Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimeshakueleza mara nyingi kwamba watu wengi ambao wanaandikwa kazi na hizi international companies ni Wakenya. Hii WHO ambayo inakuja Kenya ni UN organisation na itaajiri watu 150 na kati ya hao lazima kuwe na wapishi, drivers, secretaries na kadhalika na wengi wao watakuwa ni Wakenya. Kwenye speech ya rais Uhuru jana kwenye hafla hii alisema kwamba WHO itaajiri watu 150 mwanzoni kisha itaongeza idadi ya wafanyikazi kadri mahitaji yatakavyoongezeka.
Hivi kweli Hilo ndio linakufanya uwe unapost kwa shangwe kila tukio Kama Hilo likitokea Kenya?, Sio kweli ninakataa

Wewe kinachokufanya uwe "excited" ni sifa kuona maofisi na HQs za kimagharibi zinafunguliwa Kenya bila hata kujali Kama zinawasaidia wakenya.

Hivi kweli kelele zote hizo ni kwasababu ya ajira chini ya watu 300, tena hapo Nairobi wakati hakuna sehemu zingine za Kenya zinazofaidika?.

Sasa mbona Kenya tatizo la ajira linazidi kuongezeka kwa Kasi kuliko nchi zingine hapa EA ambazo hakuna hata ofisi Moja ya UN?.

Kenya mtapata taabu Sana kwasababu hamtaki kujenga uchumi wenu wa ndani badala yake mnategemea Sana watu na Mashirika ya nje kuja kuwajengea uchumi, au kwenda kufanya kazi nje ya nchi yenu ili kutuma pesa Nyumbani, hii ni hatari Sana.

Lazima muwekeze kwenye kilimo, ufugaji, uvuvi, utalii, madini, ujenzi na uzalishaji viwandani ndio ufumbuzi wa ajira, na kumaliza njaa hapo Kenya, hayo ya ofisi za UN na makampuni ya kimataifa yanazidi kufanya maisha kuwa magumu kwa wakenya kwasababu

1)Wafanyakazi wa UN watalipwa pesa nyingi, hivyo watakuja na demand kubwa ya kununua bidhaa za Kenya kwa wingi, hii itaongeza Bei za bidhaa na kusababisha ongezeko la "inflation rate"

2)Kutakua na tofauti kubwa ya kipato Kati ya watu wanayoishi Kenya Kati ya waajiriwa wa UN na HQs ya makampuni ya nje na wale waajiriwa serikalini, hivyo kupunguza morali ya wafanyakazi na kusababisha rushwa kuongezeka nchini na kupata kwa "crime rate"

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mahindi kutoka Zambia mnapitisha wapi? 😂😂😂

Kwanini msinunue kwa ndugu zenu Sudan au Somalia?
Itakavyofika wala usijali. Wewe ni mwananchi asiye na msemo wowote kuhusu mambo kama hayo. Wewe utabaki tu kuwa "mpenzi mtazamaji" 😂😂😂
 
Magufuli ali lie nn?

Hakujenga electrifitried SGR?

hakujenga BRT?

Hakujenga bus terminals nchi nzima?

Hakujenga masoko ya kisasa nchi nzima?

Hakujenga meli kubwa na za kisasa kuliko zote East and Central Africa?

Hakujenga JNHPP?

Hakujenga ports?

Hakujenga Ikulu ambayo nyie mpk leo rais wenu anakaa kwenye choo cha mkoloni?

Hakuijenga Dodoma inayowapea stress kila kukicha?

Hakusambaza umeme kila kijiji kwa bei rahisi?

Hakupeleka maji sehemu ambazo zilikuwa na shida ya maji hususan vijijini?

Hakujenga cable stayed bridges?

Hakujenga biggest airport in East and Central Africa?

Hakujenga hospitali za kisasa nchi nzima?

Hakujenga flyovers?

Hakujenga interchange?

Hakujenga barabara za kiwango nchi nzima?

Hakujenga madaraja nchi nzima?

Hakununua ndege za kisasa na kubwa?

Hakukarabati mgr? Magufuli aliongopa nn?

Magufuli na Uhuru nani muongo?

Uhuru aliwaahidi atajenga electrifitried SGR, alijenga?

Uhuru aliahidi laptop kwa kila mwanafunzi alitoa?

Uhuru aliahidi kumaliza njaa Kenya imeisha?

Uhuru aliahidi kupunguza tatizo la ajira, je alipunguza?

Uhuru aliahidi kuondoa ma slums Kenya je kayaondoa?

Tell me, Magufuli na Uhuru nani muongo
Mkuu wakijibu nijulishe, ngoja niende kupata Konyagi kidogo

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
"Shamest" of course 😂😂😂😂
Well, "shamest" ni kuwa nchi yenye idadi kubwa ya people living in extreme poverty
Poverty kingdom evidence 😂😂😂

IMG_1084.jpg
EX-YsfcWoAIJGw8.jpeg
Dd4UdQAUQAE6cgk.jpeg
images - 2022-06-16T062558.814.jpeg
D6brNSwWkAIjlrH.jpeg
D6brNSvXsAARKJy.jpeg
CBAslTnUYAIz2oF.jpeg
CBAslV8VAAAOfz4.jpeg
FWFlna9XwAIjKQd.jpeg
 
Magufuli ali lie nn?

Hakujenga electrifitried SGR?

hakujenga BRT?

Hakujenga bus terminals nchi nzima?

Hakujenga masoko ya kisasa nchi nzima?

Hakujenga meli kubwa na za kisasa kuliko zote East and Central Africa?

Hakujenga JNHPP?

Hakujenga ports?

Hakujenga Ikulu ambayo nyie mpk leo rais wenu anakaa kwenye choo cha mkoloni?

Hakuijenga Dodoma inayowapea stress kila kukicha?

Hakusambaza umeme kila kijiji kwa bei rahisi?

Hakupeleka maji sehemu ambazo zilikuwa na shida ya maji hususan vijijini?

Hakujenga cable stayed bridges?

Hakujenga biggest airport in East and Central Africa?

Hakujenga hospitali za kisasa nchi nzima?

Hakujenga flyovers?

Hakujenga interchange?

Hakujenga barabara za kiwango nchi nzima?

Hakujenga madaraja nchi nzima?

Hakununua ndege za kisasa na kubwa?

Hakukarabati mgr? Magufuli aliongopa nn?

Magufuli na Uhuru nani muongo?

Uhuru aliwaahidi atajenga electrifitried SGR, alijenga?

Uhuru aliahidi laptop kwa kila mwanafunzi alitoa?

Uhuru aliahidi kumaliza njaa Kenya imeisha?

Uhuru aliahidi kupunguza tatizo la ajira, je alipunguza?

Uhuru aliahidi kuondoa ma slums Kenya je kayaondoa?

Tell me, Magufuli na Uhuru nani muongo

-JPM alidanganya laptop per child.
-Alidanganya kutokomeza njaa.
-Alidanganya kufikisha reli malaba.
-Alidanganya kujenga five international stadia.
-Alidanganya kuwajengea SGR ya umeme akaishia kuleta reli zilizotumika Tanzania kwenye miaka ya 60 huko.
-Alidanganya kuwajengea word class infrastructure akawaletea Chinese slow train.
-Aliwadanganya kumaliza tatizo la ukosefu wa ajira.
-Alidanganya kutenda mamilioni ya hekari kwa ajili ya irrigation.
-Galana-kulalu project.
-Aliwadanganya atawalipa graduate ksh 10,000 hadi 15,000 per month ndani ya kipindi cha mwaka mmoja.
-Plan ya kujenga houses 500,000.
-Universal health care.
Na sasa hivi anaacha kinyago chake kwa ajili ya maslahi yake na familia yake kwa sababu anajua yule land grabber akifanikiwa tu kushika hatamu kwisha yeye mulevi wa gatundu.
 
Nani kakudanganya kuwa wataoajiriwa ni wakenya tuu unaijua vizuri recruitment system ya WHO.
Huwezi kuniambia kwamba mama wa kuosha ofisi na kupanguza desk atakuwa ni mzungu. Anyway, Wakenya tumesoma hata hizo managerial positions tunapata. Kwa mfano Microsoft research Headquarters ya Nairobi imeandika Mkenya kama CEO.
 
"Tunajenga na hela za ndani"

Hebu nionyeshe mahali Uhuru alisema atajenga electric sgr

Nionyeshe mahali alisema atamaliza slums Kenya. (Na mbona Magu hakumaliza uswazi zinazokaba jiji lenu koo?)

Where did he promise to end hunger in Kenya?

Wacha kuweweseka bongolala.
Kwahiyo UHURUTO hawakusema watafikisha SGR hadi Malaba baadae wataweka umeme?.

UHURUTO hawakusema watakamilisha mradi wa Galana Kulalu ili Kenya iondokane na aibu ya njaa?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Ethiopia-Sudan SGR, lamu port itakuwaje sasa
 
Achana na huyo. Availability of skilled labour is one of the reasons why these organisations are trooping to Kenya sasa yeye Anasema nini
Skilled labour?, Kwahiyo Geneva Kuna skilled labour kuliko nchi zote hapa duniani?. Kenya Kuna skilled labour kuliko nchi zote Afrika?.

By the way, UN offices zinatoa ajira kwa uwiano sawa wa nchi zote, hawaruhusiwi kuajiri watu toka nchi Moja labda katika nafasi za chini Kama walinzi, madereva na wapishi.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hivi kweli Hilo ndio linakufanya uwe unapost kwa shangwe kila tukio Kama Hilo likitokea Kenya?, Sio kweli ninakataa

Wewe kinachokufa uwe "excited" ni sifa kuona maofisi na HQs za kimagharibi zinafunguliwa Kenya bila hata kujali Kama zinawasaidia wakenya.

Hivi kweli kelele zote hizo ni kwasababu ya ajira chini ya watu 300, tena hapo Nairobi wakati hakuna sehemu zingine za Kenya zinazofaidika?.

Sasa mbona Kenya tatizo la ajira linazidi kuongezeka kwa Kasi kuliko nchi zingine hapa EA ambazo hakuna hata ofisi Moja ya UN?.

Kenya mtapata taabu Sana kwasababu hamtaki kujenga uchumi wenu wa ndani badala yake mnategemea Sana watu na Mashirika ya nje kuja kuwajengea uchumi, au kwenda kufanya kazi nje ya nchi yenu ili kutuma pesa Nyumbani, hii ni hatari Sana.

Lazima muwekeze kwenye kilimo, ufugaji, uvuvi, utalii, madini, ujenzi na uzalishaji viwandani ndio ufumbuzi wa ajira, na kumaliza njaa hapo Kenya, hayo ya ofisi za UN na makampuni ya kimataifa yanazidi kufanya maisha kuwa magumu kwa wakenya kwasababu
1)Wafanyakazi wa UN watalipwa pesa nyingi, hivyo watakuja na demand kubwa ya kununua bidhaa za Kenya kwa wingi, hii itaongeza Bei za bidhaa na kusababisha ongezeko la "inflation rate"
2)Kutakua na tofauti kubwa ya kipato Kati ya watu wanayoishi Kenya Kati ya waajiriwa wa UN na HQs ya makampuni ya nje na wale waajiriwa serikalini, hivyo kupunguza mirali ya wafanyakazi na kusababisha rushwa kuongezeka nchini na kupata kwa "crime rate"

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wacha ujinga. Mbona Dubai ni headquarters ya Middle East na kila organisation inawekeza Dubai na hio ndio imeifanya Dubai kuwa a global city. Vile vile Singapore ni headquarters ya South-East Asian countries. Ukitoa South Africa basi Nairobi ndio headquarters ya Sub-Saharan African countries. Na siku hizi hata makampuni zinasusia kuenda South Africa zinakuja Nairobi kwa mfano google. Huwezi kuniconvince kwamba international companies kuwekeza Nairobi ni jambo mbaya. Nyie mnahisi wivu tu kwa sababu hakuna kampuni au organisation ya kimataifa hata moja imewekeza Africa au East African headquarters hapo kwenu.
 
Kwahiyo UHURUTO hawakusema watafikisha SGR hadi Malaba baadae wataweka umeme?.

UHURUTO hawakusema watakamilisha mradi wa Galana Kulalu ili Kenya iondokane na aibu ya njaa?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Those were political promises. Magu naye aliwadanganya kuhusu utendakazi wake. Haya ni mambo mawili tofauti
 
Those were political promises. Magu naye aliwadanganya kuhusu utendakazi wake. Haya ni mambo mawili tofauti

Unataka kufananisha utendakazi wa JPM na huyo mulevi muongo wa gatundu!
Vitu alivyo vianzisha tu ndani ya miaka mitano itamchukua huyo mulevi wa gatundu miaka 100 kuanzisha.
 
Back
Top Bottom