Pole sana huwez kuwa na reccurent expenditure above 70 % halafu ukajisifia eti uko na middle income .
Na hapa unatakiwa uelewe unatakiwa uwe na production kubwa ili iendane na hiyo middle income uliyonayo. Na kama una middle income kubwa it means itaongeza importation of luxury goods, lakini kwa Kenya haiko hivyo mnaimport consumable goods kama vyakula .
Bahat mbaya tunawaelimisha wapumbavu kama nyinyi ambao hamuelewi .
Ukitumia remittance nyumbani inatumika kuwalisha na kununulia chakula na mavazi sio kwenye production , ndo maana government yenu inatumia pesa kustabilize ksh sababu exports haziwezi cover imports forex hasa pale kikiwa na free fall of ksh