Hata kama hajui kuandika mistari ntamuandikia Mimi. Tutapiga hela hatari.
Huyu ndio rapper sasa sio watoto wa mama kama kina Omollo
( pichani ni baada ya mama ake kuja eneo la tukio na kumwambia " MWANANGU kama Mimi ndo mama ako nilie kuzaa basi nakuomba kubali yaishe wakukamate nitakuja...