Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

What's the point of having a big GDP when your people don't have the spending power. Unadhani US inashindia China nini? The average American consumes more than an average Chinese. Na ndio maana China is aiming to shift from producer based to consumption based economy by increasing from 40% to 60% consumer based. Kuna tofauti ya serikali kua na pesa na wananchi kua na pesa. Washajenga nchi yao sasa wanataka wachina wengi wakue matajiri kama other fully developed countries.
China inapush kuwa a consumer based sababu tayari ishakuwa industrialized na Ina over balanced of payment tofauti na Kenya ambayo Ina imbalance of payment.
Wakati china inatumia pesa ili kudevalue currency yake ili iwe chini kustimulate export Kenya mnatumia pesa ili ku revalue , sababu msipofabya hivyo exports ni ndogo haziwezi kucover imports needs na currency ikishuka importation kwenu itakuwa na dharama na maisha kuwa magumu sababu nyinyi mna import based economy ambayo haiendani na value ya exports zenu , ili mpate pesa nyingi lazima mpunguze importation kwa kuzalisha products kama Mchele,mahindi na kuincrease exports ili mpate forex ya uhakika.
Hilo somo dogo kwenu, huwez jilinganisha na china
 
Serengeti Stadium
Africa's most scenic stadium
View attachment 3571109View attachment 3571110
1775941804517.png


1775941830529.png


1775941855645.png


1775941880383.png



VS

1775942190444.png

nairobae

 
Back
Top Bottom