Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

South B Nairobi
FdAxFb2WAAQYOCk
Mbona upperhill naona hapo au?🤣🤣🤣
 
Hii hapa

Bado ziko nyingine pia nitazitafuta kwenye gallery yangu. View attachment 2486455
Unayoonesha hapa ni Muranng'a Road Koja Roundabout ambayo iko nje ya CBD, picha ya kwanza ni Kimathi Street, mbele ya Nation Center ambayo iko ndani ya CBD. Hizo ni sehemu mbili tofauti. Onesha hiyo Kimathi Street kwa hiyo hali ya uhalisia unayoongeles tuione.
 
Unayoonesha hapa ni Muranng'a Road Koja Roundabout ambayo iko nje ya CBD, picha ya kwanza ni Kimathi Street, mbele ya Nation Center ambayo iko ndani ya CBD. Hizo ni sehemu mbili tofauti. Onesha hiyo Kimathi Street kwa hiyo hali ya uhalisia unayoongeles tuione.
Wakenya tuambieni sasa hizo picha ni Nairobi au siyo Nairobi?
Vijana wa Kundustan mnasemaje?
 
Wakenya tuambieni sasa hizo picha ni Nairobi au siyo Nairobi?
Vijana wa Kundustan mnasemaje?
Wewe wacha kubadili mjadala. Tunadebunk huu ujinga wa mtu kukataa picha nzuri za Nairobi eti zimetengenezwa kwa Kompyuta alafu analeta picha tofauti akikazana eti ndio picha halisia.
 
Unayoonesha hapa ni Muranng'a Road Koja Roundabout ambayo iko nje ya CBD, picha ya kwanza ni Kimathi Street, mbele ya Nation Center ambayo iko ndani ya CBD. Hizo ni sehemu mbili tofauti. Onesha hiyo Kimathi Street kwa hiyo hali ya uhalisia unayoongeles tuione.
Kwani ni haki maeneo ya nje ya CBD kuwa machafu na kunuka???



Mbona unaongea kama ni kawaida tu yaani...

Imagine hapa ni 12km from CBD...tazama palivyo pasafi
JamiiForums2100586270.jpg
 

Attachments

  • 20230118_193054.jpg
    20230118_193054.jpg
    104.8 KB · Views: 12
  • JamiiForums1115198999.jpg
    JamiiForums1115198999.jpg
    114.2 KB · Views: 11
Back
Top Bottom