xng hua
JF-Expert Member
- Sep 24, 2016
- 3,301
- 5,379
kibera yupo on his own level [emoji23][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji23]looks like kibera
kibera yupo on his own level [emoji23][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji23]looks like kibera
Tupe neno moja jomba acha maeneno mengi[emoji1787][emoji1787]acha ushamba.. hio ni AC.. au air purifier.. inatumia maji kucool the environment.. na magu siku zote anakaaga mwenyewe.. angalia hata matukio mengine ya msiba au tukio lolote ikulu
Hayo ndio maeneo mnayojipa matumaini nayo km watanzania[emoji1787][emoji1787]
Dar hyoo[emoji1787][emoji1787]kibera yupo on his own level [emoji23][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji23]View attachment 1708365
Mkopo sio wa GOK. Hio ndio ilikuwa point yangu. GOK haina mzigo wa kulipa hio deni.Sasa usichoelewa hapo ni nini? hiyo road ni mkopo na watalipa wananchi, kwa tafsiri nyingine ni kwamba GoK haina uwezo wa kulipa yenyewe km yenyewe imewapa wananchi walipe kwa mwamvuli wa ppp.
kusafiiii 😍😍Details matter
View attachment 1708383
Inaishinda kwenye nn or u mean slums.Yaani na uchafu huu wote Bado kenya. imaishinda tz zaidi....just imagine
asa mbona unanionyesha mito [emoji85][emoji85][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]Dar hyoo[emoji1787][emoji1787]View attachment 1708388View attachment 1708396
Ss nyie mnalipa mara mbili kwenye ppp na kodi.Miradi yote lazima ilipiwe na wananchi Kwa njia moja au nyingine...au tz hawalipi kodi...ama hawelewi hata kodi ni nini....kwa sababu kizungu huwapiga Chenga hawa jirani aisee...hupitwa na mengi saana
Engineers are Kenyan you dimwit.Usisahau kuandika ni mkopo na hakuna engineer wa kikunya tafadhali [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Comment zengine don't bother mkuu.acha ushamba.. hio ni AC.. au air purifier.. inatumia maji kucool the environment.. na magu siku zote anakaaga mwenyewe.. angalia hata matukio mengine ya msiba au tukio lolote ikulu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]babyHuenda wasingefanya zile figisu haya yote yasinge wakuta [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1708411
Umekasirika[emoji1787][emoji1787][emoji1787]asa mbona unanionyesha mito [emoji85][emoji85][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]
weka kama hizi [emoji116][emoji116]View attachment 1708401View attachment 1708402
Hilo limeonakana kichwa pekee ni Lambo V12 Vision Gran Turismo na hilo limeokana full ni Bugatti Bolide. Zote bado ni concept cars.wakulungwa..... hii gari inaitwaje? View attachment 1708377View attachment 1708378View attachment 1708379View attachment 1708380
Club za bongo mda si mrefu zita dominate hii region, wenzetu watakuwa DRC tu.Huenda wasingefanya zile figisu haya yote yasinge wakuta [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1708411