Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani ni chao, wangekua wanamiliki hizo products wanazouza ulaya , wangetumia hela wanazopata kununua chakula, too bad their products are not their products 😎 . Wanamiliki tu data hapo na sifa.
Kwani mnatupea mahindi, mchele, nyanya, vitunguu free ama tunanunua cash crops lazima tuuze ulaya in my family we have tea, coffee, avocados not haas tho and macadamias for export lakini chakula tunanunua supermarket na sokoni
 
Those were political promises. Magu aliwadanganya kuhusu utendakazi wake. These two are very different things!
Kwani political promises are they not entrenched in party policies? Policies ndio zinazokuwa implemented baada ya kupata mandate ya kuongoza serikali na ndio utendaji hupimwa hapo.
 
Kunyaland mpaka kesho wanafanya bilateral discussions kuhusu chakula, highest quality of poverty minded nation!

Kuongelea kuhusu shida ya chakula in the 21st century ni aibu sana kama taifa. GDP muscle inapaswa kulibeba taifa lisiabike kama ambavyo nchi nyingine ambazo hazina kilimo na ziko jangwani zinavyofanya. They simply utilise their financial muscle kama ambavyo inavyo correlate na GDP to buy enough food stocks for its citizens.
 
U want to say the peace and stability Rwanda currently has ni juu ya dictatorship, Kagame akitoka wahutu na tutsi will be back at it?
Ninaona hivyo mkuu maana hawa watu wanashindana ni nani atawale na kutawaliwa kati ya Tutsi na Hutu, Tutsi ni wachache wanajiita watawala huku Hutu ni wengi nao hawataki kutawaliwa wakisema waende kwenye sanduku la kura Tutsi hawana chao.
 
Kwani ni chao, wangekua wanamiliki hizo products wanazouza ulaya , wangetumia hela wanazopata kununua chakula, too bad their products are not their products 😎 . Wanamiliki tu data hapo na sifa.
🤣🤣🤣 Jamaa wanamiliki data tu alafu msosi kwaajili yao wanOmba msaada 🤣🤣🤣
 
Sisi kila kitu tulianika wazi. We did not deny its existence or its effects tofauti na nyinyi
Sisi unakosea,mtaje aliekua anaficha,sema fulani alikua anaficha takwimu,ukisema sisi ni kwamba unatulazimisha sasa
 
Tbt Westy
tapatalk_1553899168961.jpg
 
Tweet ya 2015 by the hii product hata sijawai kuiona. The only Azam product ambayo inajaribu Kenya ni ile energy drink ya blue, which is facing very stiff competition from local and international products.
Kama hautumii bidhaa za azam ni wewe prsonal ila wakenya wenzako wengine wanatumia kwa hiyo utulie uwe mpole tu
 
Mbona kila siku huwa ninawaambia kwamba mradi wa Galana Kulalu ndio mradi Bora ambao wakenya mnapaswa kuuzingatia zaidi, huo ndio utakaotoa ajira nyingi kwa wakenya na kumaliza matatizo ya msingi hapo Kenya.

Tatizo lenu ninyi mnadhani Kenya ni Nairobi pekee na kwamba watu wa vijijini na huko upcountry hawana nafasi kabisa ya kuahiriki katika uchumi wenu.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Aliyekuambia Kenya ni Nairobi tu ni nani? Maendeleo tuomeonyesha humu hadi huko northern Kenya kunakotatizika na ukame
 
Back
Top Bottom