Mkuu kwanza nikuombe hiyo notion ya kutumia neno USANII katika kunasibisha tabia ama mwenendo wenye longolongo ndani yake ni kutudhalilisha wasanii ambao tunafanya kazi kubwa kwenye jamii. Tunaelimisha, Tunaburudisha, Tunatibu kupitia sanaa zetu.Shalom,
Toka ameingia madarakani kwa bahati ya umauti wa Magufuli kuna vitu hayuko sawa kuongoza na kusimamia watendaji.
Yafuatayo ayatibu
1. Anafanya usanii kuhusu haki za wafanyakazi mishshara hajaboresha, kuhusu malimbikizo ni usanii hajalipa.
2. Wafanyakazi wanaonewa sana na mabosi wao hasa kutopewa haki zao mfano kuna taasisi nyingi mabosi hawatekelezi viwango vipya vya posho za usafiri na vikao.
3. Halindi wakulima hasa bei ya pembejeo na pembejeo nyingi ni fake.
4. Masomo ya mazao ya wakulima hakuna jitahada.
5. Kero za Halmashauri kwa wakulima zimerudi.
6. Kero za maji, umeme, mfumuko wa bei.
7. Uhaba wa Dollar, kupanda kwa nauli Tena bila huruma na hakuna unsfuu wa maisha,
8. Analea kauli zenye dharau hana machungu (Mwigulu na Nape, January), anaongea kiulaini sana na yupo kinyumbani zaidi kauli zake na sio kama Rais wa nchi.
9. Toka ameingia ikulu hajawahi kutoa kauli thabiti za kukemea.
10. Wanaomsifia wanamdanganya wanaonufaika ni wafanyabiashara wanaokula na TRA, viongozi wenye mafungu ya kuiba na safari nyingi.
11. Kuna rushwa kithiri za pesa na ngono kwenye kupata kazi.
12. Bodi ya mikopo elimu ya juu inawatesa sana wanafunzi wa vyuo imefika wakati wanafunzi wanatoa rushwa za ngono na pesa ili mambo yao ya mikopo ifa ikiwe. Hii ni kero kubwa hadi aibu.
13. Watu wanakwepa kutoa receipts za EFD hapa ni kilio kikubwa TRA wamekaa ofisni inatia hasira sana.
14. Uanzishwaji wa biashara lessen na vibali ni jini la umaskini TRA ni nyoka mwenye sumu biashara zinakufa viwango vikubwa vya makadirio ya Kodi, wivu, ukiritimba.
15. Kodi ya mapato kwa wanaopangisha nyumba haikusanywi TRA wamekaa ofisni kimya, wenye nyumba wanaokula bata hawalipi Kodi ya mapato.
16. Anasafiri sana kuliko kutenga muda wa kushughulikia kero za wananchi, Hana muda wa kuhamasisha kufanya kazi kwa bidii na kulipa Kodi.
17. Hajui kama raia wanamchukia, wanahasira nae kwa kukosa ukali kwa watendaji wake.
18. CCM wanamchora tu ila yeye hajui wanampaka mafuta kwa gongo la chupa.
19. Mzunguko wa pesa ni aibu maisha magumu, mtu kupata chenji ya elfu10 na elfu5 ni kero kero kubwa.
20. Watumishi wengi wamekata tamaa wanafuraha nyumbani kuliko kazini, extra duty na overtime sifuri.
Rais shtuka kidogo kula na kipofu. Maisha ni ubinadamu ongeza furaha kwa wananchi na watumishi.
Ni hayo tu
Wadiz
Mama anaupiga mwingi Mitano tena
Majibu yako hayawezi batilisha kilicho andikwa.Nakuja kukujibu huo ujinga wako
Ni kweli, rais anayeuweza urais ni yule anayekuwa na vikundi vya kuteka wasiomsujudia.Ifike muda tuambizane ukweli hata kama hatupo tayari kwa hilo.
Samia Urais hauwezi na sio Urais hata uwaziri na cheo cha kuongoza watu kwake ni mzigo mzito.
Kama atapata bahati ya kusoma huu ujumbe au kufikishiwa huu ujumbe atambue fika kuwa Urais kwake ni zigo zito.
Sio kila mtu anaweza kuwa kiongozi wa umma, siongei haya kwa sababu ya chuki yoyote bali kwa mengi nayo fahamu kuhusu viongozi wa taifa namna wanavyopaswa kuwa.
Taifa letu sasa lilipo fika sio taifa la majaribio tena limekwisha kua lina umri mkubwa halina uchanga wowote tena ni vyema viongozi wachaguliwao wakaenenda na ukubwa wa taifa letu.
Kwa wale watakaoweza kumuambia ukweli wamwambie nafasi aliyonayo ni kubwa kwake pasipo kujali maneno ya wanafiki wanaompamba.
Kwa mataifa yaliyo makini Samia alipaswa aziishi ndoto zake za kuwa muhudumu wa ndege basi ila kwenye uongozi hapana anapwaya sana.
Ni vyema ukweli kutamkwa.
Urais sio cheo cha watekaji na wauwaji hao wanastahili vyeo vya magenge ya kihalifu kama huko HaitiNi kweli, rais anayeuweza urais ni yule anayekuwa na vikundi vya kuteka wasiomsujudia.
Asante kwa kutenga muda wako kusoma.Rubbish threads!
JamiiforumsHuu uharo umeuandika ukiwa umekaa wapi
Usi laumuIfike muda tuambizane ukweli hata kama hatupo tayari kwa hilo.
Samia Urais hauwezi na sio Urais hata uwaziri na cheo cha kuongoza watu kwake ni mzigo mzito.
Kama atapata bahati ya kusoma huu ujumbe au kufikishiwa huu ujumbe atambue fika kuwa Urais kwake ni zigo zito.
Sio kila mtu anaweza kuwa kiongozi wa umma, siongei haya kwa sababu ya chuki yoyote bali kwa mengi nayo fahamu kuhusu viongozi wa taifa namna wanavyopaswa kuwa.
Taifa letu sasa lilipo fika sio taifa la majaribio tena limekwisha kua lina umri mkubwa halina uchanga wowote tena ni vyema viongozi wachaguliwao wakaenenda na ukubwa wa taifa letu.
Kwa wale watakaoweza kumuambia ukweli wamwambie nafasi aliyonayo ni kubwa kwake pasipo kujali maneno ya wanafiki wanaompamba.
Kwa mataifa yaliyo makini Samia alipaswa aziishi ndoto zake za kuwa muhudumu wa ndege basi ila kwenye uongozi hapana anapwaya sana.
Ni vyema ukweli kutamkwa.
Bali yatabatilishwa na Upumbavu uliopo kichwani mwako!Majibu yako hayawezi batilisha kilicho andikwa.
Ni kweli, rais anayeuweza urais ni yule anayekuwa na vikundi vya kuteka wasiomsujudia.
Sijalaumu ila nimeeleza ukweli ambao kama akiupata itamsaidiaUsi laumu
Juzi kasem alitamani kiwa air hostess.
Na ndilo zilipo ndoto zake.
Na ukiangalia anavyo safiri ni kwamba N timiza ndoto zaks.