Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hio iko affordable. Ikija Kenya bora ni pure leather nitainunua. Jitumeni kibiashara mzilete huku mpige pesa ndefu. Hata hamna competition maana Kenya sidhani kama tunaunda vitu kama hivyo.
Kuvipata na penyewe usidhani ni easy kihivyo! Hii quality ya kiatu tulizoea kuvipata kwa 200k+ saivi ni 80k usifikiri utavipata easy in bulk

Japo kiwanda kina capacity ya jozi million 1.5 lakini demand ni kubwa mno
 
Hata kama wapo Mimi Nina issue zangu zimenileta huku ikiwemo kupiga picha za Nai😃😃
Halafu huku Nairobi nimeona wasichana wengi kutoka Uganda wanakuja kufanya kazi za nyumbani. Yaani kuosha nyumba na kupika na kadhalika. Sijui kama umenotice hio trend?
 
Kuvipata na penyewe usidhani ni easy kihivyo! Hii quality ya kiatu tulizoea kuvipata kwa 200k+ saivi ni 80k usifikiri utavipata easy in bulk

Japo kiwanda kina capacity ya jozi million 1.5 lakini demand ni kubwa mno
Kawaida pure leather bei yake iko juu kidogo lakini inalast muda mrefu halafu inapendeza kushinda synthetic leather.
 
.
FB_IMG_1614184324044.jpg
 
Huo ugonjwa uko kila mahali na ni hao wazungu waliusambaza duniani kabla hawajaitaja nchi yyte wakumbuke chanzo alikua nani
Wakati mnawahahakikishia km kwenu hakuna corona hamkulijua hilo watakatifu
 
Sijawahi kuona full picture ya hii bus terminal. Hua naona tu kipande cha juu. Sijawahi kuona hicho kipande cha chini. Hili jengo ni matata.
Niliwaambia ni zaidi ya Nairobi terminus in size! Mkatoa povu la ugoro!
 
nani aliyekudanganya,,hizo single room za wanaoanza life kama vile wanafunzi wa high school ama watoto wanaoanza chuo 1st year
Hehehehe!!sasa unafikiria m nadanganya sio, dar kijana akipanga sehemu km hyo huaga ana vimba..
Kodi ya elfu hamsini jamaa anajitapa bana mpka nikashangaa, kumbe kuna vyumba vya mpla 20k tsh
 
Back
Top Bottom