Regent
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 2,306
- 3,550
Soma uzi vizuri wacha ubishiNimesoma na nikawa mtu wa kwanza kureply
Soma uzi vizuri wacha ubishiNimesoma na nikawa mtu wa kwanza kureply
ZILIZOKO? Tuna moja tu; wala haiondoki leo au kesho ila tutasimamisha development yake.Kwanini mnataka kuondoa App zilizoko google ?
Nimeshasoma kuhusu swala la kuondolewa App huko Appstore au Playstore bado wakitaka kuondoa watatujuza ila kwa sasa Bado inapatikana kwa uzuri.Soma uzi vizuri wacha ubishi
Sasa ulishindwaje kumuelewa yule mdau...Nimeshasoma kuhusu swala la kuondolewa App huko Appstore au Playstore bado wakitaka kuondoa watatujuza ila kwa sasa Bado inapatikana kwa uzuri.
Hapana, ingawa nadhani unaamini wewe ni Guru ila kwenye hili naomba nikurekebishe. Hii sio Browser shortcut, hii ni Progressive Web App. AsanteHakuna cha app mpya hapo ni kwamba ,kama mlikuwa hamjui chrome, firefox na browsers jamii hizo zina option ya ku add page kuwa shortcut so walichokifanya hapo ni kuongeza option ya ku add shortcut simple no additional options bali ni shortcuts .
Nlichogundua maoni yetu wameyakalia kimyaUtakuwa ni uamuzi wa "hovyo" sana kama mtaachana na app iliyopo google store..hii shortcut sio app na tuliozoea app hii sio user friend kwetu..
Maxence Melo
Kwa maelezo ya Melo amesema hawata ondoa App iliyoko huko na ni moja tu.Sasa ulishindwaje kumuelewa yule mdau...
Itaendelea kupatikana kwenye stores zote. Itaendelea kufanyiwa updates kadhaa ila errors kadhaa hatutaweza kuziondoa haraka, hii ni option ya kurahisisha kupata huduma bila kuchelewa na kwa gharama nafuu zaidiNimeshasoma kuhusu swala la kuondolewa App huko Appstore au Playstore bado wakitaka kuondoa watatujuza ila kwa sasa Bado inapatikana kwa uzuri.
Kina nani?Nlichogundua maoni yetu wameyakalia kimya
Ulikwama wapi?sisi wadau wa android tumetupiliwa mbali na mabadiliko haya!
Maoni yanafanyiwa kazi na kujibiwa.Nlichogundua maoni yetu wameyakalia kimya
Ila wale wapenda browser wanakenua meno
Maana imewakuna kweli
Wanashangilia tu
Sisi tukae kimya tu
Wakiamua sawa wasipoamua sawa
Kuna redesign ya JF kwa mapana yake. It will change this App too.Hiyo mpya sijaipenda kuliko hii ya playstore
Kwa experience yangu 99% member wanapenda APP sio Browser...Wengi wanatumia Browser kwasababu ya tatizo la NOTIFICATION kwenye APP...ila naona kama sasahivi lipo vizuri.Nlichogundua maoni yetu wameyakalia kimya
Ila wale wapenda browser wanakenua meno
Maana imewakuna kweli
Wanashangilia tu
Sisi tukae kimya tu
Wakiamua sawa wasipoamua sawa
Mtu ukichelewa kumjibu anaona amekuwa ignored.Maoni yanafanyiwa kazi na kujibiwa.
Sema kwenye uzi yupo Melo tu hivyo inampa ugumu kujibu kila swali.
Hilo kasema sasahivi...Consider timeline unapokuwa kwenye mdahalo. Sawa na uwende leo kwenye Uzi wa 'Ummy Mwalimu asema Corona yaingia nchini' ucomment Hongera waziri wa Afya.Kwa maelezo ya Melo amesema hawata ondoa App iliyoko huko na ni moja tu.
Kama zipo nyingi ni App fake.
Umefuata maelekezo katika post #1?Mbona me nimelog in ila bado sioni option ya ku install?
Mkuu nimekuelewaKina nani?
Nimekuelewa mkuu, sema niliongeza hicho kipengele baada ya yeye kuongeza hayo.Hilo kasema sasahivi...Consider timeline unapokuwa kwenye mdahalo. Sawa na uwende leo kwenye Uzi wa 'Ummy Mwalimu asema Corona yaingia nchini' ucomment Hongera waziri wa Afya.
Hahaha, Progressive Web Application ndo unaita shortcut tu?Hii siyo application,bali ni Shortcut.
Jamii forums ndo mmeishiwa mbinu kiasi hicho??
Hivyo vibutton vya kubaki na home vipo Google play store, downloadJe kwene hii App kuna option yaku back bila kutumia botton yasimu kama ilivyokuawa kwene App ya awali..?
simu yangu imekufa back button ko kwene ile App ya awali nilikua natililila tu mana kulikua na hivyo vimshale
<--- na ----> lkn kwene hii App mpya siion hii mishale Msaada tafadhali