7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,065
Hiki kitu ndicho kinachochelewesha maendeleo, sijui huwa wanadiscuss nini, kama sheria inazuia hawashindwi kuibadilisha kwasbabu wao ni kila kitu.tunarudi hapo hapo , hili jipu ni jipu la taifa viongozi wengi wenye dhamana hawana haraka ya maendeleo vitu vipo on paper wanavivundika for nothing
Majadiliano yanachukua muda mrefu mpaka miradi inasahaulika. Ahadi nyingi zisizo tekelezeka.



