Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Slum Dwellers.jpg
 

Attachments

Karibu sana kiongozi, c unajuwa tena wakati tulionao huu kuuliziana muhimu
Hata mm nilikuwa najiuliza huyu mmjamaa kapotelea wapi.....maana kwenye hii battle msipokuwepo batlle hainogi kabisa ....sisi wengine mashabiki wenu humu .....tunasoma coment ......stress zote za mchana kutwa zinaishia humu tunafurahia ....so tuna waombea uzima msikose kuwepo humu.......maana hata mi binafsi sifurahishwi na wakenya aisee wanajiona wa matawiiii.....yaani hamna kam wao aisee
 
Sawa mkuu sababu ugali wa uraiani bado nautaka, nisamehe mkuu
Mkuu uwe na ustaarabu aisee hata kama una chuki za kisiasa ebu jaribu kumpa heshima mwanadamu anaeongoza watu milioni 60 .....MUNGU mwenyewe anamuheshimu huyo mtu....hebu jitahidi na wewe basi aisee kaka....
 
uyo dk angekua na hela angesoma private na hio pesa ya serkal angepewa mwingine mwenye uhitaji

1)hata ukimwita dikteta uchwara hakukupunguzii shida zako wala za mumeo
2)yeye ndo kashikilia hatma ya maisha yako pamoja na ustawi wa ukoo wenu na vizazi vyenu
3) there's nothing u can do and kama kweli we kidume tumia id yako otherwise we ni muoga aka mbwa koko
Kabisaa mkuu haka kacomora hakajielew
 
Very good. Ila kuna kitu kinanikera kuhusu watendaji wetu wanaosimamia na kupokea miradi kama hii. Finishing ya miradi mingi huwa very poor. Hivi kwa mfano, inakuwaje stendi kali kama hii ina madimbwi ya maji? Hilo ni jengo ambalo chini kuna floors mbili, why lituamishe maji.

Na hili lilianza kuonekana tangu rais alipoenda kuweka jiwe la msingi na mwenzake Chikwera. Nilidhani watalifanyia kazi. Ndiyo maana bro Magu haachagi kuwatoa kasoro.

That's a TZS 51bln project. It shouldn't have water pools. Should have installed a better drainage system.
 
Back
Top Bottom