Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mzee tuongee ukweli,sindano zimekuingia kisawasawa
Aah wapi, propaganda huwa hazinisumbui., mwambie achukue aerial view ya hayo maeneo tuone palivyo kwa upana na urefu.., ba mzee Nairobi sio Dar is slum, mwenzako anajaribu kujiliwaza tu..., Nairobi na Mombasa sio mwenzenu, kujiliwaza itabidi mtafute mapungufu yake ili mjisikie nafuu, kiukweli nyie bado sana, bado mko na sura ya kizamani na ufukara ulio tapakaa...,
 
Aah wapi, propaganda huwa hazinisumbui., mwambie achukue aerial view ya hayo maeneo tuone palivyo kwa upana na urefu.., ba mzee Nairobi sio Dar is slum, mwenzako anajaribu kujiliwaza tu..., Nairobi na Mombasa sio mwenzenu, kujiliwaza itabidi mtafute mapungufu yake ili mjisikie nafuu, kiukweli nyie bado sana, bado mko na sura ya kizamani na ufukara ulio tapakaa...,
Pole sana,misumari siku zote haimuachi mtu salama,
 
Huku mwehu hawezi leta picha, anapita kimya kimya kwa maumivu.., anatafuta taka na mapungufu kujiliwaza, baba levo alizurura akakubali yaishe., 😂 😂 😂 😂
images-2023-01-19t105501-725-jpeg.2487348

beautiful-estate-nairobi-kenya-african-continent-environment-africa-beautiful-estate-nairobi-2-jpg.2487374
 
Pole sana,misumari siku zote haimuachi mtu salama,
Kama tulivyo wabana, siku hizi hamna nguvu tena za kutudanganya, tumewafumania mmekosa jibu, jiliwaze inakubalika ila hapa 👇 👇 hamtoki kwa kizazi hiki poleni ba mzee, msife moyo pengine vitukuu vyenu vitaona na kukula mema ya nchi, ila sio nyinyi, mmechelewa sana, mabadiliko yatachukua miaka mingi zaidi ya maisha yenu humu duniani, huu ukweli unauma ila ndio hali ilivyo, tulieni kwa vioja😂😂😂😂😂😂😂😂..,
1674126711237.png

1674126720768.png

1674126732358.png

1674126741919.png

1674127294294.png

1674126758806.png
 
Tanzania imebakia wapi? tangu the 2022 Wealth Report by Knight Frank iwaumbue mliwakataa😂😂😂😂😂😂, independent bodies wenyewe wanataja Kenya, sio sisi ni dunia yenyewe inatutambua kwa mabaya na mazuri, wenye wivu wajinyonge., ichoboy01 na The best 007 jivunie dollar billionaire wenu mmoja na BRT pekee.., mengine fyata 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Sasa Oxfam in the light of Forbes na Wealth X, wametoa yao; "The report, published on Wednesday, has been released on the sidelines of the World Economic Forum in Davos, Switzerland..."
1674127702206.png

1674127711919.png

1674127727905.png

1674127736824.png

1674127749462.png
 
Picha za mitandaoni hazitakusaidia, zaidi zaidi unaji expose ufukara wako, mwenzio Ichoboy amekuja ka Nairobi kwa kazi ya kupiga picha tu na sio mtanzania wa kwanza na hatokuwa wa mwisho kuja kwenye kanchi kenu na kupiga picha. Na wote waliofika hapo picha zinafanana, ma slums, mauchafu, nyumba za mabati ndio symbol ya Kenya, zinawekwa mpk picha ambazo nyie mmezifanyia cherry picking lkn zikiwekwa uhalisia wake humu ni hovyo sn.

So, acha kujifariji na picha za mitandaoni njoo Dar picha, hujiulizi Wakenya wachache waliofanikiwa kuja Dar hawana picha chafu za ku post humu mfano KENPAULITE huwa anakuja Dar na picha chafu hana, wee fukara baki na picha za mwaka 70 zenye plastic bags wkt unajua fika no plastic bags in Tz as we speak.
 
Kama tulivyo wabana, siku hizi hamna nguvu tena za kutudanganya, tumewafumania mmekosa jibu, jiliwaze inakubalika ila hapa hamtoki kwa kizazi hiki poleni ba mzee, msife moyo pengine vitukuu vyenu vitaona na kukula mema ya nchi, ila sio nyinyi, mmechelewa sana, mabadiliko yatachukua miaka mingi zaidi ya maisha yenu humu duniani, huu ukweli unauma ila ndio hali ilivyo, tulieni kwa vioja..,
View attachment 2487481
View attachment 2487482
View attachment 2487483
View attachment 2487485
View attachment 2487493
View attachment 2487486
Kwa maneno haya inaonekana ulikuwa unaandika huku unalia lakini hapa JF unashushia emoji za kucheka
Umeongea kwa hisia sana, na bado mpaka dawa iwaingie kunako
 
Huu ukweli unauma sana.., utapigwa na wenzako wewe, nashuku kwa sasa The best 007 ameingia inbox kukuonya usikubaliane na Wakenya, ila wewe eneza ukweli, usiogope makapuku .
Kuna mtu anaitwa Mkikuyu- Akili timamu alikuwa anawapa dozi heavy humu licha ya kwamba ni mkenya lkn humwambii kitu kwa Tz na anajua fika kwamba Tz iko mbali sn uki compare na Kenya, si mlikuwa mnamkataa ndugu yenu humu au umesaau.
 
Nyie estate roads ziko sehemu za matajiri pekee lkn sehemu za mafukara kama Migori ni vumbi mwanzo mwisho, sisi access roads zipo mpk uswazi na nili share humu, hatuko sawa we are different msee.
 
Picha ya kwanza ipo kwenye report ya unhabitat ya mwaka 2009
(director wake akiwa ni mbongo Prof Anna Tibaijuka) link hii hapa https://unhabitat.org/sites/default/files/download-manager-files/Tanzania Dar es Salaam Urban Profile.pdf
View attachment 2487383

Picha ya pili ni mwaka 2012
(link hii hapa, The Harbor Slums Of Dar Es Salaam In Tanzania Editorial Stock Photo - Image of salaam, port: 90690013)
View attachment 2487375
Picha ya tatu na nne nazo ni za mwaka 2012
(link yake hii hapa, The street market of the city of Dar Es Salaam in Tanzania, 26. September 2012)
View attachment 2487376
Picha ya mwisho link yake hii hapa Repercussions of Improved Municipal Solid Waste Management on Flood Risk Reduction: The Case of Dar es Salaam, Tanzania

Hatutaki picha za zaman, tunataka picha za either mwaka huu au mwaka jana. Kila mtu zaman maisha yake yalikuwa duni, wengine tulianza maisha tumepanga kwenye vibanda lkn saiz tumeendelea kimaendeleo na kujenga nyumba nzuri tu. Nyie pamoja na GDP kubwa fake, maisha yenu bado ni duni sana
Tukiwaambia waachane na Google wajichange waje Dar wapige picha wanakuambia hawawezi, jamaa ni mafukara mnooo, ila leo naona umeamua kuwapiga kabisa, ila makundustan hayana akili umelipa facts kwamba picha lilizoweka ni za zamani liweke picha mpya but baadae litarudi tena na picha hizo hizo, Wakenya sio tu ni maskini bali pia hawana akili.
 
Donholm, an ordinary estate in Nairobi for the middle-class. Kule Dar, hii utakuwa na ya upper middle-class or even for the rich View attachment 2487378View attachment 2487379View attachment 2487380View attachment 2487381View attachment 2487385View attachment 2487386View attachment 2487384
Alafu wewe unaishi Migori hakuna mkunya hata mmoja wa humu anaishi sehemu yenye afadhali, wote nyie mnaishi sehemu duni kama ilivyo asilimia kubwa ya Wakenya. Nyie mngekuwa mnaishi sehemu afadhali kdg tusingelala humu mana tunawajua kwa sifa.
 
Aah wapi, propaganda huwa hazinisumbui., mwambie achukue aerial view ya hayo maeneo tuone palivyo kwa upana na urefu.., ba mzee Nairobi sio Dar is slum, mwenzako anajaribu kujiliwaza tu..., Nairobi na Mombasa sio mwenzenu, kujiliwaza itabidi mtafute mapungufu yake ili mjisikie nafuu, kiukweli nyie bado sana, bado mko na sura ya kizamani na ufukara ulio tapakaa...,
Imagine hapa ni CBD na pako hivi huko kwengine pakoje
tapatalk_-147662383_669x446.jpg
tapatalk_783008753_310x410.jpg
tapatalk_1678035084_512x384.jpg
tapatalk_1783281033_512x494.jpg
Screenshot_20230119-151858.jpg
tapatalk_-1438020091_640x426.jpg
 
Alafu wewe unaishi Migori hakuna mkunya hata mmoja wa humu anaishi sehemu yenye afadhali, wote nyie mnaishi sehemu duni kama ilivyo asilimia kubwa ya Wakenya. Nyie mngekuwa mnaishi sehemu afadhali kdg tusingelala humu mana tunawajua kwa sifa.
Bongolala, sehemu naishi huwezi afford hata siku moja. Wewe zoea maisha ya uchochole ya uswazini. Huko Donholm niliishi miaka ya kitambo, 2009-2013 to be precise. I know it inside out. About Migori, huko ni kwetu nyumbani, I was there the whole of December and a good part of this month na bado nitarudi soon so sijui inakuuma kwa nini

Hivi, kama huna hoja si unyamazage tu! Sio lazima uquote every post here if you don't have something constructive to say.
 
Back
Top Bottom