Shebby01
JF-Expert Member
- Nov 11, 2020
- 2,520
- 5,872
Na Mimi Nairobi naingia wiki hii kwa ajili ya mishe Mishe zangu ruksa ukifika tafuta slum upige picha🙂Dar es Salaam nimefika na narudi hapo April. Nitawapeperushia picha humu.
Na Mimi Nairobi naingia wiki hii kwa ajili ya mishe Mishe zangu ruksa ukifika tafuta slum upige picha🙂Dar es Salaam nimefika na narudi hapo April. Nitawapeperushia picha humu.
Alishaweka tangu jana sema bundle ndo ulikuwa huna,![]()
![]()
Ukizipata nitag




Unawajua hao Wakenya unaowabeza? It's interesting how you find your own logic stupid.unananijua......?
huoni tofauti hapo
zikipatikana utapata comrad ,watu tupo bize na life masuala ya kupiga piga picha hutokea tu mtu anapopata time hata photographer wenyewe hawana huo mda mpaka wajisikieHuna hata picha na unaboast?![]()
![]()
![]()
Karibu sana kiongozi, c unajuwa tena wakati tulionao huu kuuliziana muhimuNilimiss kijiwe kichizi




Watu tupo busy kwenye machimbo 🤣🤣🤣🤣zikipatikana utapata comrad ,watu tupo bize na life masuala ya kupiga piga picha hutokea tu mtu anapopata time hata photographer wenyewe hawana huo mda mpaka wajisikie
Dar 90% ni slum................hamna mpangilia, hamna zonning. Huwezi pata high esnd neighborhoods kama Muthaiga, Kitusuru, Spring Valley ama Karen Dar. Upper middle class chache tu (Oyster bay, Masaki et al) kama tu Mombasa na hata haziwezi fikia Upper middle Class ya Nairobi kama Kilimani. Middle Class ilipangika ndio hamna kabisa wakati Nairobi ziko tele (South B, South C, Baraka, Southlands, Buru Buru, Donholm et al) Dar Hazipatikani. Dar is a hell of unplanned construction that would qualify as a slum in Nairobi ila hamuiti slum, mnaita Uswazi.Na Mimi Nairobi naingia wiki hii kwa ajili ya mishe Mishe zangu ruksa ukifika tafuta slum upige picha🙂
asilimia kubwa nishawapekua appearance zenu tu zinaonyesha ni life gani mnayoishi....Unawajua hao Wakenya unaowabeza? It's interesting how you find your own logic stupid.
Uko bize huwezi piga picha yet unashinda hapa ukitafuta picha za Kibera? Una akili wewe? Hivi hizi zimepigwa na tumbili? 🤣 🤣 🤣zikipatikana utapata comrad ,watu tupo bize na life masuala ya kupiga piga picha hutokea tu mtu anapopata time hata photographer wenyewe hawana huo mda mpaka wajisikie
Hapa dar wakenya pia wapo kibao...Wengine walishakaa huku kwa zaidi ya miaka kumi wanatafuta uraia maisha yaendelee. ..TunategemeanaEh Bana eh...WATANZANIA mmejaa Kenya sana na tunawapenda na kuwakaribisha zaidi....Tafuteni riziki....kuna sababu hamwendi Rwanda na ug ...au kubaki home...ni kwa sababu kenya is a land of opportunities.... Karibuni Kenya ndungu zetu tunawapenda
So wewe na mwenye technology nani mwenye akili 😃😃😃😃 yani dar iwe na slum 90% alaf mzungu afunge mitambo hewani asione dar ila aone ya dunia nzima, kapime mkojo mzeeeDar 90% ni slum................hamna mpangilia, hamna zonning. Huwezi pata high esnd neighborhoods kama Muthaiga, Kitusuru, Spring Valley ama Karen Dar. Upper middle class chache tu (Oyster bay, Masaki et al) kama tu Mombasa na hata haziwezi fikia Upper middle Class ya Nairobi kama Kilimani. Middle Class ilipangika ndio hamna kabisa wakati Nairobi ziko tele (South B, South C, Baraka, Southlands, Buru Buru, Donholm et al) Dar Hazipatikani. Dar is a hell of unplanned construction that would qualify as a slum in Nairobi ila hamuiti slum, mnaita Uswazi.
You mean you can use the word smart in a sentence? 🤣🤣asilimia kubwa nishawapekua appearance zenu tu zinaonyesha ni life gani mnayoishi....
wachache wapo smart hawazidi watatu wengine 98% ya hao waliobakia ni chokoraa tu..
inawezekanaUko bize huwezi piga picha yet unashinda hapa ukitafuta picha za Kibera? Una akili wewe? Hivi hizi zimepigwa na tumbili?![]()
![]()
View attachment 1708190
Hadi za Nairobi umeiba? 🤣 🤣 🤣Alishaweka tangu jana sema bundle ndo ulikuwa huna, Dar kama DarView attachment 1708161View attachment 1708162View attachment 1708163View attachment 1708164View attachment 1708165View attachment 1708166View attachment 1708167View attachment 1708168View attachment 1708169View attachment 1708170View attachment 1708171View attachment 1708172View attachment 1708173View attachment 1708174View attachment 1708175View attachment 1708176View attachment 1708177View attachment 1708179
ulichokariri ni oysterbay na masaki.......Dar 90% ni slum................hamna mpangilia, hamna zonning. Huwezi pata high esnd neighborhoods kama Muthaiga, Kitusuru, Spring Valley ama Karen Dar. Upper middle class chache tu (Oyster bay, Masaki et al) kama tu Mombasa na hata haziwezi fikia Upper middle Class ya Nairobi kama Kilimani. Middle Class ilipangika ndio hamna kabisa wakati Nairobi ziko tele (South B, South C, Baraka, Southlands, Buru Buru, Donholm et al) Dar Hazipatikani. Dar is a hell of unplanned construction that would qualify as a slum in Nairobi ila hamuiti slum, mnaita Uswazi.




