Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,894
- 103,759
"Sisi ni matajiri" au huwa JPM akitamka hayo maneno mnadhani labda anatania fulani hiviNa pesa ya kufanya miradi hii inatoka wapi?



Sahv ni wastani wa trillions 1.664 dingi mzee kashadouble rejea Huo mkeka View attachment 1689648
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Hio pesa ni kidogo sana kuweza kujenga miundombinu na pia kulipa mishahara ya wafanyikazi wa kiserikali. Something is not adding up.
Is this 39% Debt to Gdp ratio accurate au mnapika vitabu kama kawaida yenu?
Mwaka wa fedha utaisha tar 30 June 2021 utapata mrejesho..What was total tax collected in 2020
Naona Wasukuma wa kahama wameipokea Tanzania ya viwanda kwa moyo mmoja
Juzi tena Jossam wa huko huko kahama kafungua kiwanda kikubwa cha maziwa karagwe, miaka miwili nyuma jiwe kafungua zaidi ya viwanda 5 hapo hapo kahama na vyote vya Wasukuma, naona pesa ya dhahabu inafanya kazi
Nani aliwapa haya maarifa? Zamani matajiri walikuwa ni wenye maduka ya jumla na lodge tu, naona hiyo mentality inaanza kubadilika kwa kasi
dhibiti kauli zako katika maandishi,kwa uhuru wako na jf yetu pia.Ila huyu Rais saa nyingine anakuwa mpumbavu wa mwisho, ina maana hizo hospitali binafsi sio za watanzania au hazitibu watanzania? Huyu vipi?
Ila huyu Rais saa nyingine anakuwa mpumbavu wa mwisho, ina maana hizo hospitali binafsi sio za watanzania au hazitibu watanzania? Huyu vipi?
Ila huyu Rais saa nyingine anakuwa mpumbavu wa mwisho, ina maana hizo hospitali binafsi sio za watanzania au hazitibu watanzania? Huyu vipi?
Huo ndio udikteta uchwara, kama mtu kasoma kwa akili zake mwenyewe, kwa gharama zake mwenyewe, analipa mkopo wa bodi na riba, anahudumia watanzania, hospitali inalipa kodi na imepata leseni kutoka serikalini, kwanini ufikirie kumfutia daktari usajili na kufunga hospitali kisa tu muajiriwa katokea hospitali ya serikali? Hii si sawa kabisadhibiti kauli zako katika maandishi,kwa uhuru wako na jf yetu pia.
acha wafatiliwe,kama hawana tatizo zaidi ya maslahi wataachwa bila kuguswa.
nimekutahadhalisha wewe na kauli zako.Huo ndio udikteta uchwara, kama mtu kasoma kwa akili zake mwenyewe, kwa gharama zake mwenyewe, analipa mkopo wa bodi na riba, anahudumia watanzania, hospitali inalipa kodi na imepata leseni kutoka serikalini, kwanini ufikirie kumfutia daktari usajili na kufunga hospitali kisa tu muajiriwa katokea hospitali ya serikali? Hii si sawa kabisa
Yeye anasema eti hela yetu umekula kisha umeenda kuajiriwa kwengine, ina maana huyo Dr hakatwi mkopo na bodi? Yeye mwenyewe anamtukana Dr kwamba kaiba hela ya serikali anaosema ni yake katoa wapi hiyo hela ya kusomesha wataalamu?Hapa sijakubaliana na Magufuli kabisa. Hii Ndio exact quote aliyotoa.
View attachment 1689794
Sio vyema kumtukana Rais ila inabidi kumkosoa kwa heshima. Ina maana serikali inathamini uzalendo wa mtu mmoja kuliko afya ya wananchi kwa ujumla? Kwani Huyo Daktari akihamia hospitali binafsi hatibu Watanzania? Na Kwani mkopo wake hatalipa? Kwakweli Magufuli wakati mwingine huzungumza mambo yasiyoeleweka kabisa. Sijui kama Ana mshauri wa kumuongoza kwenye mambo ya kauli za kuongea hadharani. Ni Sawa tu na Bashite. Neno lolote linalokuja kichwani analitamka.
Sawa mkuu sababu ugali wa uraiani bado nautaka, nisamehe mkuunimekutahadhalisha wewe na kauli zako.
kama una hoka kuhusu aliyoyaongea zijenge,sio kutukana nk.