Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bongolala, sehemu naishi huwezi afford hata siku moja. Wewe zoea maisha ya uchochole ya uswazini. Huko Donholm niliishi miaka ya kitambo, 2009-2013 to be precise. I know it inside out. About Migori, huko ni kwetu nyumbani, I was there the whole of December and a good part of this month na bado nitarudi soon so sijui inakuuma kwa nini

Hivi, kama huna hoja si unyamazage tu! Sio lazima uquote every post here if you don't have something constructive to say.
Hata ukiumia ukweli utaambiwa tu, kwnn ukatae unapoishi, Migori ndipo unapatikana 24/7 na ndipo kwenu uliwahi kusema kuna shamba mliachiwa na babu yenu ndio mnajivunia ukoo mzima.
 
Nyie estate roads ziko sehemu za matajiri pekee lkn sehemu za mafukara kama Migori ni vumbi mwanzo mwisho, sisi access roads zipo mpk uswazi na nili share humu, hatuko sawa we are different msee.
Shugulikeni kwanza na hizi barabara za vumbi kwenye mitaa yenu ya "kifahari" kama hizi hapa kwanza ndio utaje vitu vidogo kama Migori kinywani mwako
20221124_135741.jpg
 
Hata ukiumia ukweli utaambiwa tu, kwnn ukatae unapoishi, Migori ndipo unapatikana 24/7 na ndipo kwenu uliwahi kusema kuna shamba mliachiwa na babu yenu ndio mnajivunia ukoo mzima.
Sawa bongolala. I hope that will give you an easy time kujiliwaza hapo uswazini
 
Tanzania imebakia wapi? tangu the 2022 Wealth Report by Knight Frank iwaumbue mliwakataa, independent bodies wenyewe wanataja Kenya, sio sisi ni dunia yenyewe inatutambua kwa mabaya na mazuri, wenye wivu wajinyonge., ichoboy01 na The best 007 jivunie dollar billionaire wenu mmoja na BRT pekee.., mengine fyata
Sasa Oxfam in the light of Forbes na Wealth X, wametoa yao; "The report, published on Wednesday, has been released on the sidelines of the World Economic Forum in Davos, Switzerland..."
View attachment 2487517
View attachment 2487518
View attachment 2487519
View attachment 2487520
View attachment 2487521
You should rather celebrate poverty decline than this,Cause most of Kenyans are poor like any other African countries
 
Huku mwehu hawezi leta picha, anapita kimya kimya kwa maumivu.., anatafuta taka na mapungufu kujiliwaza, baba levo alizurura akakubali yaishe., 😂 😂 😂 😂
images-2023-01-19t105501-725-jpeg.2487348

beautiful-estate-nairobi-kenya-african-continent-environment-africa-beautiful-estate-nairobi-2-jpg.2487374
Si wajua hali ilivyo Dar? With all those uswazi hovels covering their entire city where else would he camp at if not the bad places in Nairobi to compare notes?
 
You should rather celebrate poverty decline than this,Cause most of Kenyans are poor like any other African countries
I like your reasoning but do you remember how much Tanzanians celebrated in here when Forbes said Tanzania has a dollar billionaire. Hiyo taarifa ilikuwa ukiwekwa hapa kila siku!
 
I like your reasoning but do you remember how much Tanzanians celebrated in here when Forbes said Tanzania has a dollar billionaire. Hiyo taarifa ilikuwa ukiwekwa hapa kila siku!
Yes yupo But watu wengi wanahali duni, tufike walau per capita ya $3000 na masikini wawe wachache itakua inamake sense kiasi fulani, Unajua Ni vile tu Watu weusi tunaubinafsi hatupendi kuinuana...
 
Wakati nchi yetu inakimbia kwa maendeleo wao wapo na picha za mitandaoni za Tanzania ya 90s, mm nawaambia itafika kipindi humu wataleft wenyewe cz wataona aibu sisi daily tunapost vitu vipya wao wapo palepale na expressway ya mchina, GTC ya mchina pia wakimaliza na vi estate viwili vitatu vya wasomali na wachina.
 
Alafu wewe unaishi Migori hakuna mkunya hata mmoja wa humu anaishi sehemu yenye afadhali, wote nyie mnaishi sehemu duni kama ilivyo asilimia kubwa ya Wakenya. Nyie mngekuwa mnaishi sehemu afadhali kdg tusingelala humu mana tunawajua kwa sifa.
Tungeona hapa, Kapark wapi mkoko, kala nini lunch leo, ana ticket ya holiday wapi , anasukuma mkoko gani etc 😂 kama Expressway na Majengo ya Mchina tunaonyeshwa hivi kila saa je private life kama wapo vizuri tungehama humu na album za picha. Kuna msela ana residence permit ya ulaya imeexpire miaka mingi lakini bado anayo na anatuonyesha humu 🤣🤣. Kuna mwingine ana lipiwa kila kitu na pisi mbovu yenye harrier na anajaza album za fuckation humu . kuna mmoja alinunua bites za 3000 supermarket na katuwekea humu 😂. hata kama wanasema hawapendi show off, lakini vitu walivyonavyo kama simu, etc pia vibovu kuna jamaa alipiga picha za location kali huko kwao na device inayoaminika ya mwaka 2006 🤣.
Screen Shot 2023-01-19 at 16.19.09.png
 
Tungeona hapa, Kapark wapi mkoko, kala nini lunch leo, ana ticket ya holiday wapi , anasukuma mkoko gani etc 😂 kama Expressway na Majengo ya Mchina tunaonyeshwa hivi kila saa je private life kama wapo vizuri tungehama humu na album za picha. Kuna msela ana residence permit ya ulaya imeexpire miaka mingi lakini bado anayo na anatuonyesha humu 🤣🤣. Kuna mwingine ana lipiwa kila kitu na pisi mbovu yenye harrier na anajaza album za fuckation humu . kuna mmoja alinunua bites za 3000 supermarket na katuwekea humu 😂. hata kama wanasema hawapendi show off, lakini vitu walivyonavyo kama simu, etc pia vibovu kuna jamaa alipiga picha za location kali huko kwao na device inayoaminika ya mwaka 2006 🤣.
View attachment 2487662
Bongolala, Sasa unataka watu waanze kuanika private life zao hapa ndio iweje? Why would a sane person share his private information for all and sundry especially in a forum like this?
Anza wewe kwa kutuwekea picha yako kisha tufate na sisi pia
 
Tungeona hapa, Kapark wapi mkoko, kala nini lunch leo, ana ticket ya holiday wapi , anasukuma mkoko gani etc kama Expressway na Majengo ya Mchina tunaonyeshwa hivi kila saa je private life kama wapo vizuri tungehama humu na album za picha. Kuna msela ana residence permit ya ulaya imeexpire miaka mingi lakini bado anayo na anatuonyesha humu . Kuna mwingine ana lipiwa kila kitu na pisi mbovu yenye harrier na anajaza album za fuckation humu . kuna mmoja alinunua bites za 3000 supermarket na katuwekea humu . hata kama wanasema hawapendi show off, lakini vitu walivyonavyo kama simu, etc pia vibovu kuna jamaa alipiga picha za location kali huko kwao na device inayoaminika ya mwaka 2006 .
View attachment 2487662
 
Bongolala, Sasa unataka watu waanze kuanika private life zao hapa ndio iweje? Why would a sane person share his private information for all and sundry especially in a forum like this?
Anza wewe kwa kutuwekea picha yako kisha tufate na sisi pia
Kwani we hujawahi kuweka humu private life yako? Au nikukumbushe msee.
 
Kwani we hujawahi kuweka humu private life yako? Au nikukumbushe msee.
Si wewe umesema siishi Nairobi? And btw, that was a mistake I did back then. Nyinyi nimewahi post hadi picha za wristwatch na simu hapa 😂
 
Tungeona hapa, Kapark wapi mkoko, kala nini lunch leo, ana ticket ya holiday wapi , anasukuma mkoko gani etc kama Expressway na Majengo ya Mchina tunaonyeshwa hivi kila saa je private life kama wapo vizuri tungehama humu na album za picha. Kuna msela ana residence permit ya ulaya imeexpire miaka mingi lakini bado anayo na anatuonyesha humu . Kuna mwingine ana lipiwa kila kitu na pisi mbovu yenye harrier na anajaza album za fuckation humu . kuna mmoja alinunua bites za 3000 supermarket na katuwekea humu . hata kama wanasema hawapendi show off, lakini vitu walivyonavyo kama simu, etc pia vibovu kuna jamaa alipiga picha za location kali huko kwao na device inayoaminika ya mwaka 2006 .
View attachment 2487662

Wanavyo penda sifa za kijinga sipati picha wangekuwa na maisha mazuri!

Kuna siku niliomba tuwe tunashare mini statement humu ili tuone tunabishana na kondoo aina gani.
 
Tanzania imebakia wapi? tangu the 2022 Wealth Report by Knight Frank iwaumbue mliwakataa😂😂😂😂😂😂, independent bodies wenyewe wanataja Kenya, sio sisi ni dunia yenyewe inatutambua kwa mabaya na mazuri, wenye wivu wajinyonge., ichoboy01 na The best 007 jivunie dollar billionaire wenu mmoja na BRT pekee.., mengine fyata 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Sasa Oxfam in the light of Forbes na Wealth X, wametoa yao; "The report, published on Wednesday, has been released on the sidelines of the World Economic Forum in Davos, Switzerland..."
View attachment 2487517
View attachment 2487518
View attachment 2487519
View attachment 2487520
View attachment 2487521
Naona munajifariji kweli kweli 🤣🤣🤣🤣 yani hamulali kabisa kisa maendeleo ya tanzania
 
Back
Top Bottom