Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tumia akili cha kwanza kupitia mapovu yako yasiyo na tija huwezi kupata msaada humu,pia hakuna mradi unaojengwa na raisi tokea nyerere,mwinyi,mkapa,kikwete hata magufuli miradi yote ni pesa kutoka kwa walipa kodi ambao ni watanzania hivyo hakuna cha nani sijui alifanya hivi sijui yule kafanya ivi,,hao wote tajwa wanaweza kushindana kwenye usimamizi tu wa miradi ya nchi na si kinginecho,,,.
hao viongozi wote wanafuata ilani ya chama chao
FULL STOP

pia kuhusu kujipendelea binadamu yeyote yule duniani hilo pungufu analo hata wewe inawezekana ukapata pesa na ukashindwa kuwatumia wazazi wako lakini chaajabu ukamtumia demu wako ambaye hata hana faida na wewe zaidi ya kukuchanulia nakukupiga mizinga ila cha kufurahisha na cha kukuuliza ,je huko unakosema kapindisha sijui barabara kwake kwani atakuwa anapita peke yake milele..?...
kwani tanzania nzima imejengwa huko pekee...?..
Kama unajua hakuna mradi unsojengwa na Rais basi waelimishe wapumbavu wenzio hapo juu kwanza ndio uje kunililia
 
hatuwezi teseka baada ya kutoka yeye kama wewe unavyohaha ulimi nje baada ya JK kutoka, sababu sisi sio chawa kama nyinyi, sisi ni wazalendo.wapenda maendeleo.

sisi na yeye tuko kwa ajiri ya tanzania sio, matumbo yetu kama wewe kiazi kibovu.

mara tena boss wake kawa marehem
Mtateseka Sana nyie na jiwe wenu
 
rais Magufuli huku kashafanya yake Ilala ndo imekuwa jiji, hivyo temeke,kinondoni nk... ni kama mkoani tu.
now Nairobi mashindane na Mwana,Arusha,mbeya na Dodoma
Hujaelewa alichofanya manispaa ya jiji la Dar ilikuwa haina eneo la utendaji/usimamizi/kimamlaka sasa kaivunja na manispaa ya Ilala inakuwa ya Jiji na wilaya at a go!
 
Kwani cha ajabu nn?kenya hamna ugonjwa?
Hakuna siku tulikana wala kukataa uwepo wa corona kwetu. Nyinyi mliaminishwa hamna corona na mkulu huku kirusi ikiendelea kuua watu hadi ikabidi muibandike jina mpya "changamoto ya kupumua" just to continue living in denial!
 
Back
Top Bottom