Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,711
Temeke, Kigamboni, Ubungo and Ilala zote zipo Kinondoni na zote ni uswazi.🤣🤣🤣🤣 Kinondoni district itself inaweza kalisha hizo mitaa zenu zenye shule, na gorofa za udongo zote
Temeke, Kigamboni, Ubungo and Ilala zote zipo Kinondoni na zote ni uswazi.🤣🤣🤣🤣 Kinondoni district itself inaweza kalisha hizo mitaa zenu zenye shule, na gorofa za udongo zote
🤣🤣🤣🤣 Naona unaenda kutafuta mipaka sasa, by the way huo ni msitu mzee wangu, ni mpaka wa Dar kisarawe Pwani
Na ukiambiwa hapa vile Dar ni kubwa utadhani yote imejengeka. Kumbe nusu ni vichaka tu 😂
Msitu gani, ona hizo shamba za mihogo. 🤣 🤣 🤣🤣🤣🤣🤣 Naona unaenda kutafuta mipaka sasa, by the way huo ni msitu mzee wangu, ni mpaka wa Dar kisarawe Pwani
🤣🤣🤣 Utaacha lini kuwa mpuuzi wa kiwango cha juu.?Huoni hizo mashamba zimelimwa hapo, wacha kujifanya kipofu.
Hadi amejiita magonjwa ujue ni tatizo ana ujiga ujinga mwingiGrammar teacher pia mimi sijui
Nimeshakueleza mara nyingi kwamba watu wengi ambao wanaandikwa kazi na hizi international companies ni Wakenya. Hii WHO ambayo inakuja Kenya ni UN organisation na itaajiri watu 150 na kati ya hao lazima kuwe na wapishi, drivers, secretaries na kadhalika na wengi wao watakuwa ni Wakenya. Kwenye speech ya rais Uhuru jana kwenye hafla hii alisema kwamba WHO itaajiri watu 150 mwanzoni kisha itaongeza idadi ya wafanyikazi kadri mahitaji yatakavyoongezeka.Ukiachana na "ceremonial", faida gani Kenya inapata, mbona matatizo Kenya ndio yanaongezeka?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
here, we mostly deal with matters infrastructure ie. roads, railways, ports, airports, interchanges and facility project developments. we also deal with new buildings and skyscrapers, cityscapes and cityskylines. also agriculture, food shortages and their import and exports. also malls, bus parks, hospitals, real estates, manufacturing industries, informal settlements, slums(uswazi)etc. also services industry eg. aviation, tourism, hoteliers and accommodation, banking etc. also matters sports. also motor vehicle design and their models, also strongly
Magufuli ali lie nn?Hawa ni vilaza tu na hata serikali yao inajua hivyo. Kuwadanganya ni rahisi sana no wonder Magufuli had a field day there lying to them morning to evening













Serikali ya Tanzania haiwezi kufanya huo upuuzi wa lobbying kwa global organisations na multinationals ili wafungue offices Tz. We have better use for our money.Message ya Mkubwa wa WHO
Serikali ya Kenya imetoa mchango wa $5 million kwa ajili ya kusaidia WHO kujenga hii African logistics hub. GoK pia imetoa shamba ya ekari 30 ndani ya Kenyatta university kwa ajili ya kujenga hii logistics hub. Wakati wa Covid-19 vaccine za Africa zilikuwa zinatolewa Dubai. Sasa angalau madawa ya WHO yatakuwa stored in Nairobi.
Dude that is a stale data alot of big investments zimefanywa kwenye electrification in Tz for the past 3 years.Ubaya wenu ni kwamba hamkubaliani na data kama hizi. Ubishi za kijinga sana. Sasa toa povu basi
Hiyo picha umepiga ukiwa juu ya roof yako nini?
Hata mm nilihisi hivyo hivyo mkuu.Hiyo picha umepiga ukiwa juu ya roof yako nini?
Embu weka picha moja ya mwanafunzi akitumia laptop ya UK hapa tucheke kidogo.Hawa ni vilaza tu na hata serikali yao inajua hivyo. Kuwadanganya ni rahisi sana no wonder Magufuli had a field day there lying to them morning to evening
Acha kujitia aibu,huijui dar,sasa hapo ndio umetema upupu gani sijuiTemeke, Kigamboni, Ubungo and Ilala zote zipo Kinondoni na zote ni uswazi.