Naombeni msaada wa connection ya kazi, hali yangu kimaisha imekua ngumu

complexi

Member
Jul 6, 2021
67
82
Habari wana JF,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24, naomba msaada wenu kwa yoyote ambae ana fursa ya kazi kutokana na fani yangu au nje ya fani yangu.

Elimu yangu ni shahada ya elimu katika masomo ya sanaa (history na geography), nimejitolea katika shule moja ya serikali bila malipo
na hali yangu ni mbaya hata pesa ya sabuni nakosa naombeni msaada wenu wa kazi yoyote wanajamiii.

Napatikana Songea kwa sasa lakini nipo tayari kufika mkoa wowote kama nitafanikiwa kupata kazi.

Asante.
 
Pole sana ila ukiendelea kujitolea kwenye hiyo shule ya serikali hali itakuwa ngumu zaidi sababu siku hizi ajira za serikali zinatoka utumishi. Nenda kajitolee shule binafsi labda watakupa ajira baada ya kuona utendaji wako.
Point mno hii. Siku hizi unaweza kujitolea serikalini na bado ajira zikitoka usipate.

Atashaangaa miaka nenda anajitolea na ajira zikitangazwa wanapata ajira hata wale ambao hawakua wanajitolea tena wakapata kazi hapo hapo alipojishikiza yeye!
 
ha
Pole sana ila ukiendelea kujitolea kwenye hiyo shule ya serikali hali itakuwa ngumu zaidi sababu siku hizi ajira za serikali zinatoka utumishi. Nenda kajitolee shule binafsi labda watakupa ajira baada ya kuona utendaji wako.

Pole sana ila ukiendelea kujitolea kwenye hiyo shule ya serikali hali itakuwa ngumu zaidi sababu siku hizi ajira za serikali zinatoka utumishi. Nenda kajitolee shule binafsi labda watakupa ajira baada ya kuona utendaji wako.
hata izo za private nimefatilia nyingii wanapokea barua then majibu yao kuwa watanipigia.
 
Point mno hii. Siku hizi unaweza kujitolea serikalini na bado ajira zikitoka usipate.

Atashaangaa miaka nenda anajitolea na ajira zikitangazwa wanapata ajira hata wale ambao hawakua wanajitolea tena wakapata kazi hapo hapo alipojishikiza yeye!
wakati mwingne wanasema hamna nafasi
 
Pole ndugu wenzio shahada za elimu tumetupa ndani kuku wanatagia mayai na kunguni wananyea tupo kwenye majaruba ya mpunga na mahindi soon tunakuwa mabilionea japo kwa hlo eneo ulilo wewe songea kilimo kigumu mbolea gharama na bila mbolea uko utoboi sisi uku Moro atuitaji mbolea na tunavuna kinyama tulishasahau kama tulipigaga mashaada hayo. Yote kwa yote jiwe yupo kwa muumba Kiko wapi dunia tunapita bwana kumganyia uchawi mwenzio asifanikiwe ni kujisumbua koleza moto
 
Back
Top Bottom