Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Picha ya kwanza ipo kwenye report ya unhabitat ya mwaka 2009 (director wake akiwa ni mbongo Prof Anna Tibaijuka) link hii hapa https://unhabitat.org/sites/default...iles/Tanzania Dar es Salaam Urban Profile.pdf
View attachment 2487383

Picha ya pili ni mwaka 2012 (link hii hapa, The Harbor Slums Of Dar Es Salaam In Tanzania Editorial Stock Photo - Image of salaam, port: 90690013)
View attachment 2487375
Picha ya tatu na nne nazo ni za mwaka 2012 (link yake hii hapa, The street market of the city of Dar Es Salaam in Tanzania, 26. September 2012)
View attachment 2487376
Picha ya mwisho link yake hii hapa Repercussions of Improved Municipal Solid Waste Management on Flood Risk Reduction: The Case of Dar es Salaam, Tanzania

Hatutaki picha za zaman, tunataka picha za either mwaka huu au mwaka jana. Kila mtu zaman maisha yake yalikuwa duni, wengine tulianza maisha tumepanga kwenye vibanda lkn saiz tumeendelea kimaendeleo na kujenga nyumba nzuri tu. Nyie pamoja na GDP kubwa, maisha yenu bado ni duni sana
Huwa wana hizo pictures tu, wanafosi kweli tufanane ila pictures ndio tatizo inawalazimu kufake pictures ili waende sambamba 😅
 
Kuna nchi chafu mkuu hapa Afrika unaweza dhani ni utani cz huku kwetu hatuna uchafu kama huo, kwa hapa Africa nchi chafu zaidi ni Kenya unaambiwa Kenya mavi ya binaadamu yapo kila kona yn ukikata kona kushoto unakutana na mavi ukikata kulia kuna mavi
Halafu kuna madogo wanatembea nayo kwenye vimfuko ukiombwa hela na usitoe unarushiwa na siku yako yote inaharibika. Laana siyo bure aisee.
 
NHC inafanya vizuri sana kununua eneo kubwa kisha kupima viwanja, kuweka miundombinu na kuviuza kwa wananchi vikiwa already surveyed, hii inapunguza makazi holela

Wakizingatia masterplan hii Arusha itapendeza sana

View attachment 2486683View attachment 2486684

Ila wawe makini na madalali/walanguzi, walafi, wapigaji. Unakuta mtu mmoja ananunua viwanja kama 100 halafu anavipima upya kwenye kiwanja kimoja anatoa hata vitatu ili apige pesa. Shida ndipo inaanzia hapo ujenzi holela na kuharibu master plan ya eneo.
 
Nipo mitaa ya The Best 007 huku

IMG_4617.jpg

IMG_4618.jpg

IMG_4619.jpg

IMG_4620.jpg

IMG_4621.jpg

IMG_4624.jpg

IMG_4625.jpg

IMG_4626.jpg

IMG_4622.jpg
 
Serikali inatakiwa wawe wakali sn kwenye suala la ujenzi holela, wasichekee wananchi hata kidogo, mtu aki violate nyumba ibomolewe kabisa nadhani hyo itafanya wananchi kuwa waoga na kutii sheria. Hata huku Dar ingekuwa hivyo hivyo.
Serikali ikianza kuchukua hatua za namna ndio utajua Tnazania kuna wanaharakati wa kutetea ujinga. Wakiona kelele zao hazisikiki ndani wanatimkia nje na kuomba serikali ifungiwe misaada na mikopo ya riba nafuu kwasababu ina uonevu.

Wananchi nao wabadilike. Utu tu viwanja twa 20/15 ni majanga kwa kweli.
 
Hakuna mtu anaweza kuishi na hawa wapumbavu, Samia aliona kama Magu alikua anawaonea ila nafikiri ushamba wa madaraka unamuisha taratibu na kuona wakenya ni watu wa aina gani.

Hajanunua parachichi changa kwa bahati mbaya, kanunua na atipaki kwa nembo ya Tanzania ili kuharibu soko la parachichi za Tanzania kimataifa
Ni kweli 100%
 
Back
Top Bottom