini TT. Ndio maana kwa Ake city alipokataa dau letu TT hakuendelea kumng'ang'ania.
Hapo juu nimeeleza alichonacho zaidiHuyu Fofana ana nini cha ziada?

nimebaki kuwaonea huruma tu maana amjui lolote kuhusu swala la De jong.



