Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapa sijakubaliana na Magufuli kabisa. Hii Ndio exact quote aliyotoa.
View attachment 1689794
Sio vyema kumtukana Rais ila inabidi kumkosoa kwa heshima. Lakini nakubaliana na wewe. Ina maana serikali inathamini uzalendo wa mtu mmoja kuliko afya ya wananchi kwa ujumla? Kwani Huyo Daktari akihamia hospitali binafsi hatibu Watanzania? Na Kwani mkopo wake hatalipa? Na bado katishia Kufuta license ya Daktari na hospitali aliyohamia. Kwakweli Magufuli wakati mwingine huzungumza mambo yasiyoeleweka kabisa. Sijui kama Ana mshauri wa kumuongoza kwenye mambo ya kauli za kuongea hadharani. Ni Sawa tu na Bashite. Neno lolote linalokuja kichwani analitamka.
mkuu,katika hilo wapo washauri na wasimamizi katika kusimamia agizo au kauli hiyo.

ina maana kubwa sana kuliko kosa mnaloliona nyinyi kwa picha ya nje.ndio maana anasema wafatiliwe,sijui kama unakumbuka ya vipimo vya covid na mapapai.
 
Hapa sijakubaliana na Magufuli kabisa. Hii Ndio exact quote aliyotoa.
View attachment 1689794
Sio vyema kumtukana Rais ila inabidi kumkosoa kwa heshima. Ina maana serikali inathamini uzalendo wa mtu mmoja kuliko afya ya wananchi kwa ujumla? Kwani Huyo Daktari akihamia hospitali binafsi hatibu Watanzania? Na Kwani mkopo wake hatalipa? Kwakweli Magufuli wakati mwingine huzungumza mambo yasiyoeleweka kabisa. Sijui kama Ana mshauri wa kumuongoza kwenye mambo ya kauli za kuongea hadharani. Ni Sawa tu na Bashite. Neno lolote linalokuja kichwani analitamka.
raisi yupo sawa , unasomesha unaajiri af mtu anaripoti na kusepa hii sio sawa!!
hata hao private sector wakisomesha mtu lazima wambane kwa muda kabla ya kumuachia

huku kuibiana watendaji sio sawa NARUDIA HII SIO SAWA .......hao private sector kwanini wasiende muhas 1kwa1 ?

kwa sasa nakubaliana na magu ½ sababu hakuna mfumo wa kumlinda mfanyakazi wa serkali asiibiwe na pr/sector
hili limebebwa na litashughulikiwa VIZURI tuu!!
 
mkuu,katika hilo wapo washauri na wasimamizi katika kusimamia agizo au kauli hiyo.

ina maana kubwa sana kuliko kosa mnaloliona nyinyi kwa picha ya nje.ndio maana anasema wafatiliwe,sijui kama unakumbuka ya vipimo vya covid na mapapai.
Kulinganisha hii situation na ile ya Kupima mapapai ni vitu viwili tofauti na haviwezi kulinganishwa. Tatizo ni kuwa anatishia kumfutia daktari leseni ya kupractice na juicing is hospitali aliyoamia kisa ametoka kwenye kazi ya serikalini. Kama Huyo Daktari alifata processes zote za uhamisho Tatizo liko wapi? Na kwani bado hatibu watanzania? Au hela ya mkopo haikatwi?
 
Yeye anasema eti hela yetu umekula kisha umeenda kuajiriwa kwengine, ina maana huyo Dr hakatwi mkopo na bodi? Yeye mwenyewe anamtukana Dr kwamba kaiba hela ya serikali anaosema ni yake katoa wapi hiyo hela ya kusomesha wataalamu?
hizi nyingine ni kauli kama totoeni ntawasomeshea bure,lazima tuelewe kwamba ameongea akiwa kwenye mood ya sherehe.

hivi unadhani ni kweli hajui kama watu wanakatwa madeni ya bodi ya mikopo,wakati ni yeye ndiye aliifufua!!!

haina uzito hiyo kauli.
 
raisi yupo sawa , unasomesha unaajiri af mtu anaripoti na kusepa hii sio sawa!!
hata hao private sector wakisomesha mtu lazima wambane kwa muda kabla ya kumuachia

huku kuibiana watendaji sio sawa NARUDIA HII SIO SAWA .......hao private sector kwanini wasiende muhas 1kwa1 ?

kwa sasa nakubaliana na magu ½ sababu hakuna mfumo wa kumlinda mfanyakazi wa serkali asiibiwe na pr/sector
hili limebebwa na litashughulikiwa VIZURI tuu!!
Unavyosema litashunguliliwa vizuri unatambua kuwa kuna mtu Ana hatari ya kupoteza leseni yake ya udaktari na hospitali kufungiwa? Tatizo mnafanya ushabiki wa Rais kwenye Hilo Jambo. Sio kwamba mimi simpendi Magufuli..namkubali sana, Bali natambua kuwa hakuna mwanadamu mkamilifu...hata rais hufanya makosa.
 
Yeye anasema eti hela yetu umekula kisha umeenda kuajiriwa kwengine, ina maana huyo Dr hakatwi mkopo na bodi? Yeye mwenyewe anamtukana Dr kwamba kaiba hela ya serikali anaosema ni yake katoa wapi hiyo hela ya kusomesha wataalamu?
hujielewi wewe hivi vitu unaharisha hapa ni zaidi ya uelewa wako
 
Kulinganisha hii situation na ile ya Kupima mapapai ni vitu viwili tofauti na haviwezi kulinganishwa. Tatizo ni kuwa anatishia kumfutia daktari leseni ya kupractice na juicing is hospitali aliyoamia kisa ametoka kwenye kazi ya serikalini. Kama Huyo Daktari alifata processes zote za uhamisho Tatizo liko wapi? Na kwani bado hatibu watanzania? Au hela ya mkopo haikatwi?
kwani unafikiri kuna madaktari wangapi wamehama,na vipi nguvu ya hii kauli itawahusu na hao??
 
nimekutahadhalisha wewe na kauli zako.

kama una hoka kuhusu aliyoyaongea zijenge,sio kutukana nk.
Udikteta uchwara, acha kumtishia mwenzako kisa kasema ukwel..
Mwani mkopo halipi au kasoma bure, watanzania bana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
kwani unafikiri kuna madaktari wangapi wamehama,na vipi nguvu ya hii kauli itawahusu na hao??
Kuna Sheria kwenye katiba inayomkataza mtu kubadilisha ajira kutoka serikalini kwenda kwenye sekta binafsi? Kama ipo nionyeshe Maana siifahamu.
 
Unavyosema litashunguliliwa vizuri unatambua kuwa kuna mtu Ana hatari ya kupoteza leseni yake ya udaktari na hospitali kufungiwa? Tatizo mnafanya ushabiki wa Rais kwenye Hilo Jambo. Sio kwamba mimi simpendi Magufuli..namkubali like sana, Bali natambua kuwa hakuna mwanadamu mkamilifu...hata rais hufanya makosa.
hajafanya kosa myb kama kua mbele ya muda ni kosa

uandaliwe tuu system ya kumbana mfanyakazi wa serkali

tatizo lenu mmechukulia hili negative
nkuulize je una idea oote ya uchambuzi wa taarifa?
 
Udikteta uchwara, acha kumtishia mwenzako kisa kasema ukwel..
Mwani mkopo halipi au kasoma bure, watanzania bana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
udictator uchwara ni kuhubiri demokrasia hadharani kisha kufanya ushetani gizani kama huko kwenu.

tanzania hakuna udictator uchwara,kuna udictator pure,ndio sababu hatuishi kama manyani msituni.
 
hajafanya kosa myb kama kua mbele ya muda ni kosa

uandaliwe tuu system ya kumbana mfanyakazi wa serkali

tatizo lenu mmechukulia hili negative
nkuulize je una idea oote ya uchambuzi wa taarifa?
Hili suala liko hivi: Kama Huyo Daktari alifuata kanuni zote za ku-transfer Hana kosa kabisa. Lakini kama aliondoka kinyemela basi kosa analo.
 
hizi nyingine ni kauli kama totoeni ntawasomeshea bure,lazima tuelewe kwamba ameongea akiwa kwenye mood ya sherehe.

hivi unadhani ni kweli hajui kama watu wanakatwa madeni ya bodi ya mikopo,wakati ni yeye ndiye aliifufua!!!

haina uzito hiyo kauli.
Umerudi pale pale ya kwamba viongozi wenu ni wakurupukaji, yani mtu anaongea kimihemko ili rais asikie amuone km jamaa anachapa kazi..
Kisha eti mnajiita nchi huru, hapo kafanya kosa gani la jinai mpka kufikia hko
 
Back
Top Bottom