mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,513
haipo,hata sheria inayolazimisha mtu kuwa mzalendo haipo.Kuna Sheria kwenye katiba inayomkataza mtu kubadilisha ajira kutoka serikalini kwenda kwenye sekta binafsi? Kama ipo nionyeshe Maana siifahamu.
kwavile maslahi ni kipaumbele,basi wacha tuhame tu.

