Heci
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 3,485
- 5,817
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni. Leo rafiki yangu wa tangu tukiwa watoto alinipigia simu kwamba anataka tuangalie mpira pamoja na ana jambo ambalo anataka nimshauri, hivyo basi nitafute sehemu nzuri tulivu ili tuwe tunaangalia mpira na kuongea.
Basi nikamwelekeza sehemu jirani na nyumbani, pametulia sana. Tukawa tunaangalia Yanga wakufanya yao, ndipo akaanza kupasuka.
Mke wake ana mavuzi marefu lakini hataki kuyanyoa hadi apewe laki aende kwenye saluni gani huko Upanga ya Wahindi ndio huwa wananyolewa.
Nikapigwa na butwaa, yaani uvuzi hadi saluni? Tena kunyolewa kwa laki?
Akaniambia mara kwa mara mke wake huwa anajigharamikia kwa huduma hiyo, ila sasa kahamishwa kitengo kazini hamna hela ya kuchezea.
Jamaa yangu ni mwalimu wa shule ya msingi serikalini, mshahara mdogo.
Basi sasa jamaa unyumba hapati kwani anakinyaa sana kwenye vuzi. Na mķe hataki anyolewe na mumewe
Basi nikamwelekeza sehemu jirani na nyumbani, pametulia sana. Tukawa tunaangalia Yanga wakufanya yao, ndipo akaanza kupasuka.
Mke wake ana mavuzi marefu lakini hataki kuyanyoa hadi apewe laki aende kwenye saluni gani huko Upanga ya Wahindi ndio huwa wananyolewa.
Nikapigwa na butwaa, yaani uvuzi hadi saluni? Tena kunyolewa kwa laki?
Akaniambia mara kwa mara mke wake huwa anajigharamikia kwa huduma hiyo, ila sasa kahamishwa kitengo kazini hamna hela ya kuchezea.
Jamaa yangu ni mwalimu wa shule ya msingi serikalini, mshahara mdogo.
Basi sasa jamaa unyumba hapati kwani anakinyaa sana kwenye vuzi. Na mķe hataki anyolewe na mumewe