Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe ni mjinga sana. Hivi, ukienda kwa duka pale Tandale unapoishi unaingia tu hadi ndani na kuchukuwa unachotaka bila kuuliza kama muuzaji yupo na bei ya ile kitu unataka?
Biashara Kati ya Kenya na Tanzania haijawahi kusimama, kila kitu kinajulikana, iweje ghafla mnataka mazungumzo ya Bei?, Wacha nguvu ya soko ndio iamue Bei ya chakula, sio mazungumzo

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Nchi kubwa, watu wengi, city moja yenye CBD moja na makazi uchwara, alafu uchumi hafifu, watanzania hunichekesha wanavyo penda ubishi na domo domo, kumbe wanyonge duh😂😂😂😂

But Tanzanians are not starving to death.
 
Nairobi kuna baridi kali sana kupindukia. This year sijui weather ya Nairobi nini mbaya nayo? Ni kama tunaishi ndani ya fridge.
 
Nairobi kuna baridi kali sana kupindukia. This year sijui weather ya Nairobi nini mbaya nayo? Ni kama tunaishi ndani ya fridge.
Ninadhani baridi ni kawaida ila miili ya wakenya Haina "fat deposited za kutosha mwaka huu kwasababu ya upungufu wa chakula cha kutosha

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
here, we mostly deal with matters infrastructure ie. roads, railways, ports, airports, interchanges and facility project developments. we also deal with new buildings and skyscrapers, cityscapes and cityskylines. also agriculture, food shortages and their import and exports. also malls, bus parks, hospitals, real estates, informal settlements, slums(uswazi)etc. also services industry eg. aviation, tourism, banking etc. also matters sports. also automobile design and models, also strongly
local and regional politics, international and regional news of concern and finally, we like dealing with matters finances, economy, inflations, gdp sizes and their's growths, world rankings. etc

rarely do we deal with Fashion, Beauty and Modelling, Makeups, Music, Dramas etc.


Hivi kama ungekua msouthafrican ungefaa sana kuitwa "Ntombi Khumalo".....
Jamaa sijui huwa ana shida gani, anaambiwa kila mara kuhusu hili jambo lakini wapi hasikii, mbaya zaidi analeta picha za watoto ambao si wazazi wao,walimu au wenyewe wametoa consent sura zao zirushwe mitandaoni.

I think this kid is still in foolish age.
 
Magufuli ali lie nn?

Hakujenga electrifitried SGR?

hakujenga BRT?

Hakujenga bus terminals nchi nzima?

Hakujenga masoko ya kisasa nchi nzima?

Hakujenga meli kubwa na za kisasa kuliko zote East and Central Africa?

Hakujenga JNHPP?

Hakujenga ports?

Hakujenga Ikulu ambayo nyie mpk leo rais wenu anakaa kwenye choo cha mkoloni?

Hakuijenga Dodoma inayowapea stress kila kukicha?

Hakusambaza umeme kila kijiji kwa bei rahisi?

Hakupeleka maji sehemu ambazo zilikuwa na shida ya maji hususan vijijini?

Hakujenga cable stayed bridges?

Hakujenga biggest airport in East and Central Africa?

Hakujenga hospitali za kisasa nchi nzima?

Hakujenga flyovers?

Hakujenga interchange?

Hakujenga barabara za kiwango nchi nzima?

Hakujenga madaraja nchi nzima?

Hakununua ndege za kisasa na kubwa?

Hakukarabati mgr? Magufuli aliongopa nn?

Magufuli na Uhuru nani muongo?

Uhuru aliwaahidi atajenga electrifitried SGR, alijenga?

Uhuru aliahidi laptop kwa kila mwanafunzi alitoa?

Uhuru aliahidi kumaliza njaa Kenya imeisha?

Uhuru aliahidi kupunguza tatizo la ajira, je alipunguza?

Uhuru aliahidi kuondoa ma slums Kenya je kayaondoa?

Tell me, Magufuli na Uhuru nani muongo
Kwani vitu vingi tunavyo battle navyo nani katupa jeuri humu kama siyo Magufuli. Magufuli ni kama maji usipoyanywa utayaoga tu
 
Serikali ya Tanzania haiwezi kufanya huo upuuzi wa lobbying kwa global organisations na multinationals ili wafungue offices Tz. We have better use for our money.
Umeongea ukweli ambao ni asili na uhalisia wa Mtanzania
 
Screenshot_20220710-111137.jpg
Screenshot_20220710-111149.jpg
 
I concur with him, without PK Rwanda is going back to civil war madness. a smart succession plan needed.
Mkuu huoni kwamba akitawala mtu mwingine ndio patachimbika zaidi maana jamaa aliweza kuwatuliza kwa utawala wa mkono wa chuma.

Japokuwa hawezi kutawala milele, lakini nachelea kusema Rwanda haina mtu wa kuitawala na nchi kuwa na utulivu kama huu walionao sasa hivi.

Kipi bora utawala wa mkono wa chuma huku kukiwa shwari au utawala wa kimedemokrasia wenye machafuko ya vita?

Nawaza tu
 
Leta ushahidi Tanzania ikipokea misaada ya chakula, kunyaland mnanuka njaa to the highest heavens
Haijawahi kutokea tukapata chakula cha msaada. Hizi aibu za kutuondolea utu wetu serikali huwa iko makini naipongeza sana.
 








Hii ndiyo Kenya tunayoijua, wanauza chakula Ulaya, wenyewe wanaokufa kwa njaa
Tony254
Nicxie
Don YF



Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Kwani ni chao, wangekua wanamiliki hizo products wanazouza ulaya , wangetumia hela wanazopata kununua chakula, too bad their products are not their products 😎 . Wanamiliki tu data hapo na sifa.
 
Mkuu huoni kwamba akitawala mtu mwingine ndio patachimbika zaidi maana jamaa aliweza kuwatuliza kwa utawala wa mkono wa chuma.

Japokuwa hawezi kutawala milele, lakini nachelea kusema Rwanda haina mtu wa kuitawala na nchi kuwa na utulivu kama huu walionao sasa hivi.

Kipi bora utawala wa mkono wa chuma huku kukiwa shwari au utawala wa kimedemokrasia wenye machafuko ya vita?

Nawaza tu
U want to say the peace and stability Rwanda currently has ni juu ya dictatorship, Kagame akitoka wahutu na tutsi will be back at it?
 
-JPM alidanganya laptop per child.
-Alidanganya kutokomeza njaa.
-Alidanganya kufikisha reli malaba.
-Alidanganya kujenga five international stadia.
-Alidanganya kuwajengea SGR ya umeme akaishia kuleta reli zilizotumika Tanzania kwenye miaka ya 60 huko.
-Alidanganya kuwajengea word class infrastructure akawaletea Chinese slow train.
-Aliwadanganya kumaliza tatizo la ukosefu wa ajira.
-Alidanganya kutenda mamilioni ya hekari kwa ajili ya irrigation.
-Galana-kulalu project.
-Aliwadanganya atawalipa graduate ksh 10,000 hadi 15,000 per month ndani ya kipindi cha mwaka mmoja.
-Plan ya kujenga houses 500,000.
-Universal health care.
Na sasa hivi anaacha kinyago chake kwa ajili ya maslahi yake na familia yake kwa sababu anajua yule land grabber akifanikiwa tu kushika hatamu kwisha yeye mulevi wa gatundu.
Haya majibu hakika yemefanyiwa reseach ya kutosha hadi siku ya mtihani mwanafunzi akaingia na desa likajibu mtihani wote
 
Kwani kuna siku mewahikubaliana na data yoyote hapa ndani? Si mnazipinga kila siku?

Alafu mlivyowajinga you can't even take a minute to think! Your government says that the total number of connected households is 2.7m and at the same time eti electricity access rate yenu ni 85%! How sensible is this?

Assuming that the average number of people per household is 6 (which is even a higher figure), how does this translate to 85% access rate?
Mbona hata wewe hufikirii vizuri kwenye vitu ambavyo ni sensible kwamfano since during colonial times until 2017 Kenya built 9k km of roads and now you are told that in the last 5 years Kenyatta built 13k kilometers huoni hapo kuna something fishy au uko blinded na patriotism? Wake up and start using your brain.
 
Back
Top Bottom