Aise! Yaani hapo bado Sana,nilipita pale Buguruni,nikitokea airport,lile daraja bado Sana upande wa mashariki,Ila tuvumilie tusiwe Kama jiranj na haraka nyingi Sasa hivi wanaona aibu.Hapa tuvumilie tu kwakweli, mana speed yake ni ndogo mno, hapa ni pale ukonga nilichukua picha jana, sidhani kama april tutapanda hizo trainView attachment 1709669View attachment 1709670View attachment 1709671View attachment 1709672
Huku unemployment rate kenya is times three of uganda and tanzania🤣🤣🤣Am not impressed try harder.
Kama umeelewa kwann unalia sasa 🤣🤣🤣Wewe utaanza kuelewa kiingereza lini? 😂
Silii, nakuhurumiaKama umeelewa kwann unalia sasa 🤣🤣🤣
hakuna mtu anayevimba kwa hiyo pesaHehehehe!!sasa unafikiria m nadanganya sio, dar kijana akipanga sehemu km hyo huaga ana vimba..
Kodi ya elfu hamsini jamaa anajitapa bana mpka nikashangaa, kumbe kuna vyumba vya mpla 20k tsh
Pole endeleeni na scandle 😁😁😁 nchi imejinyea sasaSilii, nakuhurumia
rais Magufuli huku kashafanya yake Ilala ndo imekuwa jiji, hivyo temeke,kinondoni nk... ni kama mkoani tu.
now Nairobi mashindane na Mwana,Arusha,mbeya na Dodoma






hapo sasa nmekupata mkuuHujaelewa alichofanya manispaa ya jiji la Dar ilikuwa haina eneo la utendaji/usimamizi/kimamlaka sasa kaivunja na manispaa ya Ilala inakuwa ya Jiji na wilaya at a go!
Not impressed, Kakamega can do it better
kama ni hivyo wewe pia ni mpumbavu maana ulimzungumzia kikwete kuwa naye kajenga.....kikubwa utulie ...Kama unajua hakuna mradi unsojengwa na Rais basi waelimishe wapumbavu wenzio hapo juu kwanza ndio uje kunililia




Hii ni three level interchange huwezi ipata kenya nzima na siku ukipata tag me 🤣🤣🤣Not impressed, Kakamega can do it betterView attachment 1711227
alikuqa anasema mombasa






Poor design and workmanship sorry not impressive. We have an expressway goddammitHii ni three level interchange huwezi ipata kenya nzima na siku ukipata tag me 🤣🤣🤣
View attachment 1711230View attachment 1711231