Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Alifanya mambo sana kinyume cha taratibu sana......hadi akajisahau akajiona Mungu mtu....Sawa tu maana Ndugai alifukuza wabunge wengi Bungeni wakaacha kuwakilisha wananchi wao, kwa makosa madogo tu.
Andacho mtu ndicho atakachovuna.