Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi unapata wapi ujasiri wa kuita Kenya ni nchi tajiri, nchi ambayo raia wake hawana uwezo wa kupata Milo mitatu kwa siku, waziri anajaribu kubembeleza nchi jirani ili iwatengee chakula chenu kwasababu hamna uwezo wa kupambana ili chakula kisiende South Sudan badala yake muendelee kuuziwa ninyi "at cheaper price", hiyo ndiyo nchi tajiri?.

Kwahiyo utajiri wa Kenya ni "theoretical and verbal only" lakini hausaidii wananchi Wala hauonekani popote "physically?"

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kwani hiyo chakula tunapewa bure? Mahindi zote zinazoingia Kenya kutoka Tanzania tunanunua. Sasa tukisema sisi ni tajiri tatizo iko wapi?
 
Of course we are not the same. Ama wewe ulidhani tuko sawa? Sisi slums zetu are in few restricted areas. Nyinyi uswazi zenu ziko kila mahali. Sasa hapo unaona tuko sawa kweli?
Tanzania hamna slum,utazunguka dar yote huwezi kukuta nyumba ya mabati,udongo au nylon kama kunyaland
Screenshot_20220709-085435_Chrome.jpg
 
Kwani hiyo chakula tunapewa bure? Mahindi zote zinazoingia Kenya kutoka Tanzania tunanunua. Sasa tukisema sisi ni tajiri tatizo iko wapi
Nafikiri hufahamu mambo mengi sana kuhusu uchumi wa EAC....ipo hivi,bei tunayowauzia nyie chakula au bidhaa yoyote ile ni tofauti na tutakayouza kwa nchi nyingine ambae sio member wa EAC
Ndio maana ata South Sudan au Congo walijiunga na EAC ili tuweze kuwasaidia kama tunavyo wasaidia nyie makapuku,mapompipo,mazoba na mafukara wakubwa hapa Africa👇👇👇
 

Attachments

  • 97fdb0c84aa0ed04c9429ac7db963bd7.png
    97fdb0c84aa0ed04c9429ac7db963bd7.png
    30.4 KB · Views: 6
Of course we are not the same. Ama wewe ulidhani tuko sawa? Sisi slums zetu are in few restricted areas. Nyinyi uswazi zenu ziko kila mahali. Sasa hapo unaona tuko sawa kweli?
Uswazi kwetu ni sehemu wanayoishi watu wa kipato cha kati huko kwenu kwahyo acha kuji-compare na sisi mtafte Mganda ndio levels zenu
 
Can you please show us the data from GoK?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
The population of Kibra constituency (Sub-county) in which Kibera slum lies is 181,000 people as per 2019 census.
Screenshot_20220709-090746~2.png

You can read the whole report here

Sasa Kama the whole consituency ndio ina watu 181k, how many do you think reside in Kibera slum alone considering that Kibera is part of Kibra constituency? Of course less than 181k.
 
Hivi unapata wapi ujasiri wa kuita Kenya ni nchi tajiri, nchi ambayo raia wake hawana uwezo wa kupata Milo mitatu kwa siku, waziri anajaribu kubembeleza nchi jirani ili iwatengee chakula chenu kwasababu hamna uwezo wa kupambana ili chakula kisiende South Sudan badala yake muendelee kuuziwa ninyi "at cheaper price", hiyo ndiyo nchi tajiri?.

Kwahiyo utajiri wa Kenya ni "theoretical and verbal only" lakini hausaidii wananchi Wala hauonekani popote "physically?"

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hahaha. Sasa unataka niseme Kenya ni masikini kushinda Tanzania ndio ufurahi? Licha ya data za Kiuchumi kuonyesha kwamba Kenya ni tajiri kushinda Tanzania? Hata Qatar na Saudi Arabia zinaimport chakula na ni nchi tajiri kushinda nchi yoyote ya Afrika. Upuuzi wa wewe kuamini kwamba nchi tajiri haiwezi kuimport chakula umetoka wapi?
 
Nafikiri hufahamu mambo mengi sana kuhusu uchumi wa EAC....ipo hivi,bei tunayowauzia nyie chakula au bidhaa yoyote ile ni tofauti na tutakayouza kwa nchi nyingine ambae sio member wa EAC
Ndio maana ata South Sudan au Congo walijiunga na EAC ili tuweze kuwasaidia kama tunavyo wasaidia nyie makapuku,mapompipo,mazoba na mafukara wakubwa hapa Africa👇👇👇
Bongolala, mahindi tunanunua from as far as Mexico. Hata sasa hivi, serikali ishafanya order ya mahindi kutoka Zambia.
Sasa Zambia nayo ni mwanachama wa EAC?

Kuhusu swala la ufukara, tutawakumbusha hadi lini kwamba nyinyi ndio taifa fukara zaidi kushinda zote ukanda huu?
Screenshot_20220501-110859~2.png
 
We jamaa huwa taahira kweli, hujui hata trading protocol za EAC, Huwezi kusema hutaki manufactured goods kutoka kwenye member state halafu unataka kupeleka zako huko, ukiona kuna certain goods in Tanzania from kunyaland the same goods could be traded back ili mradi ikidhi vigezo! Na ndio maana tunaongoza kuwauzia bidhaa nyingi tu finished mpaka kesho!
Hebu taja hizo finished products mnazotuuzia na ufatilize na proof
 
Hivi unapata wapi ujasiri wa kuita Kenya ni nchi tajiri, nchi ambayo raia wake hawana uwezo wa kupata Milo mitatu kwa siku, waziri anajaribu kubembeleza nchi jirani ili iwatengee chakula chenu kwasababu hamna uwezo wa kupambana ili chakula kisiende South Sudan badala yake muendelee kuuziwa ninyi "at cheaper price", hiyo ndiyo nchi tajiri?.

Kwahiyo utajiri wa Kenya ni "theoretical and verbal only" lakini hausaidii wananchi Wala hauonekani popote "physically?"

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
wasikumbue kichwa mzee we wacheke tu waenjoy maana tushawazoea ni vituko tu kila uchwao
 
We jamaa huwa taahira kweli, hujui hata trading protocol za EAC, Huwezi kusema hutaki manufactured goods kutoka kwenye member state halafu unataka kupeleka zako huko, ukiona kuna certain goods in Tanzania from kunyaland the same goods could be traded back ili mradi ikidhi vigezo! Na ndio maana tunaongoza kuwauzia bidhaa nyingi tu finished mpaka kesho!
Aliyekuambia sijui trading protocols za EAC ni nani? Wewe kaa ukijua kwamba hatukubali sukari yenu huku Kenya. Unga wenu uliosagwa pia hatuukubali huku Kenya. Tunanunua raw materials pekee ikiwemo mahindi ambayo haijasagwa. Kaulize Uganda ambao wanaumia kwa kujaribu kutuuzia manufactured goods kama maziwa ya pakiti na sukari. Lazima tuprotect industries zetu kutoka kwa low quality, sub-standard goods kutoka nchi jirani.

Cc Geza Ulole
joto la jiwe
 
We jamaa huwa taahira kweli, hujui hata trading protocol za EAC, Huwezi kusema hutaki manufactured goods kutoka kwenye member state halafu unataka kupeleka zako huko, ukiona kuna certain goods in Tanzania from kunyaland the same goods could be traded back ili mradi ikidhi vigezo! Na ndio maana tunaongoza kuwauzia bidhaa nyingi tu finished mpaka kesho!
Most of the goods mnatuuzia ni raw materials yaani bidhaa ambazo hazipo processed hususan mahindi. Nenda border uone mlolongo mrefu wa malorry ya mahindi kutoka Tanzania yanayoingia Kenya. Maelfu ya malorry ya mahindi yanaingia Kenya kutoka Tanzania kila mwezi hususan baada ya mama kurudisha uhusiano mwema katika ya Kenya na Tanzania. Raw materials zingine mnazotuuzia ni nyanya, vitunguu, cabbage, matunda na kadhalika. Mnatuuzia chakula kwa asilimia zaidi ya 80 ya bidhaa mnazotuuzia.

Cc joto la jiwe
 
BRT ya tazara ni bora x2 ya ubungo ...brt ya ubungo imejengwa kifisadi fisadi bora wangejenga sawa sawa na yatazara ...kwanza ule mwinuko wa ukuta kuwa juu sana kabla ya nguzo ya kwanza ni kosa kubwa sana maana eneo ambalo hiyo brt ipo ni mjini kabisa hivyo kuharibu sura ya mji na kuzuia mzunguko wa hewa
duuuuh,kamanda umeamua kunipiga kamba
kama mambo yenyewe ndiyo haya ngoja nikimbie nisijenge hoja
 
Britain’s Attorney General, Suella Braverman, who has Kenyan roots, on Thursday announced her interest in succeeding Prime Minister Boris Johnson who resigned on Thursday.

Ms Braverman, whose mother is Kenyan, had earlier on said it would be of the interest of all the UK nationals if the Prime Minister steps down.

Wakenya wako huko tayari
kama wako huko wamekusaidia nini?
 
Kwani hiyo chakula tunapewa bure? Mahindi zote zinazoingia Kenya kutoka Tanzania tunanunua. Sasa tukisema sisi ni tajiri tatizo iko wapi?
usijiweke kwenye kundi la matajiri angali wewe ni maskini,
wewe ni poor utabaki kuwa poor kujifurahisha hakukusaidii kitu ni wakenya wangapi hawana ajiira na niwakenya wangapi wenye ajira rasmi inayowaingizia kipato,wangapi wanakufa njaa kukosa kwa kukosa mlo,na ni idadi ipi kubwa baina ya maskini na tajiri kwa hapo kenya?? ukileta hiyo range ndiyo mjiite matajiri la sivyo mtabaki kuonekana wajinga tu
 
Back
Top Bottom