Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umerudi pale pale ya kwamba viongozi wenu ni wakurupukaji, yani mtu anaongea kimihemko ili rais asikie amuone km jamaa anachapa kazi..
Kisha eti mnajiita nchi huru, hapo kafanya kosa gani la jinai mpka kufikia hko
kwani kuna mtu amedai kuna kosa la jinai kufanya hivyo!!!!
rais ameagiza wachunguzwe.

sijui uoga unatokea wapi!!!
 
Hili suala liko hivi: Kama Huyo Daktari alifuata kanuni zote za ku-transfer Hana kosa kabisa. Lakini kama aliondoka kinyemela basi kosa analo.
ndio hakuna haja ya kuwa na wasi wasi.

maana sheria iko upande wao.
 
Ni kweli uhuru wa kujimwaga, lakini ni hatari sometimes acha tu
Anyway, hayanihusu ngoja niwaachie muyamue wenyewe..

Jamaa wanakutishia nkm wapo ikulu ukicheki si ajabu wengine wapo Buza ni wakulima wa mihogo..
 
haipo,hata sheria inayolazimisha mtu kuwa mzalendo haipo.
kwavile maslahi ni kipaumbele,basi wacha tuhame tu.
Haipo Sheria kama hiyo kabisa. As a matter of fact, Sheria ya Tanzania inakataza kumfanyisha kazi mtu kwa shuruti! Hoja aliyoitumia Rais ni uzalendo na kuwa kisa alikopa hela serikalini basi kazi yake ni lazima iwe serikalini. Kwani wagonjwa kwenye hospitali binafsi sio watanzania? Na Kwa nini mtu asifate preference yake ya mazingira ya kazi?
 
kwani kuna mtu amedai kuna kosa la jinai kufanya hivyo!!!!
rais ameagiza wachunguzwe.

sijui uoga unatokea wapi!!!
Olaaa!!yajengeni mimi sio mtanzania, sitaki kukurupuka manake katiba yenu siijui..

Ila km ingelikua kwetu hata bibi yake kijijini asingelithubutu kumfokea achana na viongozi serekalini
 
Haipo Sheria kama hiyo kabisa. As a matter of fact, Sheria ya Tanzania inakataza kumfanyisha kazi mtu kwa shuruti! Hoja aliyoitumia Rais ni uzalendo na kuwa kisa alikopa hela serikalini basi kazi yake ni lazima iwe serikalini. Kwani wagonjwa kwenye hospitali binafsi sio watanzania? Na Kwa nini mtu asifate preference yake ya mazingira ya kazi?
bado sielewi ni kwanini umepanick katika hili.
vyema ungesubiri hatua kwanza,ndipo tujenge hoja ya jumla.
 
Udikteta uchwara, acha kumtishia mwenzako kisa kasema ukwel..
Mwani mkopo halipi au kasoma bure, watanzania bana
uyo dk angekua na hela angesoma private na hio pesa ya serkal angepewa mwingine mwenye uhitaji

1)hata ukimwita dikteta uchwara hakukupunguzii shida zako wala za mumeo
2)yeye ndo kashikilia hatma ya maisha yako pamoja na ustawi wa ukoo wenu na vizazi vyenu
3) there's nothing u can do and kama kweli we kidume tumia id yako otherwise we ni muoga aka mbwa koko
 
Anyway, hayanihusu ngoja niwaachie muyamue wenyewe..

Jamaa wanakutishia nkm wapo ikulu ukicheki si ajabu wengine wapo Buza ni wakulima wa mihogo..
Hahahaha maafisa vipenyo mara nyingi wanaonekana kama machizi kumbe ndio wakulungwa wenyewe, yaani ni hatari na nusu

Ila hapo kiukweli sio poa hata Magu mwenyewe akikaa akatulia baadae ataona hajasema vizuri
 
Olaaa!!yajengeni mimi sio mtanzania, sitaki kukurupuka manake katiba yenu siijui..

Ila km ingelikua kwetu hata bibi yake kijijini asingelithubutu kumfokea achana na viongozi serekalini
ndio sababu hata mnaongoza kwa rushwa.

maana si rais wala gavana anaweza fokea mtu,kila mtu ana ndevu kama kambale.
 
uyo dk angekua na hela angesoma private na hio pesa ya serkal angepewa mwingine mwenye uhitaji

1)hata ukimwita dikteta uchwara hakukupunguzii shida zako wala za mumeo
2)yeye ndo kashikilia hatma ya maisha yako pamoja na ustawi wa ukoo wenu na vizazi vyenu
3) there's nothing u can do and kama kweli we kidume tumia id yako otherwise we ni muoga aka mbwa koko
Kwn unafikiria mikopo kw wanavyuo duniani inapatikana tz pekeake, emu inua mikono juu umuombe Muumba wako walau akupe hata percent moja ya ufahamu mana sio kw kuwehuka hko...

Ngoja hata nikupuuze haswa, manake sio kawaida minyororo inakuhusu
 
Hahahaha maafisa vipenyo mara nyingi wanaonekana kama machizi kumbe ndio wakulungwa wenyewe, yaani ni hatari na nusu

Ila hapo kiukweli sio poa hata Magu mwenyewe akikaa akatulia baadae ataona hajasema vizuri
aliishawahi kusema endapo mtu ana historia ya kusoma shule za gharama,hatakuwa kipaumbele katika kupewa mkopo wa elimu ya juu,tuka panick sana.

ilipokuja system ya kulipa mkopo kwa lazima,ona wale wale wazazi wanaangalia naman bora ya kucover gharama za univercity wenyewe kukwepa ziko la deni.
 
Haipo Sheria kama hiyo kabisa. As a matter of fact, Sheria ya Tanzania inakataza kumfanyisha kazi mtu kwa shuruti! Hoja aliyoitumia Rais ni uzalendo na kuwa kisa alikopa hela serikalini basi kazi yake ni lazima iwe serikalini. Kwani wagonjwa kwenye hospitali binafsi sio watanzania? Na Kwa nini mtu asifate preference yake ya mazingira ya kazi?

Sijapanic Bali nimesikitishwa na hatua ya ghafla na isiyo na misingi ya kisheria ambayo Rais anataka kuichukua. Kumfutia mtu leseni ya udaktari na kuifunga hospitali binafsi aliyohamia...kisa uzalendo? Hili suala haliingii akilini. Na Ndio maana nasema kuwa Rais wetu anafanya mambo mengi mazuri lakini kuna maneno ambayo anaongea haya-reflect nafasi yake kama Kiongozi wa nchi.
maneno tu,unatishwa na maneno!!!

toka umeambiwa uzae una watoto kumi na ngapi mpaka sasa!!!
 
bado sielewi ni kwanini umepanick katika hili.
vyema ungesubiri hatua kwanza,ndipo tujenge hoja ya jumla.
Sijapanic Bali nimesikitishwa na hatua ya ghafla na isiyo na misingi ya kisheria ambayo Rais anataka kuichukua. Kumfutia mtu leseni ya udaktari na kuifunga hospitali binafsi aliyohamia...kisa uzalendo? Hili suala haliingii akilini. Na Ndio maana nasema kuwa Rais wetu anafanya mambo mengi mazuri lakini kuna maneno ambayo anaongea haya-reflect nafasi yake kama Kiongozi wa nchi.
 
Humpeleki popote we ni bwege tu, wasiojulikana hawatishii watu mitandaono we mwehu..
hoja sio kupelekwa popote,hata jf inawezafungwa kwa muda,ikawa hasara na kwetu wastaarabu.

uliza 2019 sijui kama ulikuwepo hapa,sasa hivi mods hawacheki na upumbavu wa mtu,ukijichanganya tu unakula pini.
 
Kauli km hzo zinatakiwa zitolewe na wauza genge wala sio rais
wewe ni nani wa kuchagua hiki aongee huyu,hiki aongee rais!!!

muuza genge anatakiwa aongee maneno haya!!anaongea akiwa anamwambia nani???
 
Back
Top Bottom