Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiyo ni kawaida, kwani nyie c mlikuwa mnamkataa mkikuyu akili timamu humu mkasema sio mkenya kisa alikuwa anawachana ukweli.
Mkikuyu akili timamu si mkenya neither is he a kikuyu for a fact kila akiongeleshwa kikuyu alikua harespond
 
Britam, upperhill
FB_IMG_1674108968665.jpg
103564325_195130975062421_7651693845129205235_n.jpg
21879478_148164482454503_4597700415205670912_n.jpg
103731616_132716371769732_6702726910691358955_n.jpg
68933284_542559319821711_601936615259685491_n.jpg
129736197_1115819908850938_1213121351863384204_n.jpg
 
Kweli kabisa, jamaa yupo real mno and he means business, ukimessup hakwepeshi, hao wakenya hawatamsahau sababu wamepata double kick, kwanza wamenunua parachichi kwa wakulima, wakiwa kwenye harakati za kuyapack kwa lebo ya Tanzania wakashtukiwa wakashurutishwa wakayatupe then na leseni wakafutiwa na Tanzania hawatakiwi kuonekana, hii kitu ni zaidi ya sugunyo na pelesu pelesu
Akamwambia kabisa kachezee sehemu nyingine sio ya kilimo baadae tukimpa urais namuona akitumia kauli ya Magufuli "chezea kwengine sio Tz ya Bashe"
 
imebidi nicheke eti Kilimani sijui Coolest...

Mnatafuta vititle vya kisenge ili muonekane kwenye world map...

Tusema ukweli kilimani pakawaida sana...kuna apartments tu na road zisizo na sidewalks
Dar barabara za tope tuseme nini?
 
Club ya Simba SC 🇹🇿 ni club bora no. 7 Africa mpk January, 2023 (club world ranking for 2022).. imeshika no. 107 duniani.
Yanga 🇹🇿 ni no. 19 Africa, no. 199 duniani

IFFHS ni shirikisho la kimataifa linalohusika na historia na takwimu za mpira wa miguu duniani. (International Federation of Football History & Statistics)
Mwendelezo wa Takwimu kwa mujibu wa IFFHS.
Ligi kuu ya Tanzania bara 🇹🇿 imekuwa ligi bora barani Africa no. 5, na no. 39 duniani kwa mwaka 2022
Ligi 10 bora Africa
1. Egypt 🇪🇬
2. Algeria 🇩🇿
3. Morocco 🇲🇦
4. Sudan 🇸🇩
5. Tanzania 🇹🇿
6. South Africa 🇿🇦
7. Angola 🇦🇴
8. Tunisia 🇹🇳
9. Nigeria 🇳🇬
10. Zambia 🇿🇲



Tujikumbushe. Kwa mwaka 2021, tulikuwa ligi ya 10 Africa


Mwaka 2020, tulikuwa wa 8
 
Back
Top Bottom