Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,603
Aisee kuna huyu ndugu yangu mtoto wa mjomba alimaliza form four mwaka jana sasa alipata division four.
Ila ana C mbili na D tatu, nipo naulizia kama zinaweza kumtosha kwenda form five hata ya private, nataka kujitolea niwekeze kwake hata aweze kusoma kama ataweza kwenda form five.
Kingine kama itawezekana, nataka akajiunge na shule ya Bondeni Arusha, kwa wanaofahamu hivi ada ya hii shule inaweza kuwa pesa ngapi kwa form five na six?
Ila ana C mbili na D tatu, nipo naulizia kama zinaweza kumtosha kwenda form five hata ya private, nataka kujitolea niwekeze kwake hata aweze kusoma kama ataweza kwenda form five.
Kingine kama itawezekana, nataka akajiunge na shule ya Bondeni Arusha, kwa wanaofahamu hivi ada ya hii shule inaweza kuwa pesa ngapi kwa form five na six?