Hao jamaa wanashangilia nini wakati hamna kilichobadilika ni kama upo na browser?.Nlichogundua maoni yetu wameyakalia kimya
Ila wale wapenda browser wanakenua meno
Maana imewakuna kweli
Wanashangilia tu
Sisi tukae kimya tu
Wakiamua sawa wasipoamua sawa
Kwenye browser ukishafungua hilo file la JF na ukisha-log in lifunge kabisa hilo file (siyo urudi nyuma kwa home button funga file yaani litoe kabisa kwenye list ya mafile uliyotumia) kisha rudi tena kwenye browser search JF click kisha hivyo vijimistari hapo kushoto juu itakuja kama picha inavyosema hapo chini kama haijawa hivyo usitoke kaa hapo kwa sekunde kama 7/10 isipokuja rudi nyuma kwa home button kisha click tena hapo kwenye vijimistari subiri kidogo mara mbili mara tatu fanya kama una-disturb hilo file option ya ku-downloud itakuja,nachelea kusema hii app bado haijawa stable ila nadhani wahusika watalofanyia kazi.Mbona me nimelog in ila bado sioni option ya ku install?
Nashukuru sana ndugu sijawahi kulijua hili kabla ngoja nijaribu kuvipakua nikikwama nitakujuza,vivyo hivyo nikifanikiwaHivyo vibutton vya kubaki na home vipo Google play store, download
Maxence Melo hii Reply ya jamaa nashauri weka juu kabisa jamaa ameweka Solution ya changamoto inayowakuta wenugi....Wengi wanaweka Shortctut ya platform anayopenda kwenye Browser kwa maelezo ya jamaa itawasaidia.Kwenye browser ukishafungua hilo file la JF na ukisha-log in lifunge kabisa hilo file (siyo urudi nyuma kwa home button funga file yaani litoe kabisa kwenye list ya mafile uliyotumia) kisha rudi tena kwenye browser search JF click kisha hivyo vijimistari hapo kushoto juu itakuja kama picha inavyosema hapo chini kama haijawa hivyo usitoke kaa hapo kwa sekunde kama 7/10 isipokuja rudi nyuma kwa home button kisha click tena hapo kwenye vijimistari subiri kidogo mara mbili mara tatu fanya kama una-disturb hilo file option ya ku-downloud itakuja,nachelea kusema hii app bado haijawa stable ila nadhani wahusika watalofanyia kazi.
Mf;hapa mimi nime-uninstall na nimei-dowload tena.
View attachment 1792766View attachment 1792768
Nimemshangaa sana Jamaa Shortcut kuita App, alafu anataka kuiondoa App za Google StoreUtakuwa ni uamuzi wa "hovyo" sana kama mtaachana na app iliyopo google store..hii shortcut sio app na tuliozoea app hii sio user friend kwetu..
Maxence Melo
Nimefanikiwa mkuu ubarikiwe sana, huwezi amini nishapeleka hadi kwafundi akasema inabidi ibadilishwe cjui kioo nagharama ilikua kubwa kidogo nikaamua kuacha tu japo hili tatizo lilikua linanikera sanaHivyo vibutton vya kubaki na home vipo Google play store, download
Changamoto uliyobakinayo kwenyee kuiuzaNimefanikiwa mkuu ubarikiwe sana, huwezi amini nishapeleka hadi kwafundi akasema inabidi ibadilishwe cjui kioo nagharama ilikua kubwa kidogo nikaamua kuacha tu japo hili tatizo lilikua linanikera sana
Uzuri watu wala hata hawajui kuwa wanatumia website masikini ya mungu, ila Melo unajua kucheza na akili za watu aisee 🤣 🤣 🤣 🤣.Hii siyo application,bali ni Shortcut.
Jamii forums ndo mmeishiwa mbinu kiasi hicho??
NdiyoUmefuata maelekezo katika post #1?
Hii button ilikua kikwazo sana ktk kuiuza hii sumu ila nashukuru leo nimepata ufumbuzi mana mnunuzi nitamuambia back button imekufa lkn sio shida mana kuna hii yakudanlod naipo vzr tuChangamoto uliyobakinayo kwenyee kuiuza
Hapana, ingawa nadhani unaamini wewe ni Guru ila kwenye hili naomba nikurekebishe. Hii sio Browser shortcut, hii ni Progressive Web App. Asante
Hii app bado ina changamoto mkuu licha ya kufanya maboresho.Naam wakuu,
Kwa mara nyingine tumeona tuboreshe huduma ya JF ili izidi kuwa rahisi kutumia.
Kwa sasa unaweza ku-Install JF App kwa PC au Tablet (iPad zikiwemo) na Simu za Mkononi (Android na iPhones).
FAIDA:
1) Ni rahisi kutumia na haina tofauti yoyote na main site, hakutakuwa na malalamiko tena kuwa kuna kukosa notifications au kushindwa kufanya actions kadhaa
2) Ni rahisi kufunguka kuliko unavyodhania. Installation yake inachukua sekunde moja au pungufu. Haichukui space kwenye simu yako au kifaa chako
3) Ukiwa offline, bado kuna content utakuwa na access nayo kwa urahisi zaidi. Hulazimiki kuwa mtandaoni
4) na mengine mengi
Hatua za kufuata:
Kwa wanaotumia PC:
Tembelea JF kwa kutumia Google Chrome Browser, kisha utaona sehemu kama hii kwenye browser yako:
View attachment 1791283
View attachment 1791292
Kisha bonyeza Install kama inavyoonekana hapa chini:
View attachment 1791284
Utaona tayari unayo App kwenye PC yako. Kuanzia hapo hutokuwa ukilazimika kutembelea tovuti kwa njia ya browsing ya kawaida.
Mfano, mwenye Macbkook ataona icon ya App ya JF ikiwa hivi:
View attachment 1791290
Kwa wanaotumia Android Devices:
Tumia Google Chrome (au native browser ya simu yako):
Bonyeza mistari mitatu iliyo kushoto mwa LOGO ya JamiiForums, utaona kitu kama hiki chini:
View attachment 1791285
View attachment 1791286
Bonyeza INSTALL kisha utaona hivi (itachukua sekunde 1 ku-Install)
View attachment 1791287
Kwa wanaotumia iPhone au iOS devices:
Tumia Safari Browser, bonyeza sehemu hizi zilizozungushiwa na fuata maelekezo kwenye simu... Just add to your device's home screen.
View attachment 1791288
View attachment 1791289
Ukikwama usisite kuuliza, tupo kwa ajili yako.
TAKE NOTE: Siku zijazo (sio karibuni) tutaondoa App zilizopo kwenye Google na Apple stores. Kuna mabadiliko zaidi yanakuja kwenye mwonekano na user experience katika kutumia huduma ya JF.
PS: Kuna watu wanataka kujua kuhusu kupata notifications. Tafadhali enable push notifications kwenye settings na utazipata bila shaka.
Karibuni
Kwani hizo Screenshot ulizoweka hapo si JF APPHii app bado ina changamoto mkuu licha ya kufanya maboresho.
Ni mda sasa kila nikitaka ku view attachments app hai support, badala yake yanatokea majukwaa ya Jamii Forum.
Naombeni mtafute solution ya tatizo hili kwani sisi ni JF users lakini tunakua limited kupata baadhi ya huduma.
Naomba kuwasilisha
@Maxence MeloView attachment 1793126View attachment 1793127