Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa unataka kuona kila kitu kilichopo Kenya kwa macho yako ndio uamini?, Kwani ulishawahi kuiona njaa huko Kenya?, Lakini mbona inasumbua na watu wenu wanaokufa?.

Azama food products and Energy drinks are widely available in Kenya, especially in Mombasa are household goods like Bongo music

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ile juice ilikua inatrend sana kenya that was introduced by a Tanzanian ni masafi but originally from dubai hii azam hamna kitu kenya
 
Konyagi hazijateka soko la spirits Kenya wewe jamaa. Usiongee upuuzi. Njoo Kenya uone ni spirits gani zinauzwa kwa maduka.
Shida sio kuteka bali uwepo wa bidhaa za Tanzania kwenye soko la Kenya
 
Tatizo majadiliano yanakuwa mengi na yanachukua muda mrefu. Hapa mzee baba ndipo alipokuwa akiweza, akisema kitu unaona ndani ya muda mfupi kazi zinaanza kufanyika.

Mradi wa ujenzi wa daraja la Jangwani na mto Msimbazi vipi mbona hatuoni muendelezo?Shida ni pesa au mkandarasi hajapatikana
Acha hizo ameondoka ameshindwa Mchuchuma na Liganga,Bagamoyo port.Hilo daraja la jangwani ndio hakutaka hata kugusa kabisa.
 
BRT ya tazara ni bora x2 ya ubungo ...brt ya ubungo imejengwa kifisadi fisadi bora wangejenga sawa sawa na yatazara ...kwanza ule mwinuko wa ukuta kuwa juu sana kabla ya nguzo ya kwanza ni kosa kubwa sana maana eneo ambalo hiyo brt ipo ni mjini kabisa hivyo kuharibu sura ya mji na kuzuia mzunguko wa hewa
Kweli mkuu unaota mchana bahati nzuri hizi kazi hazifanywi gizani quality ya BRT phase one kwenye material ni Bora zaidi ya hii Phase II hata vituo vya abiria havifanani kabisa.Labda useme ukweli kuwa wewe project zote zinajengwa Dsm na wewe unasimuliwa tu
 
Nyomi ya watu inaingia ikulu ya Sri Lanka. Tatizo huyo rais ashatoroka. Ila waibe dhahabu watakazopata huko ndani.

Haya Sasa Putin amsaidie ndugu yake kamba yako ikiwa mikononi mwa mchina au Mrusi inakatika any time
 
Hamna ubavu huo. Samia anataka kupiga pesa. Hana muda na vita vya Magufuli dhidi ya Kenya.
Ubavu upo sana and by the way Tz looses nothing from not selling to Kenya. We sell more in SADC.

We have on several occasions in the past applied that principle and UK came begging.
 
5 July 2022
Dar es Salaam and Zanzibar
Tanzania

Tanzania Is Beautiful | First Impression Of Zanzibar Island | Liv Kenya (Part 2)



Source : LIV KENYA,
 
Tweet ya 2015 by the hii product hata sijawai kuiona. The only Azam product ambayo inajaribu Kenya ni ile energy drink ya blue, which is facing very stiff competition from local and international products.
Sasa wewe kama unakaa kibera utazionea wapi hizo products.
 
Uwanja wa ndege wa Kigoma ni Kikwete! JK alijenga runway! Huyo JPM alikuwa anajimilikisha miradi halafu alikuwa mpaka anaweka jiwe la msingi halafu kimya! Hizi barabara ni mama katoa fedha! JPM miradi ya Chato na Mwanza tu!


Kwahili la Kigoma umenena kabisa, barabara ya Nyakanazi Kigoma ilianza kipindi cha mwisho cha Kikwete ilianza kwa kasi sana mwamba alipoingia ngoma ikasimama ni hapa juzi tu ndo amsha amsha imeanza tena. Kwa wakazi wa Kigoma hasa mjini ukiongea habari za kumsifia mwamba utapigwa makofi
 
Back
Top Bottom