Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

unamuongelea mtu ambaye hata humjui

wazee wa kujifurahisha bhana,mnaishia kujiquote wenyewe kwa wenyewe kwa kumdiscuss mtu ambaye hamjui maisha yake mnapoteza mda wenu
Hawa Wana panic 🙂hawataki tuone the real Nairobi 🙂dawa ni kukubali kila kitu wanachokisema🙂
 
Hakuna siku tulikana wala kukataa uwepo wa corona kwetu. Nyinyi mliaminishwa hamna corona na mkulu huku kirusi ikiendelea kuua watu hadi ikabidi muibandike jina mpya "changamoto ya kupumua" just to continue living in denial!
Fact iko kwamba ugonjwa upo suala la viongozi kukubali au kukataa ilo watajua wao

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
soko la kisutu ni zuri na linavutia kuliko kunyan state house
20210225_071654.jpg
20210225_071713.jpg
20210225_071727.jpg
20210225_072034.jpg
 
mkimaliza kuitest kwe miili yenu mtuambie tununue
Tumemaliza. Imetestiwa kwa mwili ya watu 1.2 million huko Israel na inafanya kazi. Hii vaccine ya pfizer iko very effective. Lakini hamuwezi kuiafford maana hamna hio pesa ya kununua.
 
Back
Top Bottom