Hivi hawa wanapata wapi ujasiri wa kujilinganisha na sisi, unajuwa mm mpk ss sielewi kabisa naona kama tunawapa kiki tu ku battle na wachafu kunuka kama hawa.
Mkikuyu akili timamu si mkenya neither is he a kikuyu for a fact kila akiongeleshwa kikuyu alikua harespondHiyo ni kawaida, kwani nyie c mlikuwa mnamkataa mkikuyu akili timamu humu mkasema sio mkenya kisa alikuwa anawachana ukweli.
Comment zao za hasira sasa🤣🤣🤣🤣
Ila hizi picha zinawauma mjuwe mana hii ni tafsiri ya kukosa akili, ustaarabu na umaskini wa kutupa, Kenya nzima ni chafu hakuna kwenye uhafadhali.
Akamwambia kabisa kachezee sehemu nyingine sio ya kilimo baadae tukimpa urais namuona akitumia kauli ya Magufuli "chezea kwengine sio Tz ya Bashe"Kweli kabisa, jamaa yupo real mno and he means business, ukimessup hakwepeshi, hao wakenya hawatamsahau sababu wamepata double kick, kwanza wamenunua parachichi kwa wakulima, wakiwa kwenye harakati za kuyapack kwa lebo ya Tanzania wakashtukiwa wakashurutishwa wakayatupe then na leseni wakafutiwa na Tanzania hawatakiwi kuonekana, hii kitu ni zaidi ya sugunyo na pelesu pelesu![]()









Kwani ni lazima aongee kilugha azalani?Mkikuyu akili timamu si mkenya neither is he a kikuyu for a fact kila akiongeleshwa kikuyu alikua harespond
Hawa si ndo walisema Matajiri wa Tz ni wahindi watupu...Kwann below poverty line isiwe kubwawatu wa nne tu wana utajiri wa karibu nusu ya population ya wakenya
HAHAHAHAHAHAHA, Mbaya zaidi hawa ni matajiri wahindi wakuja, hawana uchungu wowote na wakunyaHawa si ndo walisema Matajiri wa Tz ni wahindi watupu...
Mbona kwao ni hivyo hivyo...
Dar barabara za tope tuseme nini?imebidi nicheke eti Kilimani sijui Coolest...
Mnatafuta vititle vya kisenge ili muonekane kwenye world map...
Tusema ukweli kilimani pakawaida sana...kuna apartments tu na road zisizo na sidewalks
Kuna ka msemo cha Mwenyekiti ICHOBOY, kwenye maneno 100 ya Mkenya ikiwezekana usichukue hata moja 🤣HAHAHAHAHAHAHA, Mbaya zaidi hawa ni matajiri wahindi wakuja, hawana uchungu wowote na wakunya
Uchafu CBD huo
Mwendelezo wa Takwimu kwa mujibu wa IFFHS.Club ya Simba SC 🇹🇿 ni club bora no. 7 Africa mpk January, 2023 (club world ranking for 2022).. imeshika no. 107 duniani.
Yanga 🇹🇿 ni no. 19 Africa, no. 199 duniani
IFFHS ni shirikisho la kimataifa linalohusika na historia na takwimu za mpira wa miguu duniani. (International Federation of Football History & Statistics)