LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 9,211
- 12,716
Tunamshukuru mungu wa mbinguni kwa kutuletea mama.Mpenda haki, mzalendo, mcha mungu na mwadilifu.Huyu angalau ni mtetezi wa kweli wa wanyonge
Kama Jpm haikummaliza, mama haitammaliza.wewe utakuwa unatumika na mabeberuMimi namshangaa sana Mama.....cheap popularity itammaliza
Upinzani wa kupinga kila kitu hatuutaki, tunataka maslahi ya umma kwanza...Wale tuliokua tunawaita nyumbu naona sasa ndo wako na mama. Maneno yao ya kejeli na ushabiki tu. Kinachonisikitisha hakuna chama cha upinzani serious ila kama kitakuja kuwepo ntakupigia kura za hasiraaaa
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani
Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari
Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi
Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena
Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
TIMU CHATO naona mnaanza kazi rasmi sasa baada ya mipango yenu niwaambie tu mmesha feli kabla hamjaanza MAMA HAKWAMI NG'OO! Kubalini kwamba huyo mungu mtu wenu kesha chukuliwa ili taifa lipone na mipango yake miovu na si vinginevyoMimi namshangaa sana Mama.....cheap popularity itammaliza
Huwezikupiga chini Daraja la Busisi, SGR na Bwawa la Nyerere. No way!!So kwa akili yako miradi ya chato nayo ataendeleza? Hata daraja la busisi tunapiga chini kwanza
Kaa kimya....hujui unachokisemaKama Jpm haikummaliza, mama haitammaliza.wewe utakuwa unatumika na mabeberu
Hahahaha MATAGA bwana teh teh teh Magufuli kawaacha kwenye mataaNdio tunachotaka atekeleze miradi tutampa kura tofauti na hapo tutamfurusha yeye na CCM yake
Mama Samia ameshasema KAZI INAENDELEA! kwa hiyo kila kitu kinaendelea kama kawaida sasa nyinyi mnaoomba eti apige chini miradi ya ilani ya CCM mnapoteza muda wenu tu. Hangaikeni na Saccos yenu.TIMU CHATO naona mnaanza kazi rasmi sasa baada ya mipango yenu niwaambie tu mmesha feli kabla hamjaanza MAMA HAKWAMI NG'OO! Kubalini kwamba huyo mungu mtu wenu kesha chukuliwa ili taifa lipone na mipango yake miovu na si vinginevyo
RAIS sasa ni SAMIA SULUHU HASSAN hakuna mjadala mtake msitake.
Wanasaccos ni rahisi sana kuwadanganya. Eti sasa sijui wanaona Mama Samia anatekeleza sera za Saccos ya Chadema!!Hahahaha MATAGA bwana teh teh teh Magufuli kawaacha kwenye mataa