Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,750
- 19,985
Mama chapa kazi hawa mataga wakalime Ngubalu...
Haahaa pole Sana, Samia suluhu ndo rais wetu, utake usitake.vinginevyo uhame nchi hyo mpaka 2030.Tumechoka nchi yetu kuongozwa kihuniKaa kimya....hujui unachokisema
Kwahiyo unataka Mama Samia asifuate ilani ya CCM? Basi mwambie afuate ilani ya CDM!!Hayati JPM alifuata ilani kwa asilimia 100?
Haahaa sisi nchi kwanza mkuu, hayo mavyama yenu kuleni.Nakusalimu kwa jina la jamhuri ya muungano mkuu.Samia oyee, Tanzania oyeeWanasaccos ni rahisi sana kuwadanganya. Eti sasa sijui wanaona Mama Samia anatekeleza sera za Saccos ya Chadema!!
Vipi umehama toka Saccos ya Chadema umerudi CCM sasa mkuu? Karibu sana kwenye Chama Dume!!Haahaa pole Sana, Samia suluhu ndo rais wetu, utake usitake.vinginevyo uhame nchi hyo mpaka 2030.Tumechoka nchi yetu kuongozwa kihuni
Bavicha bhanaUsimpangie cha kufanya ,ni nani aliyewahi kutekeleza hata %30 ya ilani?
Nyie mataga safari hii lazima mtage
Haahaa Cha msingi afuate matakwa ya watanzania ambamo na wanaccm wamo.Kwahiyo unataka Mama Samia asifuate ilani ya CCM? Basi mwambie afuate ilani ya CDM!!
Kazi Inaendelea Mkuu!! Ndiyokiitikio cha sasa.Haahaa sisi nchi kwanza mkuu, hayo mavyama yenu kuleni.Nakusalimu kwa jina la jamhuri ya muungano mkuu.Samia oyee, Tanzania oyee
Yaani rahisi kuongea ukweli hadharani unasema sifa na kiki?na mm nimemuona anapenda sifa aka kiki kama hayati
Hapa hakuna Cha bavicha Wala uvccm Bali utanzania kwanza.Samia oyeeBavicha bhana
Ungemwbia niliyem-quote au ni wewe?Hapa hakuna Cha bavicha Wala uvccm Bali utanzania kwanza.Samia oyee
Wamenuna hao.Hapa hakuna Cha bavicha Wala uvccm Bali utanzania kwanza.Samia oyee
. Mh. Rais Samia Suluhu Hassan hafanyi mambo ili kupanda kisiasa.Swala la Kodi mtu akilifanya kuwa ni ngazi ya kupanda kisiasa, lazima serikali iwe hoi
Watashughulikiwa hao chato gangMkuu mbona umeumia sana? Mabeyo alisema jeshi lina muunga mama mkono sasa nyie endelezi fyokofyoko muone.
Wazalendo uchwara roho zinawauma. Mtakoma chato gangVipi umehama toka Saccos ya Chadema umerudi CCM sasa mkuu? Karibu sana kwenye Chama Dume!!
Mataga na shujaa wao aliyepitwa na wakati.Mama chapa kazi hawa mataga wakalime Ngubalu...