Magufuli ali lie nn?
Hakujenga electrifitried SGR?
hakujenga BRT?
Hakujenga bus terminals nchi nzima?
Hakujenga masoko ya kisasa nchi nzima?
Hakujenga meli kubwa na za kisasa kuliko zote East and Central Africa?
Hakujenga JNHPP?
Hakujenga ports?
Hakujenga Ikulu ambayo nyie mpk leo rais wenu anakaa kwenye choo cha mkoloni?
Hakuijenga Dodoma inayowapea stress kila kukicha?
Hakusambaza umeme kila kijiji kwa bei rahisi?
Hakupeleka maji sehemu ambazo zilikuwa na shida ya maji hususan vijijini?
Hakujenga cable stayed bridges?
Hakujenga biggest airport in East and Central Africa?
Hakujenga hospitali za kisasa nchi nzima?
Hakujenga flyovers?
Hakujenga interchange?
Hakujenga barabara za kiwango nchi nzima?
Hakujenga madaraja nchi nzima?
Hakununua ndege za kisasa na kubwa?
Hakukarabati mgr? Magufuli aliongopa nn?
Magufuli na Uhuru nani muongo?
Uhuru aliwaahidi atajenga electrifitried SGR, alijenga?
Uhuru aliahidi laptop kwa kila mwanafunzi alitoa?
Uhuru aliahidi kumaliza njaa Kenya imeisha?
Uhuru aliahidi kupunguza tatizo la ajira, je alipunguza?
Uhuru aliahidi kuondoa ma slums Kenya je kayaondoa?
Tell me, Magufuli na Uhuru nani muongo











