Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
ya kila sehemu room inakaa kwa bei yake huwezi ukakaa nnje ya mji halafu mtu akakupangisha kwa 30.We kw kupinga hujambo
Kuna video mlileta hapa siku hyo, eti sijui mtaa gani umepanda bei kisa siku hzi hakuna vyuma vya 25k tsh nikuanza 30k..
Yani nilishangaa sana
ukiona hivyo uko chaka ni mbali saana na mji kiasi cha kwamba unapata daladala nne nne kufika town







tulitaka Kula Kilimanjaro ya opposite jamia Ila basi tu